Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Kama kuna migomo mingi iliyokwisha fanikiwa ni vema wakarudia kwenye makablasha ya migomo hiyo ili kuweza kupata mbinu zilizo tumia. Kwani hadi sasa JF imeshindwa kutoa njia ya kuweza kufanikisha mgomo wao.
Wanamlimani kwa kauli yako ya pale juu wamekuwa wakishinda migomo mingi, na huu sio wa kwanza, hivyo kuna idadi kubwa kabisa ya waliopitia mlimani ambao wapo mitaani na bado kuna skandari nyingi tu...!
Nenda upate kikombe cha kahawa maana unahitaji some caffein