UDSM: Tunaomba msaada wenu JF!

Gembe naona umemshushua sana mwanahaki, nadhani hakuwa na nia mbaya kutoa taarifa hii, kama alikosea jina la kozi basi na simu pia ni shida??? hii itafanya watu wawewanaogopa kuleta habari hapa, mimi binafsi nilijua kakosea kozi lkn hapa ujumbe ulikuwa ni maandano na maaskari, les try to be realistic hapa jamani

Na ukweli ni kwamba FFU wamesha tinga maeneo na gari lao la maji ila cha ajabu sijaona Ambulance maana wanaweza kuumiza ama kuumizwa then inakuwaje ?
 
Nimepigiwa simu sasa hivi na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa IT,

hakuna kozi hiyo pale mlimani,navyojua kuna Bsc. in Computer science pekee,hauna haja ya kutupa namba.siye wenyewe tutajua.

Invisible fuatilia suala hili kwa ukaribu,

Siku hizi nasikia tayari kuna pia CIT
 
Hii ni hatari sana, chuo kikuu kinapoingiliwa na ugonjwa wa siasa, kweli VIJANA TUNAPOTEA, mnazikumbuka zile barua mlizosaini mwaka jana? msisahau hali yenu ni mbaya,nimeona bunge lenu limeshindwa kuyamaliza sasa mmeanika kwetu, sawa tutajitahidi kuwasaidia.
 
Taarifa za uhakika ambazo nimepata sasa hivi toka chuoni ni kuwa vurugu zimekuwa kubwa zaidi kiasi kwamba mabomu ya machozi yameanza kuporomoshwa.

Wanafunzi wanakimbilia vyumbani na hali inaelekea kuwa tete chuoni hapo.

Kama kutakuwa na zaidi nitakufahamisheni kwakuwa naongea na watu wa ndani zaidi pale.

Invisible

But was all this force really necessary? Maybe hapa ndipo tunapaswa kujadili kidogo; tabia ya polisi ya kutumia mabavu kwa wananchi wanyonge na wasio na silaha zozote. It is unbecoming and a very uncivilised way of handling problems! Halafu tunategemea hawa wanafunzi baadaye wakiwa viongozi waheshimu misingi ya demokrasia ya uhuru wa kujieleza, kukusanyika, kuandamana, etc?
 
Nimepigiwa simu sasa hivi na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa IT,

hakuna kozi hiyo pale mlimani,navyojua kuna Bsc. in Computer science pekee,hauna haja ya kutupa namba.siye wenyewe tutajua.

Invisible fuatilia suala hili kwa ukaribu,

Gembe acha chuki zako binafsi, kuna kozi inaitwa Computer Engineering and Information Technology (CIT) au hauna info nini kaka?
 
Nimepigiwa simu sasa hivi na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa IT,

hakuna kozi hiyo pale mlimani,navyojua kuna Bsc. in Computer science pekee,hauna haja ya kutupa namba.siye wenyewe tutajua.

Invisible fuatilia suala hili kwa ukaribu,

unatabia ya kutoa maagizo kweli... kwanini wewe usifuatilie?
 
Mimi nawashangaa sana. Migomo kila inapokaribia mitihani kwa nini? Nyie kama mnasoma kwa mkopo wa sirikali, mjukuu wangu anasoma kwa pesa ya mauzo ya kolosho. Nimeuza mpaka tubuzi twangu kumlipia ada kisha alete upuuzi wa kugoma walahi ntanyonga mtu.

Kuna vijana hawataki kusoma wakiona mitihani visingizio kibao, mara uchaguz, mara nyumba za kulala chafu, mara maji hakuna. Mbona wenzeo akina Mbatia walipokuwa wakigomaga walikuwaga hawangoji mitihani? Haya watueleze kwa Mukandala walifuata nini tena usiku?

Mjukuu wangu Aggy nikisikia umegoma ntakuja nikutandike bakora mbele ya kadamnasi. Nimekupeleka huko kusoma, kama umeshindwa ludi nyumbani tuokote kolosho

It is not that simple Mamkwe. Binadamu haishi kwa mkate tu!
 
Nimepigiwa simu sasa hivi na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa IT,

hakuna kozi hiyo pale mlimani,navyojua kuna Bsc. in Computer science pekee,hauna haja ya kutupa namba.siye wenyewe tutajua.

Invisible fuatilia suala hili kwa ukaribu,

Gembe mwombe radhi MwanaHaki. Hukuwa na sababu ya kumshukia kwa nguvu vile.
 
But was all this force really necessary? Maybe hapa ndipo tunapaswa kujadili kidogo; tabia ya polisi ya kutumia mabavu kwa wananchi wanyonge na wasio na silaha zozote. It is unbecoming and a very uncivilised way of handling problems! Halafu tunategemea hawa wanafunzi baadaye wakiwa viongozi waheshimu misingi ya demokrasia ya uhuru wa kujieleza, kukusanyika, kuandamana, etc?

Nafikiri Mkuu wa Chuo huwa anaangalia hali ya amani chuoni huwa siyo busara kusubiri mpaka ifikie wakati wa kuleta polisi hata kuingia kwenye mabweni.

Hapa kuna mengi yatakayo tokea kwa busara inatakiwa atangaze kufunga chuo mara moja ili kuweza kusolve tatizo.
 
Waungwana Ni Kweli Kabisa Chuo Kulikuwa Na Machafuko Kwa Muda Lakini Kwa Sasa Hali Ni Shwari,, Mimi Ni Mmoja Wa Waliothirika Na Mabomu Ya Machozi Nimelia Nimetoka Makamasi Maana Sikua Na Maji Na Moshi Wa Mabomu Umeingia Mpaka Ofisini Kwangu.. Ilikuwa Kazi Kweli Kweli....

Wanafunzi Wote Wamejifungia Vyumani Mwao Na Wanachungulia Madirishani As If Mtu Yupo Kwenye Treni Dah Inachekesha Sana Maana Umoja Wanaouonyesha Wakati Wa Kuanda Amigomo Unavunjika Pale Tu Wazee Wa Kazi Wanapokuja Na Kutoa Kichapo Kwa Waleta Vurugu...
 
Nimepigiwa simu sasa hivi na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa IT,

hakuna kozi hiyo pale mlimani,navyojua kuna Bsc. in Computer science pekee,hauna haja ya kutupa namba.siye wenyewe tutajua.

Invisible fuatilia suala hili kwa ukaribu,


Huyu Gembe inaonekana kama ni kuwa pale Mlimani alikuwa labda anasomea certificate ya Law hivyo mambo ya degree courses alikuwa hajui kitu ndio maana anakurupuka
 
Gembe naona umemshushua sana mwanahaki, nadhani hakuwa na nia mbaya kutoa taarifa hii, kama alikosea jina la kozi basi na simu pia ni shida??? hii itafanya watu wawewanaogopa kuleta habari hapa, mimi binafsi nilijua kakosea kozi lkn hapa ujumbe ulikuwa ni maandano na maaskari, les try to be realistic hapa jamani

Huyu Gembe kwani hujui ni mamluki! anakosoa hata vitu vidogo ili kupindisha mada.

Grrrrrr
 
Nafikiri Mkuu wa Chuo huwa anaangalia hali ya amani chuoni huwa siyo busara kusubiri mpaka ifikie wakati wa kuleta polisi hata kuingia kwenye mabweni.

Hapa kuna mengi yatakayo tokea kwa busara inatakiwa atangaze kufunga chuo mara moja ili kuweza kusolve tatizo.
Awali ya yote... ni migomo mingapi ambayo imewahi kufanikiwa hapo Mlimani?
 
Ina maana hii migomo hapo UDSM kila kukicha wanafunzi ndo wenye makosa tu?
Hawa fanya fujo uone wawe wanawakamata wahadhiri pia wajitetee kwa nini hawazuii hii migomo?Maana karibu vyuo vyote haipiti mwaka bila kugoma.

Kuna tume iliundwa hapo nyuma kipindi cha mwanzo wa utawala huu unaoendelea kutafiti kwa nini migomo inatokea hivi vyuo vya elimu ya juu na wakatoa mapendekezo,Je yamefuatwa?Mbona kukicha migomo tu?Hawa watoto watapata hiyo elimu wanayotafuta hapo vyuoni?

Maswala ya wanafunzi yasitatuliwe kisiasa?
Kwa asilimia kubwa inaonyesha kuwa karibia kila aliyepitia vyuo vikuu vya TZ huwezi maliza miaka yako 3,4 au 5 bila kuona mgomo ukitokea.

Makamu mkuu wa chuo na utawala wake nao wakati wa mgomo iwepo sehemu ambayo watawajibika.ili nao wajitetee umma ujue nani mkosaji.WANAFUNZI AU WAHADHIRI?
 
Nimepigiwa simu sasa hivi na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa IT,

hakuna kozi hiyo pale mlimani,navyojua kuna Bsc. in Computer science pekee,hauna haja ya kutupa namba.siye wenyewe tutajua.

Invisible fuatilia suala hili kwa ukaribu,

Gembe unajiabisha!

Rudi chuoni pale kivukoni maana naona hujakomaa kwenye propaganda za makamba
 
Waungwana Ni Kweli Kabisa Chuo Kulikuwa Na Machafuko Kwa Muda Lakini Kwa Sasa Hali Ni Shwari,, Mimi Ni Mmoja Wa Waliothirika Na Mabomu Ya Machozi Nimelia Nimetoka Makamasi Maana Sikua Na Maji Na Moshi Wa Mabomu Umeingia Mpaka Ofisini Kwangu.. Ilikuwa Kazi Kweli Kweli....

Wanafunzi Wote Wamejifungia Vyumani Mwao Na Wanachungulia Madirishani As If Mtu Yupo Kwenye Treni Dah Inachekesha Sana Maana Umoja Wanaouonyesha Wakati Wa Kuanda Amigomo Unavunjika Pale Tu Wazee Wa Kazi Wanapokuja Na Kutoa Kichapo Kwa Waleta Vurugu...

Poleni sana,

Si vibaya kwa wanafunzi kukimbilia vyumbani na kujificha. Nani asiyewajua hao polisi wa Dar es salaam jinsi walivyorahisi kuuua mtu.

Huu ni mwanzo tu, kwani polisi hao wataishi hapo maisha yao yote? Mimi nawaombeni tu wanafunzi msivunje majengo au kuumiza watu. Kudai haki ni jambo zuri na huyu Mkandala naona anaelekea kubaya kwenye uongozi wake hapo mlimani.
 
Poleni sana, mgomo mwisho wake huwa haya. I hope hakuna aliyeumia zaidi ya kulia. Ndio kupata haki, mara zote hupiganiwa inapobidi.

Bwana Waga hivi hao viongozi waliosimamishwa masomo walifanya vitendo vya kihalifu kiukweli au wanasingiziwa? Je Serikali ya wanafunzi ili ubariki huu mgomo wa leo? Kama hawakubariki mgomo ndio kusema kuwa hao viongozi ni wasaliti au wanakubali kuwa wanafunzi waliosimamishwa masomo walipaswa kusimamishwa? Bado nina maswali mengi kuliko majibu
 
Mimi nawashangaa sana. Migomo kila inapokaribia mitihani kwa nini? Nyie kama mnasoma kwa mkopo wa sirikali, mjukuu wangu anasoma kwa pesa ya mauzo ya kolosho. Nimeuza mpaka tubuzi twangu kumlipia ada kisha alete upuuzi wa kugoma walahi ntanyonga mtu.

Kuna vijana hawataki kusoma wakiona mitihani visingizio kibao, mara uchaguz, mara nyumba za kulala chafu, mara maji hakuna. Mbona wenzeo akina Mbatia walipokuwa wakigomaga walikuwaga hawangoji mitihani? Haya watueleze kwa Mukandala walifuata nini tena usiku?

Mjukuu wangu Aggy nikisikia umegoma ntakuja nikutandike bakora mbele ya kadamnasi. Nimekupeleka huko kusoma, kama umeshindwa ludi nyumbani tuokote kolosho

Hii si kweli, si kwamba wamegoma kwa sababu ya mitihani. Msitake kupotosha ukweli hapa
 
Back
Top Bottom