Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Mimi ni mmoja wa wahitimu, tuko hapa Mlimani City, kwa mujibu wa kitabu cha majina ya wahitimu ukurasa wa 74 unaonyesha kuwa JK atalamba PhD ya Heshima kwenye Sheria wakati Museveni atapata ya fasihi. Vyanzo vingine vinathibitisha kuwa JK alizomewa Nkrumak sasa tatizo hapa ukumbini ni Elders tu sidhani kama watasemaje! Kaazi kweli kweli
Ya fine/performing arts angalau ingekuwa halali.