UDSM mko wapi, shindano la ubunifu?

ntita

JF-Expert Member
Dec 31, 2013
513
285
Nilikua naangalia taarifa washindi wa shindano la ubunifu ITV kwenye washindi kumi hakuna wa UD hata mmoja, kuna hadi mdada wa advance ameingia top ten. Sasa najiuliza ile slogan ya "home of intellectuals" mbona siioni?
 
Hawana jipya hawa jamaa ni watu tumetoka nao advance wakaenda udsm cc tukaenda vyuo vingne. Uwezo wao ni wa kawaida sana..
 
Kumbe hamna kitu. Japo na mi ni wa huko ila huku kujisikia kunaniboa sana. Shame on us, tumekalia kukalili madesa tu, ubunifu kichwani hamna kabisa
 
wanafunzi wa college mna tabu kweli.
udsm ni university.
mlichokiona itv ni shindano la tweet bora kati ya zilizoshindanishwa chini ya udhamini wa mda mrefu sasa wa mzee Mengi.

wana udsm wako busy na shule hawana time na kutweet, wana google madesa kumaintain gpa.
udsm home of intelectuals.
 
Wanafunzi wa Diploma mnasumbua sana yani we unataka uione udsm katika kila kitu... Vipi uliviona vyuo kama oxford na cambridge? Hao ndo watani wetu wa jadi!
 
Unajua Bwana kama huna cha kuchangia bora ukae kimya. Aliyekwambia elimu ni gpa nani, elimu inatakiwa ikufanye uweze kuwa mbunifu katika kuyakabili mazingira. Wazo la yule mshindi wa Ardhi umeliona, hayo ndo matunda ya elimu sio gpa kubwa. Hicho kiburi chenu cha kuona vingine sio vyuo ndicho kinachotuangamiza. KIBURI NI UPOFU
 
Wanafunzi wa Diploma mnasumbua sana yani we unataka uione udsm katika kila kitu...
vipi uliviona vyuo kama oxford na cambridge? Hao ndo watani wetu wa jadi!

jamaa huna aibu kwel unazid kujidhalilisha huo usomi wako unaousemea,, yaan unaongelea havard na cambridge vs udsm??? Shame on you
 
Wanafunzi wa Diploma mnasumbua sana yani we unataka uione udsm katika kila kitu...
vipi uliviona vyuo kama oxford na cambridge? Hao ndo watani wetu wa jadi!

Hili nalo ni tatizo, unapoleta utani kwenye elimu
 
10000,

Huna hata aibu wewe jamaaa.. Mwanachuo mzima unatgemea kugoogle eti ili umaintain gpa.. Apo tayar inaonesha jinsi gan elimu unayopewa haitakusaidia kukabli changamoto.
 
Last edited by a moderator:
Jaman vijana wenzangu,hv vtu ni aibu taifa linakutegemea kuwa mwanafunz wa elimu ya juu upambane na mazingira kutokana na elimu unayoipata halaf wewe unajisifia et unakomaa na madesa kumaintain GPA,tunaenda wap sisi?

mi nlifikiri ukisoma post Hyo ya kaka hapo unaweza fikiria namna gani ya kutumia elimu vzur na kuwa mbunifu na co kuleta majigambo yacyo na msingi.
 
Nilikua naangalia taarifa washindi wa shindano la ubunifu ITV kwenye washindi kumi hakuna wa UD hata mmoja, kuna hadi mdada wa advance ameingia top ten. Sasa najiuliza ile slogan ya "home of intellectuals" mbona siioni?[/QUO


wanafunzi wa college mna tabu kweli.
udsm ni university.
mlichokiona itv ni shindano la tweet bora kati ya zilizoshindanishwa chini ya udhamini wa mda mrefu sasa wa mzee Mengi.

wana udsm wako busy na shule hawana time na kutweet, wana google madesa kumaintain gpa.
udsm home of intelectuals.

Waambie hao Mkuu, watasubiri sana kwa Udsm
 

Attachments

  • 1426021563648.jpg
    1426021563648.jpg
    25.7 KB · Views: 269
Nilikua naangalia taarifa washindi wa shindano la ubunifu ITV kwenye washindi kumi hakuna wa UD hata mmoja, kuna hadi mdada wa advance ameingia top ten. Sasa najiuliza ile slogan ya "home of intellectuals" mbona siioni?

Inaonekana ubunifu una levels tofauti na huu ni ule wa level ya chini kulinganisha na uwezo wa wanafunzi wa UDSM. Sasa aliyeshinda 10m eti amefanya hiki:Mshindi wa shindano hilo kwa mwezi Februari ni Viana Mulokozi, mwanafunzi wa mwaka wa nne wa chuo kikuu cha Ardhi aliyebuni wazo la kuanzisha mfumo wa kuwatafutia wanafunzi wa vyuo nafasi za kufanya mafunzo kwa vitendo kwenye makampuni kwa kupitia mtandao wa internet.

Hivi huu ni ubunifu kweli kwa mwanafunzi wa mwaka wa nne, mimi nilifikiri amekuja na wazo la kuisaidia jamii juu ya mambo ya ardhi, ujenzi, makazi, foleni barabarani?!

11043020_698640683580242_4550745228134563713_n.jpg


Halafu eti mpaka wa sekondari wamo.

Dr. Olomi mwenyewe mwalimu wa UDSM, ina maana hajui kufundisha vizuri?!
 
Inaonekana ubunifu una levels tofauti na huu ni ule wa level ya chini kulinganisha na uwezo wa wanafunzi wa UDSM. Sasa aliyeshinda 10m eti amefanya hiki:Mshindi wa shindano hilo kwa mwezi Februari ni Viana Mulokozi, mwanafunzi wa mwaka wa nne wa chuo kikuu cha Ardhi aliyebuni wazo la kuanzisha mfumo wa kuwatafutia wanafunzi wa vyuo nafasi za kufanya mafunzo kwa vitendo kwenye makampuni kwa kupitia mtandao wa internet.

Hivi huu ni ubunifu kweli kwa mwanafunzi wa mwaka wa nne, mimi nilifikiri amekuja na wazo la kuisaidia jamii juu ya mambo ya ardhi, ujenzi, makazi, foleni barabarani?!

Halafu eti mpaka wa sekondari wamo.

Dr. Olomi mwenyewe mwalimu wa UDSM, ina maana hajui kufundisha vizuri?!
Watanzania kwa kupondana!
 
Nakumbuka kipindi nipo sekondari nilikuwa nafikiri wanaochaguliwa Udsm wote ni wenye akili sana,ila nilishangaa nilipomaliza shule kuona kinadada wengi niliomaliza nao ambao walikuwa wanavuliwa kama samaki wamechaguliwa Udsm.

Udsm tupa kule limebaki jina tu na magofu ila wanafunzi kichwani hamna kitu.
 
Back
Top Bottom