machungu ya sensa?? Na wewe ulikua mmoja wa wale wanaoweka mabango nje ya nyumba kuwa hawataki kuhesabiwa na wanawatishia usalama makarani?? Huna akili wewe. Vitu vinafanywa kwa maslahi yako mwenyewe afu una resist. Badala ya kuwaza maendeleo dogo unawaza udini na upuuzi 2.
Kama ungempuuza ungekatika miguu?hoja hujibiwa kwa hoja sio povu!!ungeona haina maana ungempotezea usiwe dictator.
REGISTRATION FORM ¡°A¡± KIPENGELE NO. 7. Inakuwaje kwa chuo cha Serikali kutaka kujua dini na dhehebu la mtu? ili hali machungu ya sensa yenyewe bado hayajaisha! what is the reason behind? Nisadieni mnaoelewa juu ya hilo
REGISTRATION FORM A KIPENGELE NO. 7. Inakuwaje kwa chuo cha Serikali kutaka kujua dini na dhehebu la mtu? ili hali machungu ya sensa yenyewe bado hayajaisha! what is the reason behind? Nisadieni mnaoelewa juu ya hilo
Nimejiunga UDSM mwaka 07 na kilikuwepo then ni suala la siku zote alafu achana na Issue za UDINI hautakufikisha kokote
hapo umenena sawasawa,nimeshuhudia utata mwingi ukitokea kwenye maziko,fujo,mvurugano,mvutano na mapigano,hasa mtu anapokuwa haeleweki ni wadini ipi?Kipengele cha dini ni muhimu. Unafikiri ukipata matatizo ukaaga dunia,ndugu zako hawapatikani utazikwa kwa madhehebu gani? Utazikwa na city. Kule muhimbili watu wanazikwa na citu kwa sbb anaokotwa hana ID,dini haijulikani what do u expect?
dini ya mwanafunzi inawahusu nini, wapuzi tu. it is not kwamba wataongeza msikit au kanisa. pathetic.
kwa hiyo chuo ndio kanagharamiaga mazishi, we ndo pimbi namba moja unadhani ni wewe tu uliyesoma hapo? kenge weeu are the one who is pathetic..me naic hata hujasoma post za kamanda hapo juu ambaye kaelezea kuhusu mfano incase mtu akafa..na huo ni mfano kat ya mingi...yaan chuo kimeanzishwa toka miaka hiyoo watu wamekaa wakaumiza vichwa wakaweka hicho kipengele alafu wewe ndo unajifanya soo clever n say its pathetic.!!?grow up men
watu wanaotaka kuleta udini na ukabila baina yetu sio wa kupuuza ni wakukemea vikali, madhara wanayoweza kutuletea ni makubwa kuliko unavoweza fikiri, hata baba wa taifa alisema hayo.
mbona haueleweki?nani analeta udin kat ya mleta mada na chuo walioweka hicho kipengele?hapa tujadili kama hicho kipengele kina mantik kuwepo,je kina umuhimu? Kama upo up?mimi binafsi hicho kipengele sitak kiwepo coz sijaona mantik yake
Kipengele cha dini ni muhimu. Unafikiri ukipata matatizo ukaaga dunia,ndugu zako hawapatikani unafikiri utazikwa kwa madhehebu gani? Utazikwa na city. Kule muhimbili watu wanazikwa na citu kwa sbb anaokotwa hana ID,dini haijulikani what do u expect?
nilkuwa naelekea kuandika hapo bold na hilo ndilo lengo lake nothing else. Imagine ajali za vyombo vya usafiri kama mv bukoba, spice islander, mabasi etc mwili umeptika lkn hakuna aliyemtambua mrehemu sasa mtu huyu akazikwe kwa taratibu za dini gani? makaburi gani? ya waislamu au wakristo? na mwisho ndio hapo wavuta bange wa city wanachukua jukumu.. ha ha ha wale jamaa wanachimba kaburi linaishia magotini halafu mwili unatupiwa kama kiroba usiku mbwa wanageuza kitoweo
Mkuu ni kweli kabisa usemayo kwa sbb nimeshuhudia. Inafika mahali watu wanataka kujitolea kuzika dini halijulikani. Miaka ya 1979-80 nilishuhudia mbwa wakichimba maiti makaburi ya pale kaloleni jirani na shule ya Meru na kaloleni. Na yaliyokuwa yanachimbuliwa na mbwa ni hayo ya city.
Ni bora hyo dini yako ijulikane hutakosa wasamaria wa kukusitiri.
nilkuwa naelekea kuandika hapo bold na hilo ndilo lengo lake nothing else. Imagine ajali za vyombo vya usafiri kama mv bukoba, spice islander, mabasi etc mwili umeptika lkn hakuna aliyemtambua mrehemu sasa mtu huyu akazikwe kwa taratibu za dini gani? makaburi gani? ya waislamu au wakristo? na mwisho ndio hapo wavuta bange wa city wanachukua jukumu.. ha ha ha wale jamaa wanachimba kaburi linaishia magotini halafu mwili unatupiwa kama kiroba usiku mbwa wanageuza kitoweo
watu wanaotaka kuleta udini na ukabila baina yetu sio wa kupuuza ni wakukemea vikali, madhara wanayoweza kutuletea ni makubwa kuliko unavoweza fikiri, hata baba wa taifa alisema hayo.