Udsm inakuwaje tena na kipengele cha dini

hujanishawish
hiv kama mtu amekufa na midhambi yake akizikwa kwa iman ya din yake ndo anasamehewa dhamb?
2.ivi kwenye mel na hayo mabac watu wanatembea na kad za kuonyesha wao ni din gan?

Hivi hayo yametoka wapi tena? Hizi mada za dini zibaki kwenye jukwaa lake kule zikiletwa kwingine huku ni shida.
 
hujanishawish
hiv kama mtu amekufa na midhambi yake akizikwa kwa iman ya din yake ndo anasamehewa dhamb?
2.ivi kwenye mel na hayo mabac watu wanatembea na kad za kuonyesha wao ni din gan?
Tatizo sio kuondolewa kwa dhambi, binadamu anatofautiana na wanyama...mojawapo ni hii ya kuwa na dini. Nimeshudia mara kadhaa pale UDSM watu wanakufa hawana ndugu na wala hawajulikani so wanarudi kwenye registration forms zako ambako kuna picha na taarifa zako zingine. Huwezi kuwa convinced kwa sababu hujakutana na dharura kama hizo. Hata kwenye ajira kwenye personal particulars kuna kipengere sio cha dini tu bali na madhehebu yako
 
Dah?me nadhani mtoa mada hakufikiria,amekurupuka 2 akaona apost kwani mawazo kama haya angepaswa kufikiria nguruwe sasa me nashanga kama mwanadam anafikiria the same na nguruwe,jamani kichwa sio cha kufugia nywele
 
Tatizo sio kuondolewa kwa dhambi, binadamu anatofautiana na wanyama...mojawapo ni hii ya kuwa na dini. Nimeshudia mara kadhaa pale UDSM watu wanakufa hawana ndugu na wala hawajulikani so wanarudi kwenye registration forms zako ambako kuna picha na taarifa zako zingine. Huwezi kuwa convinced kwa sababu hujakutana na dharura kama hizo. Hata kwenye ajira kwenye personal particulars kuna kipengere sio cha dini tu bali na madhehebu yako

Haya mambo yapo hata nje, mimi mwenyewe kabla sijaenda chuo niliulizwa dini kwenye registration lengo lilikuwa ni kuheshimu imani za watu na kuwafanya wawe huru na maisha yao.. waislamu/hindu waliwekwa pamoja bila kuangalia ametoka nchi gani.. utakuta mkristo anakuja na nyama ya nguruwe halafu wote mna_share vyombo na fridge (unafikiri muislamu atajisikiaje hapo)... issue nyingine wahindu hawali nyama ya ng'ombe kwahiyo ukimuweka na mkristo/muislamu anayetumia ng'ombe ni dhihaka kwa hindu
 
nilkuwa naelekea kuandika hapo bold na hilo ndilo lengo lake nothing else. Imagine ajali za vyombo vya usafiri kama mv bukoba, spice islander, mabasi etc mwili umeptika lkn hakuna aliyemtambua mrehemu sasa mtu huyu akazikwe kwa taratibu za dini gani? makaburi gani? ya waislamu au wakristo? na mwisho ndio hapo wavuta bange wa city wanachukua jukumu.. ha ha ha wale jamaa wanachimba kaburi linaishia magotini halafu mwili unatupiwa kama kiroba usiku mbwa wanageuza kitoweo

Sasa hapo umesema "hakuna aliyemtambua marehemu" kama ni hivyo kipengele cha dini kinakusadia vipi kama hakuna mtu anyaekufahamu? watajuaje kwamba kwenye fomu ya UDSM ulijaza kwamba wewe ni mkristo? (kwa sabau hakuna anayekufahamu na hivyo hakuna anayejua unasoma wapi.
 
Sasa hapo umesema "hakuna aliyemtambua marehemu" kama ni hivyo kipengele cha dini kinakusadia vipi kama hakuna mtu anyaekufahamu? watajuaje kwamba kwenye fomu ya UDSM ulijaza kwamba wewe ni mkristo? (kwa sabau hakuna anayekufahamu na hivyo hakuna anayejua unasoma wapi.

naomba isomeke 'ndugu hawajapatikana',
nimeshuhudia watu wengi wakizikwa na makanisa/misikiti.. kama umeweza kutambua dini ya mtu wewe nenda katoe ripoti kanisani/msikitini huwa wanafanya taratibu zote za mazishi mradi tu kuwe na uhakika, hata passport zetu zinaonesha dini ya mtu. Kwa faida yako unatakiwa utembee na ktambulisho kila mhali na ukiweke mahali ambapo ni vigumu kupotea kwenye majanga, tembea na taarifa (valid) zako zote muhimu kama mtu wa kuwasiliana nae ukipata tatizo, dini etc
 
machungu ya sensa?? Na wewe ulikua mmoja wa wale wanaoweka mabango nje ya nyumba kuwa hawataki kuhesabiwa na wanawatishia usalama makarani?? Huna akili wewe. Vitu vinafanywa kwa maslahi yako mwenyewe afu una resist. Badala ya kuwaza maendeleo dogo unawaza udini na upuuzi 2.

NECTA kompyuta zao zina calculate mitihani kwa kutumia dini.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom