Udsm -coet

Mapambano kag

Senior Member
Aug 29, 2013
117
26
Wanacoet jumatatu kazi inaanza (masomo) ila ile kitu ya A1...E daa sijaipata vzur sjui utakujuaje upo kundi gan?
 
Wanacoet jumatatu kazi inaanza (masomo) ila ile kitu ya A1...E daa sijaipata vzur sjui utakujuaje upo kundi gan?
Mkuu nani kakwambia ,wakati registration bado, tusubiri wakubwa watoe tamko usisikilize wakware, itafute kwanza PROSPECTUS pia, cha muhimu ni kupiga msuli wa nguvu wenzangu, tuwe mfano pale CoET
 
Mkuu nani kakwambia ,wakati registration bado, tusubiri wakubwa watoe tamko usisikilize wakware, itafute kwanza PROSPECTUS pia, cha muhimu ni kupiga msuli wa nguvu wenzangu, tuwe mfano pale CoET

mkuu ulikuwepo leo pale nyerere theatre 1? Halafu timetable unayo ya coet? Labda niwe niliskia vibaya bt niliskia j3 pind linaanza
 
mkuu ulikuwepo leo pale nyerere theatre 1? Halafu timetable unayo ya coet? Labda niwe niliskia vibaya bt niliskia j3 pind linaanza

Mkuu kma ni mwaka wa kwanza kuanza vipind jumatatu ni maneno tu hayo..mnaweza kuingia pind lakin wahadhir hawatokei..cha msingi kwa wiki ya kwanza we jua ratiba ya masomo na madarasa yake..basi ndo itakuwa kazi ya wiki nzima hyo...
 
madogo msiwe na wenge nyie,fanya registration kwa muda uliopangwa kwa sababu mapindi hapa yakianza,kila mtu anakuwa busy,coet pasikie tu,usipo kuwa makini unarudi home first year kwa kudisco
 
mojawapo ya changamoto kubwa sana ya mwaka wa kwanza vyuo vingi ni ujuaji au wengne kwa kutojua wengi huwa wanafuata mkumbo bila hata kufuata taratibu wiki ya kwanza chuo chochote ni wiki ya ORIENTATION mambo mengi muhimu huwa yanafanyika hii na ndio mwanzo wa registration ila walio wengi huwa hawana muda nafahamu ni kipindi ambacho unahitaji kusettle hasa mambo ya ACCOMODATION ila ni muhimu kuzingatia hii issue ya ratiba unaweza kujua vtu vingi sana kwa kuanzia chuo na kuondoa ugeni kidogo .. pia ndio muda unaweza kupata wasaa wa kukutana dean wa school au faculty yako ..
kuhusu ratiba kwa udsm nina uzoefu kidogo ratiba inapangwa kwa draft kuna zero draft mpaka final draft so ni muhimu kucheki NOTICE BOARD au tembelea hapa kila mara .. SEMESTER 1 2013/14

pia nina uzoefu kidogo na coet .. mwaka wa kwanza huwa mnapangwa kwa makundi ... mara nyingi kwa herufi na kwa kumbukumbu GROUP A( A1,A2...) NI VIJANA WA CEBE(civil ) kama sikosei inakwenda hivyo hivyo makundi haya yapo simply kwa ajili ya kutengenanisha watu kwa ajili ya workshop na DRAWINGS TUTORIALS na LAB WORK ila ikifika mwaka wa pili makundi haya ufa na watu kuendelea na kozi husika mara nyingi makundi haya huwa ni ya watu kozi inayofanana ...
jambo la muhimu COET elimu yake inaanza mapema sana .. wiki ya pili au ya tatu ya masomo hivyo basi jitahidi kusettle issue mapema .. uanze kuingia mapema darasani ....
madarasa ya COET yamepangwa kwa blocks kuanzia BLOCK A-S

block la kwanza ukiwa unaingia kutokea kwenye ma -HALL, UTAWALA, au theatre, stand ya magari ya mabibo..
lina itaitwa block A lina vyumba maarufu kama A4, A9, A21, nk...
muhimu zingatia ratiba jitahidi sana kupitia NOTICE BOARD kadiri uwezavyo pia jitahidi kupata taarifa za kila mara huwa kuna class representative jitahidi kupata na namba yake kupata update
hudhuria TUTORIALS/WENGI HUWA wana kimbia ila hizi ni muhimu sana
yangu kwa leo ni hayo..
 
mojawapo ya changamoto kubwa sana ya mwaka wa kwanza vyuo vingine ni ujuaji au wengne kwa kutojua wengi huwa wanafuata mkumbo bila hata kufuata taratibu wiki ya kwanza chuo chochote ni wiki ya ORIENTATION mambo mengi muhimu huwa yanafanyika hii na ndio mwanzo wa registration ila walio wengi huwa hawana muda nafahamu ni kipindi ambacho unahitaji kusettle hasa mambo ya ACCOMODATION ila ni muhimu kuzingatia hii issue ya ratiba unaweza kujua vtu vingi sana kwa kuanzia chuo na kuondoa ugeni kidogo .. pia ndio muda unaweza kupata wasaa wa kukutana dean wa school au faculty yako ..
kuhusu ratiba kwa udsm nina uzoefu kidogo ratiba inapangwa kwa draft kuna zero draft mpaka final draft so ni muhimu kucheki NOTICE BOARD au tembelea hapa kila mara .. SEMESTER 1 2013/14

pia nina uzoefu kidogo na coet .. mwaka wa kwanza huwa mnapangwa kwa makundi ... mara nyingi kwa herufi na kwa kumbukumbu GROUP A( A1,A2...) NI VIJANA WA CEBE(civil ) kama sikosei inakwenda hivyo hivyo makundi haya yapo simply kwa ajili ya kutengenanisha watu kwa ajili ya workshop na DRAWINGS TUTORIALS na LAB WORK ila ikifika mwaka wa pili makundi haya ufa na watu kuendelea na kozi husika mara nyingi makundi haya huwa ni ya watu kozi inayofanana ...
jambo la muhimu COET elimu yake inaanza mapema sana .. wiki ya pili au ya tatu ya masomo hivyo basi jitahidi kusettle issue mapema .. uanze kuingia mapema darasani ....
madarasa ya COET yamepangwa kwa blocks kuanzia BLOCK A-S

block la kwanza ukiwa unaingia kutokea kwenye ma -HALL, UTAWALA, au theatre, stand ya magari ya mabibo..
lina itaitwa block A lina vyumba maarufu kama A4, A9, A21, nk...
muhimu zingatia ratiba jitahidi sana kupitia NOTICE BOARD kadiri uwezavyo pia jitahidi kupata taarifa za kila mara huwa kuna class representative jitahidi kupata na namba yake kupata update
hudhuria TUTORIALS/WENGI HUWA wana kimbia ila hizi ni muhimu sana
yangu kwa leo ni hayo..

Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom