Udom wafungiwa kutumia FACEBOOK.

hata sua huwa wanaifungia,nina jamaa yangu pale ni librarian,hasa nyakat za masomo,inawezekana walengwa c wanafunz,bt hata wafanyakazi
 
But whats the hell is FB for students!Why do they need it kwenye masomo yao?Wangefungiwa google wangewezalalama c hizi social networks.Kama ni ya muhimu kwao wanunue modem au watumie simu zao.
 
Wafunge facebook na ma webpage mengine ambayo hayana maana, na hasa maofisini.

Ofisi zinalipia gharama za internet kwa bei kubwa halafu unaona baadhi ya wafanyakazi wanatumia muda mwingi kudownload maporno movies.

Halafu ndiyo sisi tunalalamika oooh serikali hivi serikali vile kumbe sote tunachangia katika kuiangusha kwa viwango tafauti.
 
Sikilizeni jamani kuna kitu kimoja,Wanakwepa gharama hao wasimamizi kwani facebook inaonekana inatumika sana.
 
Katika chuo kikuu cha Dodoma jambo la kushangaza ni uongozi wa juu umeamua kublock SSID UDOM FACEBOOK. Kwani kila unapotaka kufungua Facebook inakataa na kwa jambo hilo limeleta utata na wanafunzi wanalalama kwa nini Chuo imeamua kufanya ivyo.
Wana JF je hili ni halali ama kutakuwa na sababu iliyojificha.

wasidanganyike mabadiriko ni lazima, huwezi kuyapinga wala kuyazuia yasije, na kama huyataki basi yatakulazimisha tu
 
wanaweza wakadownload softwares za ku unblock na kuinstal katika kumpyuta zao, mfano wa software mojawapo ni hotspot shield. ukishainstal hizo unaweza kuaccess any blocked site.
mkuu thanks sana ninajaribu kudownload kwa sabau very soon na watufanga na yetu nimeiweka kwa kuwa teyari na kitu chochote cha kublock any website
 
Katika chuo kikuu cha Dodoma jambo la kushangaza ni uongozi wa juu umeamua kublock SSID UDOM FACEBOOK. Kwani kila unapotaka kufungua Facebook inakataa na kwa jambo hilo limeleta utata na wanafunzi wanalalama kwa nini Chuo imeamua kufanya ivyo.
Wana JF je hili ni halali ama kutakuwa na sababu iliyojificha.
WASIOGOPE-MAANA HATA MZUMBE UNIVERSITY WALISHAFUNGIA FACEBOOK ZAIDI YA MWAKA SASA-WATUMIE PROXY WATAWEZA KUWA NA ACCESS BILA TATIZO LOLOTE-WATUMIE HII-Ninja Cloak | Fast, free, anonymous web browsing with NinjaCloak.com hakuna wa kuwazuia
 
Katika chuo kikuu cha Dodoma jambo la kushangaza ni uongozi wa juu umeamua kublock SSID UDOM FACEBOOK. Kwani kila unapotaka kufungua Facebook inakataa na kwa jambo hilo limeleta utata na wanafunzi wanalalama kwa nini Chuo imeamua kufanya ivyo.
Wana JF je hili ni halali ama kutakuwa na sababu iliyojificha.
mimi nawaunga mikono yote na miguu. kwa sababu hizo ni commputer za chuo so hakuna shida yoyote kufunga FB isitoshe wanafunzi walikuwa wanapoteza mda mwingi kwenda kuchart rather than studying so big up!!!!!!!!!!!!!
mimi mwenyewe nilisoma ughaibuni na computer za shule zote walikuwa wameblocj FB so inabidi uwe na computer yako!! mmeelewaaaaa? wana ccm aka watoto wa kata
 
Nimemwelewa vizuri sana mkuu...nachelea kusema facebook inatumiwa sana na vijana na wanafunzi. Kwa nini waifungie..leo wameifungia facebook..kesho watafungia yahoo,twitter n.k lazima tuwapinge hawa wakoloni weusi. Kutulazimisha tuishi wanavyotaka wao ni sawa na kuturudisha enzi ya mkoloni au hata enzi ya Zinjathropas!

ukitaka kufungua facebook ambayo wameiblock fanya ifuatavyo..Fungua google alafu andika www.facebook.com,kama wameiblock lazima itakataa kufunguka,na ukiiangalia hiyo URL vizuri utakuta inasomeka hivi http://www.facebook.com
.hapo kwenye http ongeza herufi "s" tu,yaani iwe inasomeka hivi https://www.facebook.com halafu click okay itafunguka vizuri bila tatizo
 
yan wachangiaji wote hamjamwelewa mtoa mada,anachokisema jamaa ni kwamba,wall na profile ya UDOM ya kwenye facebook imekuwa blocked,so no one can see it or write anything on it..SIO KWELI kwamba wana UDOM wamezuiwa kuacces Facebook
 
Wajiunge na : www.skype.com hapo unaweza hata kulonga bure na video call za bureee.

Hapa town bwana nguvu ya uma huwezi kuizuia.

wanafunzi wana haki ya kutumia social net work km ilivyo kwa watu wengine.

kama wanatumia kwa kutongozeana ni tatizo la mtu moja moja huwezi ku-rule out kuwa facebook ni mbaya.

Facebook imetoa wake na waume sasa kuna ubaya gani.

Hivi wao wanapoforge vocha hawaoni hilo ni baya zaidi kuliko hata kutongoza ktk internet? Huu ni upuuzi wa mwisho.

Zipo social network nyingi sana watazuia ngapi? pia ipo www.badoo.com hapo napo utachoka mwenyewe.
 
ila hawa wanafunzi nao fb ya nini jamaaani yaani kuna wazazi wengine wakiona picha za watoto wao huko fb kwa kweeeli wanaeza zirai haki ya nani
 
Unampenda nani sasa? acha ujinga? CCM itakuua wewe.................
 
Back
Top Bottom