mkereketwamkereketwa
Member
- May 7, 2012
- 21
- 4
ha ha ha ah aha , udom ni chuo cha kiislamu wanaolalamika wote ni wakristo jamani acheni kufanyakazi na hayo majini mtaumia bure labda kama mmesimama kiimani, vinginevyo ni kuumia.
wanaojituma kazi ndio wanaopigwa vita, nani asiyejua jinsi bi kidude anavyowapiga vita watu wanaoweza kazi??? kusaja ni mtumishi bora kuliko wote kwani mlacha hujui hilo? huyo stc ana kazi gani hapo ya maana kulipwa milioni mbili na zaidi, kuandaa mkutano wa council? Mnaua chuo kwa ujinga wenu, hapo mnasomesha watu kisha watakimbia? Idris fungua macho na uangalie haya mambo sio unakaliwa na mlacha kama goigoi. Mama sawasawa hajui kazi na waliowachapakazi anawachukia anakubali kuwa na mwanana asiyejua kitu. mwalimu wa shule ya msingi tangu lini akawa hr bora? stepping stone stepping stone. Mmemtoa lipili ambaye alikuwa anasaidia information mbalimbali mnamlipa mshahara wa bure hana kazi yoyote, je ameajiriwa kama mlinzi huko mkalama? maria ntui threat kwa stc mmemuondoa udom inafilisika na kufa.
wanaojituma kazi ndio wanaopigwa vita, nani asiyejua jinsi bi kidude anavyowapiga vita watu wanaoweza kazi??? kusaja ni mtumishi bora kuliko wote kwani mlacha hujui hilo? huyo stc ana kazi gani hapo ya maana kulipwa milioni mbili na zaidi, kuandaa mkutano wa council? Mnaua chuo kwa ujinga wenu, hapo mnasomesha watu kisha watakimbia? Idris fungua macho na uangalie haya mambo sio unakaliwa na mlacha kama goigoi. Mama sawasawa hajui kazi na waliowachapakazi anawachukia anakubali kuwa na mwanana asiyejua kitu. mwalimu wa shule ya msingi tangu lini akawa hr bora? stepping stone stepping stone. Mmemtoa lipili ambaye alikuwa anasaidia information mbalimbali mnamlipa mshahara wa bure hana kazi yoyote, je ameajiriwa kama mlinzi huko mkalama? maria ntui threat kwa stc mmemuondoa udom inafilisika na kufa.