Wana Jf,nini kimeipata website ya UDOM? It has been a while now haipatikani na taarifa haijatolewa ... pia system yao ya ARIS kila siku ina matatizo ... hivi kweli lichuo likubwa hivyo mmeshindwa kumaintain website yenu? hii ni aibu... wahusika please chukueni hatua ...
leo nimeitembelea na kukutana na ujumbe:
[h=2]Ilanikutembelea tovuti hili kunaweza kudhuru kompyuta yako![/h]
Vidokezo:
Kwa maelezo zaidi kuhusu kujikinga dhidi ya programu mbaya kwenye wavuti, unaweza kutembeleA StopBadware.org.
Ikiwa unamiliki tovuti hii, unaweza kuomba utathmini wa tovuti yako kwa kut
leo nimeitembelea na kukutana na ujumbe:
[h=2]Ilanikutembelea tovuti hili kunaweza kudhuru kompyuta yako![/h]
Vidokezo:
- Rudi kwenye ukurasa uliotangulia na uchague tokeo lingine.
- Jaribu kutafuta tena ili kupata unachotafuta.
Kwa maelezo zaidi kuhusu kujikinga dhidi ya programu mbaya kwenye wavuti, unaweza kutembeleA StopBadware.org.
Ikiwa unamiliki tovuti hii, unaweza kuomba utathmini wa tovuti yako kwa kut