Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
JAMANI NISAIDIENI CCM NI CHAMA CHA KIDINI?
MWNYEKITI WAKE NI MWISLAMU PAMOJA NA KATIBU WAKE
MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU
MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU
MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU
Tuseme ndani ya chama hiki wakristo hawana uwezo hapa pana ajenda ya siri
1.Josm hapa umewashika pabaya sisi m maana watasema weeeeeeeeeee na utetezi wao tayari umeshaonekana auna nguvu bado. Tena watakuja kwa jaziba maana hiyo ndio kawaida yao
Ni hawa hawa sasa wanasema viongozi wanachaguliwa na watu. Habari za dini hawaangalii.
2.Ni hawa hawa wanasema ni coincidence.
3.Ni hawa hawa wanakuja na utetezi wa hawamu zilizopita jinsi zilivyoongozwa na wakristo.
4.Ni hawa hawa waliokuwa wakipiga kelele usiku na mchana kwamba serikali imejaa wakristo from top to down miaka si mingi imepita sasa.
5.Ni hawa hawa walioanzisha wimbo wa kwamba CUF ni chama cha kidini kwa kutumia vigezo hivi hivi walivyonavyo leo. Leo mkuki umewageukia.
6.Wenye macho hawaambiwi tazama. Wasio nayo(vipofu) tutawaambia nini kinatokea hapa duniani. Maana hawaoni. Mimi huku niliko we acha tu maana kafu ndio walikuwa wanamiliki kila eneo lakini baada ya kuingia kiongozi wa kiislamu wote wamerudi sisi m na visingizio ni vipi? wanaona sera za sisi m sasa ni safi!!!!!!!!!!! kwa vipi? kwa kuwa kiongozi ni muislamu! haya basi hapa watakuja na kusema hata mimi ni mdini! jamani kweli mimi ni mdini kwa kitu naona?
7.Kwa sasa sisi m ni chama cha kidini kabisa. Wao wameungana na kafu