Mh. Rais tumesikia mengi yanayoendelea katika siri-kali yako. Kashfa juu ya kashfa na hii imepelekea Waziri Mkuu na Rafiki yako kujiuzuru baada ya kuona hana njia ya kuleta mambo ya Kisungura. Vilevile umevunja baraza lako kwa sababu ya huyo Mh. ku-resign. Anyway sababu kuwa ya Lowassa kujiuzuru ni kile kuwa -implicated na Kamati ya Mwakyembe. Lakini tunajua kuwa bado kuna sakata zingine huko hazijatolewa ripoti kama vile BOT, BUZWAGI,SONGAs n.k
Katika report 2 tayari wamemhusisha rafiki yako mkubwa Mh. Rostam Aziz, huyu Mh. sana ambaye hata dola inaogopa kumsogelea ameibia sana wananchi. Hii ni kwa mujibu wa hizo report 2 na si mimi. Watu wako wa karibu wamehusishwa na hizi kashfa Lowassa, Rostam, Amb. Young na wengineo. Mie nilifikiri watanzania wanapenda kujua ukweli na kuaminishwa kuwa WEWE AS EITHER JAKAYA KIKWETE OR THE PRESIDENT OF TANZANIA hujui kinachoendelea juu ya hawa watu. Nashangaa watu hawamzungumzii kabisa Rostam Aziz na biashara zake haramu kwa watanzania lakini halali kwake yeye na kundi lake analolijua ambalo wanagawana hizo Mil. 152 Naamini kwa njia moja au nyingine hizi kashfa zinakusumbua sana kichwa especially zinapowahusisha marafiki zako. So U need to come clean na njia nyepesi kuwaeleza watanzania kuwa wewe hahuusiki kwa njia moja au nyingine ni kuhakikisha kuwa:-
1. Account zao zinakuwa FROZEN (Nje na ndani ya nchi)
2. Wanapelekwa MAHAKAMANI na si kishikaji kama tulivyoona kwa Mzee DITO.
3.Wakionekana Guilty then mali zao pamoja na fedha zitaifishwe na serikali
4. Wafungwe kwa mujibu wa sheria za UHUJUMU UCHUMI.
Vinginevyo urais 2010 utausoma kwenye magazeti tu. Tunajua kabisa kuwa bila utashi wako Kamati ya Mwakyembe isingeenda popote, ingepata findings na kuwa kama kamati zingine. Kwa hilo ninakupongeza sana. Lakini nina wasiwasi kuwa taasisi ambazo ulizipa maelekezi zitafute ukweli kuhusu sakata ya BOT. Hii TAKUKURU sina imani nayo kabisa maana ilidanganya Serikali, Bunge na wananchi kuwa ule mkataba wa Richmond ulikuwa safi na haukuwa na makosa makubwa ya kuiathiri nchi. Leo hii tunaambiwa kuwa kulikuwa matatizo kibao mara ya kubalidili LC, majina ya kampuni, taratibu za kupatikana mzabuni na mengineyo. Sasa tena inapewa jukumu jingine la kutafuta ukweli juu ya BOT, Mh. Rais huoni kama kutakuwa ule mchezo wa kulindana, maana tumesoma katika baadhi ya vyombo habari kuwa ile pesa baadhi ilikwenda kwenye uchaguzi wa CCM ambao ulikupitisha kugombea. Na hawa watu wamewekwa na Chama Tawala kupitia kwako. Mie nilifikiri kuwa tungetumia chombo huru kuangalia undani wake maana siamini IGP, AG (Ambaye ameonyesha UDHAIFU kwenye Mkataba wa Richmond), TAKUKURU wakasema uchafu ulifanyika na fedha zingine zilitumika uchaguzi CCM. Nafikiri hapo hapo watakuwa wamejifukuzisha kazi. Nafikiri tungetumia taasisi za kimataifa zinazoheshimika kwa uchunguzi maana naamini kuna International Transactions took place.
Nafikiri bado una nafasi nzuri ya kujisafisha before 2010. Tanzanians want you to come clean. Kazi unayo Baba Ridhwani maana unatakiwa kusafisha huko BRELA, TAKUKURU hadi hapo IKULU. Na suala la Mkapa na Yona husitake kujifanya kuwa una NTA masikioni au umesahau, hawa watu wanatakiwa kuchunguzwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Watanzania wanaishi kimasikini, kila mtu anapenda unafuu wa maisha, sasa huu sio wakati wa kulipa fadhila eti he fought for you to get The CCM Nomination, pls. Haki isimame kwa kila mtu anayeishi kwenye ardhi ya Tanzania bila kujali rangi au uwezo kipesa. SUALA HAPA NI UHUJUMU UCHUMI, RUSHWA, UFISADI N.K Urafiki sasa hivi weka pembeni vinginevyo U'll pay A PRICE 2010, na hii si utani maana watanzania wamechoka na usanii na ubabaishaji.
Hii mikataba UCHWARA itafutwe jinsi ya kuivunja bila kuiathiri serikali. Itafutwe namna either kupitia bunge na Mahakama pamoja na wahusika wenyewe. Serikali bado inalipa Mil.152 kila mwezi kwa kampuni ya DOWANS ambaye mmiliki wake ni mshirika/rafiki yako ambaye yumo humo humo Bungeni. Jamani kweli hii nchi inaliwa kweli. Na bado huyo mtu anapewa dhamana na IKULU kutafuta watu to work for President. Najua haya mambo yalikuwa ya kibiashara (Richmond & TANESCO) lakini naamini unaweza ku-tight grip na huyu Mh. wa Igunga aka-make something for the sake of the country.
Katika report 2 tayari wamemhusisha rafiki yako mkubwa Mh. Rostam Aziz, huyu Mh. sana ambaye hata dola inaogopa kumsogelea ameibia sana wananchi. Hii ni kwa mujibu wa hizo report 2 na si mimi. Watu wako wa karibu wamehusishwa na hizi kashfa Lowassa, Rostam, Amb. Young na wengineo. Mie nilifikiri watanzania wanapenda kujua ukweli na kuaminishwa kuwa WEWE AS EITHER JAKAYA KIKWETE OR THE PRESIDENT OF TANZANIA hujui kinachoendelea juu ya hawa watu. Nashangaa watu hawamzungumzii kabisa Rostam Aziz na biashara zake haramu kwa watanzania lakini halali kwake yeye na kundi lake analolijua ambalo wanagawana hizo Mil. 152 Naamini kwa njia moja au nyingine hizi kashfa zinakusumbua sana kichwa especially zinapowahusisha marafiki zako. So U need to come clean na njia nyepesi kuwaeleza watanzania kuwa wewe hahuusiki kwa njia moja au nyingine ni kuhakikisha kuwa:-
1. Account zao zinakuwa FROZEN (Nje na ndani ya nchi)
2. Wanapelekwa MAHAKAMANI na si kishikaji kama tulivyoona kwa Mzee DITO.
3.Wakionekana Guilty then mali zao pamoja na fedha zitaifishwe na serikali
4. Wafungwe kwa mujibu wa sheria za UHUJUMU UCHUMI.
Vinginevyo urais 2010 utausoma kwenye magazeti tu. Tunajua kabisa kuwa bila utashi wako Kamati ya Mwakyembe isingeenda popote, ingepata findings na kuwa kama kamati zingine. Kwa hilo ninakupongeza sana. Lakini nina wasiwasi kuwa taasisi ambazo ulizipa maelekezi zitafute ukweli kuhusu sakata ya BOT. Hii TAKUKURU sina imani nayo kabisa maana ilidanganya Serikali, Bunge na wananchi kuwa ule mkataba wa Richmond ulikuwa safi na haukuwa na makosa makubwa ya kuiathiri nchi. Leo hii tunaambiwa kuwa kulikuwa matatizo kibao mara ya kubalidili LC, majina ya kampuni, taratibu za kupatikana mzabuni na mengineyo. Sasa tena inapewa jukumu jingine la kutafuta ukweli juu ya BOT, Mh. Rais huoni kama kutakuwa ule mchezo wa kulindana, maana tumesoma katika baadhi ya vyombo habari kuwa ile pesa baadhi ilikwenda kwenye uchaguzi wa CCM ambao ulikupitisha kugombea. Na hawa watu wamewekwa na Chama Tawala kupitia kwako. Mie nilifikiri kuwa tungetumia chombo huru kuangalia undani wake maana siamini IGP, AG (Ambaye ameonyesha UDHAIFU kwenye Mkataba wa Richmond), TAKUKURU wakasema uchafu ulifanyika na fedha zingine zilitumika uchaguzi CCM. Nafikiri hapo hapo watakuwa wamejifukuzisha kazi. Nafikiri tungetumia taasisi za kimataifa zinazoheshimika kwa uchunguzi maana naamini kuna International Transactions took place.
Nafikiri bado una nafasi nzuri ya kujisafisha before 2010. Tanzanians want you to come clean. Kazi unayo Baba Ridhwani maana unatakiwa kusafisha huko BRELA, TAKUKURU hadi hapo IKULU. Na suala la Mkapa na Yona husitake kujifanya kuwa una NTA masikioni au umesahau, hawa watu wanatakiwa kuchunguzwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Watanzania wanaishi kimasikini, kila mtu anapenda unafuu wa maisha, sasa huu sio wakati wa kulipa fadhila eti he fought for you to get The CCM Nomination, pls. Haki isimame kwa kila mtu anayeishi kwenye ardhi ya Tanzania bila kujali rangi au uwezo kipesa. SUALA HAPA NI UHUJUMU UCHUMI, RUSHWA, UFISADI N.K Urafiki sasa hivi weka pembeni vinginevyo U'll pay A PRICE 2010, na hii si utani maana watanzania wamechoka na usanii na ubabaishaji.
Hii mikataba UCHWARA itafutwe jinsi ya kuivunja bila kuiathiri serikali. Itafutwe namna either kupitia bunge na Mahakama pamoja na wahusika wenyewe. Serikali bado inalipa Mil.152 kila mwezi kwa kampuni ya DOWANS ambaye mmiliki wake ni mshirika/rafiki yako ambaye yumo humo humo Bungeni. Jamani kweli hii nchi inaliwa kweli. Na bado huyo mtu anapewa dhamana na IKULU kutafuta watu to work for President. Najua haya mambo yalikuwa ya kibiashara (Richmond & TANESCO) lakini naamini unaweza ku-tight grip na huyu Mh. wa Igunga aka-make something for the sake of the country.