UDA yanunua mabasi mapya 30

Zuga tu haya ma-tata yanakuwaga hovyooo
nji hii bhana mara ambulence bajaji
rada feki
sasa haya ma uda yao,kweli wanatuona vilaza cie ! Ukiambiwa bei walonunulia basi moja, inaweza kulingana na v8 moja,haaaa
 
Wala hakuna haja ya makelele yote haya kwa TATA 30.........Dar Express wana mabasi mangapi?....UDA is an icon bana.....Halafu haya model ya zamani na sio city buses......ona TATA la mjini linavyopaswa kuwa

Tata-CNG-hybrid-bus.jpg
 
Kwani uwekezaji ule wa UDA bado ni halali? Ulifuata taratibu gani? Una tofauti yoyote na uwekezaji ule wa Kiwira?
 
Hawa jamaa lazima kuna deal wanatafuta kupitia hayo mabasi mabovu. tusubiri soon kuliwa.

Naona sasa kuna watu wanatamani jela! Dawa yao hawa nikuwafunga wote.
Uhuni huu utaisha lini, nchi si ndo wanaimaliza jamani.
 
Wakuu si tuwape muda tuone watafika wapi? Ila huyu ngosha chapa ng'ombe naye amezidi majigambo! Eti mpango ni kuwa na mabasi 1000! Ila wazee hata majirani zetu kuna City Hoppers ina mabasi ya TATA na yanapiga mzigo mwanzo mwisho inawezekana ni mazuri! JW nao wamejaza magari ya TATA sijui kuna mkono wa akina Mohan Singh?
 
Siyo mabasi ya UDA hayo... we mwache adai anavyodai.
Hayo ni mabasi ya Simon Group. Kama ilivyoandikwa michuzi.

c'mmon guys you know what is going on here; hii ni namna ya kuibambikia UDA deni. Fikiria incase ripoti inakuja na kusema shirika bado ni la umma na halijauzwa; Kisena atafungua kesi kuyadai mabasi yake ambayo aliyanunua "kama mbia" wa UDA na then tunaenda kwenye songombingo nyingine ya mahakamani hadi tuchokeee!! hawa watu wako smart sana kwenye ufisadi its like a template ambayo imeandikwa na inafuatwa to the last dot!
 
c'mmon guys you know what is going on here; hii ni namna ya kuibambikia UDA deni. Fikiria incase ripoti inakuja na kusema shirika bado ni la umma na halijauzwa; Kisena atafungua kesi kuyadai mabasi yake ambayo aliyanunua "kama mbia" wa UDA na then tunaenda kwenye songombingo nyingine ya mahakamani hadi tuchokeee!! hawa watu wako smart sana kwenye ufisadi its like a template ambayo imeandikwa na inafuatwa to the last dot!

Ni muhimu kila wakati kukumbuka kuwa kwenye sehemu ambayo iliyojaa ufisadi kila deal kubwa lazima ishirikishe mtandao wa watu wengi (network of godfathers) kuanzia serikali, mahakama, Bunge na matajiri wenye mitandao yao. Mtandao huu ndio chimbuko la kiburi cha mchana ambacho tunakiona katika uuzwaji wa UDA. Kinachofanyika ni kuvuta muda tu ili watu walio wengi wasahau kabla ya wamiliki wapya kuanza kuhamisha mali zizihamishika (ardhi na nyumba) za UDA. Subirini mtayashuhudia haya karibuni.
 
simon kisena, kwani mzee iddi simba ameshakurudishia zile faranga zako?

Kwanini usisubiri 2015 ipite ili upime upepo, vinginevyo itakula kwako

abiria 30?kwenye mdahalo pale movenpick alisema abiria 150 sasa imekuaje au alikosea? Hivi huyu si ndo anamiliki kampuni ya robasika yaani (robart simon and kapuya) hahah mjini humu ipo siku mambo yatatinduliwa!
 
Wala hakuna haja ya makelele yote haya kwa TATA 30.........Dar Express wana mabasi mangapi?....UDA is an icon bana.....Halafu haya model ya zamani na sio city buses......ona TATA la mjini linavyopaswa kuwa

Tata-CNG-hybrid-bus.jpg

Usikute hayo waliyonunua huko India walikuwa wanatafuta mahali pa kuya-dump ili waweke barabarani vitu vipya kama hivi. Itakuwa kama yale mabehewa ya treni kutoka India
 
hayo mabasi ni bora wangeyapeleka Sumbawanga yakasidia kusukuma maisha ya wanyonge kule kuliko kutuletea ma used Waliyoyachoka wahindi katika jiji letu la Dar:A S 465:

ANGALIA JIRANI ZETU RWANDA WALIVYOANZA NA KIGALI BUS SERVICE:juggle:

kigalibusservices.com

Kweli wako mbali. Mpaka smart card now is operating kwenye mabasi ya kigali. Mpaka timetables.

The Buses
KBS%201.jpg-for-web-normal-1315916335.jpg
33947.jpg


Ticketing system

SmartCardMontage.jpg
Bus%20Smart%20Card2.jpg
Reloader2.jpg



The smartcard

TWENDE%20110720-1.jpg-for-web-normal.jpg
 
UDA imenunua mabasi mapya 30 yenye uwezo wa kubeba abiria 40 kila basi. Hii ni mara ya kwanza UDA, ambayo sasa ni kampuni binafsi, kununua mabasi mengi kwa wakati mmoja tokea ilipoanzishwa miaka 38 iliyopita.

Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar Es Sakaam, Mkurugenzi wa kampuni ya Simon Group, Bw. Robert Kisena, amesema kampuni yake inaifufua UDA ambao imekuwa katika hali mbaya. Amesena Simon Group inatarajia kuongeza ajira kupitia UDA. Mpango ni kuwa na mabasi 1,000

Bw Kisena amesema wale wote waliokuwa wakipinga kampuni yake kutokuwa na uwezo wa kuiendesha UDA sasa watakuwa na maoni tofauti. Bw. Kisena amesema kwa miezi sita tuu iliyopita, tayari kampuni yake imesha-invest sh. 3bn/- UDA kwa ajili ya mishahara, spare parts, na kununua mabasi mapya na kuongeza kuwa pesa zimetoka kwenye sources za nje kutoka na mgogoro iliosababisha accounts za UDA zifungwe.

Mabasi yenyewe mapya ndiyo hayo kwenye picha hapo chini.

tata.jpg

Kisena ana elimu ya biashara!!!??? Kwani kama hela anazo asingeanzisha kampuni yake binafsi hadi aingilie mlango wa UDA!!!!""''' WIZI MTUPU.....
 
c'mmon guys you know what is going on here; hii ni namna ya kuibambikia UDA deni. Fikiria incase ripoti inakuja na kusema shirika bado ni la umma na halijauzwa; Kisena atafungua kesi kuyadai mabasi yake ambayo aliyanunua "kama mbia" wa UDA na then tunaenda kwenye songombingo nyingine ya mahakamani hadi tuchokeee!! hawa watu wako smart sana kwenye ufisadi its like a template ambayo imeandikwa na inafuatwa to the last dot!

AISEEEE.... kama ubongo wa mtu waweza kumuuzia mtu aongezee fikra, kwa gharama yoyote ningekuona mkuu!!!"""###
 
Hizo gari ni outdated watu sasahivi tunataka huduma bora sio hiyo mitata, kunamchangiaji alitaja enzi za ikalus hizi gari zilikua standard enzi zile nauli dala, g/mboto-posta ni 20min tu ushafika hakuna foleni, sasahivi mautumbo matupu
 
Back
Top Bottom