EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
UDA imenunua mabasi mapya 30 yenye uwezo wa kubeba abiria 40 kila basi. Hii ni mara ya kwanza UDA, ambayo sasa ni kampuni binafsi, kununua mabasi mengi kwa wakati mmoja tokea ilipoanzishwa miaka 38 iliyopita.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar Es Sakaam, Mkurugenzi wa kampuni ya Simon Group, Bw. Robert Kisena, amesema kampuni yake inaifufua UDA ambao imekuwa katika hali mbaya. Amesena Simon Group inatarajia kuongeza ajira kupitia UDA. Mpango ni kuwa na mabasi 1,000
Bw Kisena amesema wale wote waliokuwa wakipinga kampuni yake kutokuwa na uwezo wa kuiendesha UDA sasa watakuwa na maoni tofauti. Bw. Kisena amesema kwa miezi sita tuu iliyopita, tayari kampuni yake imesha-invest sh. 3bn/- UDA kwa ajili ya mishahara, spare parts, na kununua mabasi mapya na kuongeza kuwa pesa zimetoka kwenye sources za nje kutoka na mgogoro iliosababisha accounts za UDA zifungwe.
Mabasi yenyewe mapya ndiyo hayo kwenye picha hapo chini.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar Es Sakaam, Mkurugenzi wa kampuni ya Simon Group, Bw. Robert Kisena, amesema kampuni yake inaifufua UDA ambao imekuwa katika hali mbaya. Amesena Simon Group inatarajia kuongeza ajira kupitia UDA. Mpango ni kuwa na mabasi 1,000
Bw Kisena amesema wale wote waliokuwa wakipinga kampuni yake kutokuwa na uwezo wa kuiendesha UDA sasa watakuwa na maoni tofauti. Bw. Kisena amesema kwa miezi sita tuu iliyopita, tayari kampuni yake imesha-invest sh. 3bn/- UDA kwa ajili ya mishahara, spare parts, na kununua mabasi mapya na kuongeza kuwa pesa zimetoka kwenye sources za nje kutoka na mgogoro iliosababisha accounts za UDA zifungwe.
Mabasi yenyewe mapya ndiyo hayo kwenye picha hapo chini.