Uchambuzi wa Ambangile

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
Ameandika @georgeambangile

IT IS WHAT IT IS ...!

Yani hii mechi unaanzia wapi kuichambua ?

Denis Kitambi kwenye mahojiano na Gift Macha kamaliza kila kitu , amesema " kabla ya mechi ungenipa alama moja naichukua lakini kwa jinsi mechi ilivyokuwa na nafasi alizopata kwenye counter attacks amehuzunika kutoshinda mechi "

Hii inatoa hadithi nzima ya mechi , Namungo walikuwa comfortable sana na inawezekana hawakuamini macho yao jinsi gani mechi ilikuwa rahisi sana kwao , hawakulazimika kukimbia sana maana Simba alikuwa slow sana , hawakulazimika kutumia nguvu maana Simba kwenye 50/50 hawakuwa imara sana , hawakuhitaji kubutua sana mipira ( kasoro Nahimana ) kwasababu hawakuwa wanawekewa presha kutoka kwa Simba wakiwa na mali . Kilichofanya wasiokote dodo chini ya Mwarobaini ??

1: Kukosa umakini katika nyakati muhimu waliposhambulia

2: Kutokuwa na imani ya kuamini kwamba wanaweza kufunga zaidi ya goli moja ( Simba walikuwa wazi sana )

3: Ukiacha ( Hamisi Khalifa ) kwenye kiungo wengine walikosa kujiamini kukaa na mpira na kuharakisha pasi . Matokeo yake ? Huwezi ku control mechi .

Simba SC sasa ... nafikiri mpira huwa unachezwa kichwani na kuwaangalia tu wachezaji wa Simba leo nafikiri ingekuwa amri yao basi mechi ya leo isingekuwepo .... miili ipo uwanjani lakini mawazo yao hayapo hapo

Lugha ya mwili inakuambia hili , wapo slow , pasi zinapotea kirahisi , hawafiki kugombania mipira , hawana uharaka wa kuwaweka Namungo kwenye presha ( angalau kidogoooo dakika zile 15 za mwisho ) ile hasira binafsi kwa mchezaji huoni kwa wachezaji wengi .

Kiufupi ni kwamba leo Simba ni kama walilazimishwa kuingia uwanjani . Mechi iliyopita kisaikolojia imewavuruga sana ... kuanzia sasa kabla ya mechi ijayo nafikiri hawatakiwii kufikiria chochote kwanza kuhusu FOOTBALL angalau kwa siku kadhaa tu .

WANAHITAJI KU RECOVER HARAKA .!

NOTE

1: Hamisi Khalifa kwanza kachomekea mwanzo mwisho halafu hana wasiwasi dimbani

2: Lusajo ataendelea tu kufunga kwenye ligi analijua goli

3: Jean Baleke goalscorer

4: Nyoni na Derrick
 
Wangecheza Jana wangefungwa kwa uchovu walioonyesha Leo
Mbumbumbu amkeni basi hata kidogo, Simba kwasasa haina wachezaji wenye hadhi ya timu kubwa, nimesema mara nyingi level ya Simba for now ni sawa na underdogs wengine kwenye ligi! Kwasasa bila msaada wa refa Simba inapasuliwa khamsa hata na Lipuli au Abajalo! Timu ya hovyo kabisa , Jina kuuuuuubwa! Promo Dunia nzima!

Jinsi Simba inacheza , hapa hakuna cha uchovu wala nini ndio uwezo wa wachezaji ulipofikia! Hata uwape mwezi kujiandaa na mechi na Faru Dume matokeo hayatabadilika! Ni kichapo tu!
 
Mbumbumbu amkeni basi hata kidogo, Simba kwasasa haina wachezaji wenye hadhi ya timu kubwa, nimesema mara nyingi level ya Simba for now ni sawa na underdogs wengine kwenye ligi! Kwasasa bila msaada wa refa Simba inapasuliwa khamsa hata na Lipuli au Abajalo! Timu ya hovyo kabisa , Jina kuuuuuubwa! Promo Dunia nzima!

Jinsi Simba inacheza , hapa hakuna cha uchovu wala nini ndio uwezo wa wachezaji ulipofikia! Hata uwape mwezi kujiandaa na mechi na Faru Dume matokeo hayatabadilika! Ni kichapo tu!
I am not a mbumbumbu fan my friend and I will never be
 
Ameandika @georgeambangile

IT IS WHAT IT IS ...!

Yani hii mechi unaanzia wapi kuichambua ?

Denis Kitambi kwenye mahojiano na Gift Macha kamaliza kila kitu , amesema " kabla ya mechi ungenipa alama moja naichukua lakini kwa jinsi mechi ilivyokuwa na nafasi alizopata kwenye counter attacks amehuzunika kutoshinda mechi "

Hii inatoa hadithi nzima ya mechi , Namungo walikuwa comfortable sana na inawezekana hawakuamini macho yao jinsi gani mechi ilikuwa rahisi sana kwao , hawakulazimika kukimbia sana maana Simba alikuwa slow sana , hawakulazimika kutumia nguvu maana Simba kwenye 50/50 hawakuwa imara sana , hawakuhitaji kubutua sana mipira ( kasoro Nahimana ) kwasababu hawakuwa wanawekewa presha kutoka kwa Simba wakiwa na mali . Kilichofanya wasiokote dodo chini ya Mwarobaini ??

1: Kukosa umakini katika nyakati muhimu waliposhambulia

2: Kutokuwa na imani ya kuamini kwamba wanaweza kufunga zaidi ya goli moja ( Simba walikuwa wazi sana )

3: Ukiacha ( Hamisi Khalifa ) kwenye kiungo wengine walikosa kujiamini kukaa na mpira na kuharakisha pasi . Matokeo yake ? Huwezi ku control mechi .

Simba SC sasa ... nafikiri mpira huwa unachezwa kichwani na kuwaangalia tu wachezaji wa Simba leo nafikiri ingekuwa amri yao basi mechi ya leo isingekuwepo .... miili ipo uwanjani lakini mawazo yao hayapo hapo

Lugha ya mwili inakuambia hili , wapo slow , pasi zinapotea kirahisi , hawafiki kugombania mipira , hawana uharaka wa kuwaweka Namungo kwenye presha ( angalau kidogoooo dakika zile 15 za mwisho ) ile hasira binafsi kwa mchezaji huoni kwa wachezaji wengi .

Kiufupi ni kwamba leo Simba ni kama walilazimishwa kuingia uwanjani . Mechi iliyopita kisaikolojia imewavuruga sana ... kuanzia sasa kabla ya mechi ijayo nafikiri hawatakiwii kufikiria chochote kwanza kuhusu FOOTBALL angalau kwa siku kadhaa tu .

WANAHITAJI KU RECOVER HARAKA .!

NOTE

1: Hamisi Khalifa kwanza kachomekea mwanzo mwisho halafu hana wasiwasi dimbani

2: Lusajo ataendelea tu kufunga kwenye ligi analijua goli

3: Jean Baleke goalscorer

4: Nyoni na Derrick
Wazungu wale walikuwa na sumu Kali sana
 
Mbumbumbu amkeni basi hata kidogo, Simba kwasasa haina wachezaji wenye hadhi ya timu kubwa, nimesema mara nyingi level ya Simba for now ni sawa na underdogs wengine kwenye ligi! Kwasasa bila msaada wa refa Simba inapasuliwa khamsa hata na Lipuli au Abajalo! Timu ya hovyo kabisa , Jina kuuuuuubwa! Promo Dunia nzima!

Jinsi Simba inacheza , hapa hakuna cha uchovu wala nini ndio uwezo wa wachezaji ulipofikia! Hata uwape mwezi kujiandaa na mechi na Faru Dume matokeo hayatabadilika! Ni kichapo tu!
Daaah zile kelele zao .....za sawa na mamelodi....Al ahly zimepotea
 
Back
Top Bottom