LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Taarifa inasema kiingilio kwenye mechi yetu na Mamelody itakuwa bure Mzunguko.
Sababu za uongozi zina mashiko pasi na shaka yoyote. Kwanza mechi itachezwa usiku sana halafu pili ni mwezi mtukufu wa Ramadhwani etc.
But hatuoni kuwa Simba wanaweza kuingia pia uwanjani kwa wingi yakaja kuwa kama yale ya Yanga vs T.P mazembe miaka kadhaa iliyo pita ambapo mechi iliwekwa bure mzunguko Simba wakajaa na kuwashangilia sana Mazembe kama wapo nyumbani vile.
Tunajua Yanga hawawezi kutikiswa na kushangiliwa kwa wapinzani wao lakini mcheza kwao hutuzwa bana lazima tuzingatie hilo.
Tunaomba uwekwe utaratibu kwamba siku hiyo iwe hakuna kuingia uwanjani kama hauna jezi ya Yanga...
No jezi ya Yanga no entrance.
Sababu za uongozi zina mashiko pasi na shaka yoyote. Kwanza mechi itachezwa usiku sana halafu pili ni mwezi mtukufu wa Ramadhwani etc.
But hatuoni kuwa Simba wanaweza kuingia pia uwanjani kwa wingi yakaja kuwa kama yale ya Yanga vs T.P mazembe miaka kadhaa iliyo pita ambapo mechi iliwekwa bure mzunguko Simba wakajaa na kuwashangilia sana Mazembe kama wapo nyumbani vile.
Tunajua Yanga hawawezi kutikiswa na kushangiliwa kwa wapinzani wao lakini mcheza kwao hutuzwa bana lazima tuzingatie hilo.
Tunaomba uwekwe utaratibu kwamba siku hiyo iwe hakuna kuingia uwanjani kama hauna jezi ya Yanga...
No jezi ya Yanga no entrance.