Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Salaam waku.
Kama kawaida mchambuzi wenu hapa jf sports lazima niwaletee uchambuzi wa mechi kati ya simba na Galaxy
Mechi itakuwa na tension kubwa sana ambayo haijawahi shuhudiwa kwakuwa team zote zitahitaji matokeo chanya ....hii itakuwa mbaya Kwa Simba kwani watahitaji kufanya mashambulizi frequently
Kitendo Cha kushambulia sana ....kutokana na uwepo wa wachezaji vikongwe....jwaneng galaxy watatumia counter attacks na kuwaadhibu makolo mvua ya magoli kwani Baada ya kufunga goli Moja makolo wata panic hivyo kuendelea kuruhusu zaidi magoli
Conclusion
Binafsi sina alternative suggestions Kwa Simba kukwepa kichapo....coz team ni mbovu sana
Nb: ushauri wangu ni Simba tuendelee kujiandaa na Azam confederation cup ..huku kimataifa tumeshindwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama kawaida mchambuzi wenu hapa jf sports lazima niwaletee uchambuzi wa mechi kati ya simba na Galaxy
Mechi itakuwa na tension kubwa sana ambayo haijawahi shuhudiwa kwakuwa team zote zitahitaji matokeo chanya ....hii itakuwa mbaya Kwa Simba kwani watahitaji kufanya mashambulizi frequently
Kitendo Cha kushambulia sana ....kutokana na uwepo wa wachezaji vikongwe....jwaneng galaxy watatumia counter attacks na kuwaadhibu makolo mvua ya magoli kwani Baada ya kufunga goli Moja makolo wata panic hivyo kuendelea kuruhusu zaidi magoli
Conclusion
Binafsi sina alternative suggestions Kwa Simba kukwepa kichapo....coz team ni mbovu sana
Nb: ushauri wangu ni Simba tuendelee kujiandaa na Azam confederation cup ..huku kimataifa tumeshindwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app