Uchaguzi wa NEC Hanang': Sumaye abwagwa na mama Nagu

Hata siku moja sitaweza kuamini kama Nagu ananguvu ya kumzidi Sumaye pale Hanang.. ni siasa zetu za kuchakachua tu..
 
Mapenzi kweli yana mwisho, hivi Leo Mary Nagu umemfanyia haya suamaye? Kumbuka mahusiano yenu wakati dereva wako anakupeleka nyumbani kwa suamaye usiku na anakusbiri had saa kumi na moja alfajiri , dah kweli siasa Mbaya jamani mama Nagu kumgeuka sumaye namna hii? Mhh
 
Mbona mnamumunya maneno? Anguko la Sumaye lina mkono wa Lowasa, naona ameshapunguza opponents towards 2015, jamaa anaprone kidogo kidogo. Kufikia 2014 atakuwa kabakiza mmoja na kufikia 2015 atakuwa hana mpinzani
 
Makubwa!!! Kuna mambo hapa sielewi, huyu mama anamme (Prof Nagu), na huyo baba ana mke (Mrs Sumaye), sasa inakuwaje wazae pamoja hawa bila tafrani la fumanizi au kupelekana mahakamani kutokea?? Mleta mada funguka!!!

Sasa wewe ndio unataka kuanzisha tafrani, pengine wenzako walishayamaliza wewe unataka watu wafunguke machungu yaanze upya.(kitanda hakizai haramu)
 
Nimesikitika kwa mawili Sumaye kushindwa na mama Nagu anayesemekana amezaa naye mtoto wao wa mwisho

Pili hapa kulikuwa na mkpno wa wazeee na hela imemwagwa kuhakikisha Sumaye hakatizi na tukiangalia kwa ubora in tterms of leadership Nagu haaingii kwa Sumaye hata robo lakini kwa chama kiki cha Ccm wenye fesha ndio watadumu nina amini Sumaye alikwenda kawaida kwa nia ya dhati na hakujua anayepambana nae ana nguvu kiasi gani bahati mbaya alifikiri ni yule Nagu aliyemzoea kumbe ameadvance sana na analindwa na wazee ndani ya chama Tusubirie Sumaye atakapofunguka hili balaa kubwa
 
Mbona mnamumunya maneno? Anguko la Sumaye lina mkono wa Lowasa, naona ameshapunguza opponents towards 2015, jamaa anaprone kidogo kidogo. Kufikia 2014 atakuwa kabakiza mmoja na kufikia 2015 atakuwa hana mpinzani

Halafu sisi tutamsongola, huku akiwa katupa pesa kibao!! Itafuata presha, mara jicho ujerumani, mara kiharusi, hatimaye . . . . . . . .
 
Binafsi nimefurahishwa sana na matokeo aliyoyapata Mhe. Sumaye, ama hakika amevuna alichokipanda. Ni mfano mzuri kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka. Yaani, huyu bwana pamoja nakuwa Waziri Mkuu kwa miaka kumi, bado tu alikuwa ANATAKA TENA?
Hili liwe FUNDISHO kwa VING'ANG'ANIZI wengine...
 
Binafsi nimefurahishwa sana na matokeo aliyoyapata Mhe. Sumaye, ama hakika amevuna alichokipanda. Ni mfano mzuri kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka. Yaani, huyu bwana pamoja nakuwa Waziri Mkuu kwa miaka kumi, bado tu alikuwa ANATAKA TENA?
Hili liwe FUNDISHO kwa VING'ANG'ANIZI wengine...


Mkuu unajua kila mwanaCCM ana haki ya kugombea. Sina hakika kama ujumbe wa NEC ni madaraka, lakini ni kwanini unafurahia Sumaye kunshindwa? ni kwa kuwa hafai au kwa kuwa amekwahi kuwa PM, mzee hana mawazo mapya yanayoweza kusaidia Chama?

Sioni ajabu mtu kupata na kuendelea kutaka tena. Kuna wengi tu ambao wamekuwepo kwa muda mrefu kuliko Sumaye why are not talking a thing about them.

I would think that the point should be "the right vs the wrong" and not "the young vs the old". Serikali iliyoko madarakani sasa iliingia kwa gia ya ujana, look at the mess we are in now.
 
Ni kweli kabisa. Hakuna ubaya wa yeye kugombea tena. Nafikiri labda tatizo ni kwamba alistahili kupumzika kwa heshima! Vinginevyo mtoa mada uko sahihi
 
The lesson which was learned here is that in POWER OF MONEY vs PRINCIPLES THE WINNER IS POWER OF MONEY..
 
Ubaya wa kugombea tena upo sana tu. Kwa nini wasipewe chance wengine nao ku-prove a point. Kila siku mamwinyi wale wale. Mibuyu angushaneni wenyewe huko huko, tutafika tu.
 
Kugombea madaraka kwa magambazzz ni kutafuta ulinzi wa mali zao walizochuma kifisadi walipokuwa madarakani.
 
Mkuu unajua kila mwanaCCM ana haki ya kugombea. Sina hakika kama ujumbe wa NEC ni madaraka, lakini ni kwanini unafurahia Sumaye kunshindwa? ni kwa kuwa hafai au kwa kuwa amekwahi kuwa PM, mzee hana mawazo mapya yanayoweza kusaidia Chama?

Sioni ajabu mtu kupata na kuendelea kutaka tena. Kuna wengi tu ambao wamekuwepo kwa muda mrefu kuliko Sumaye why are not talking a thing about them.

I would think that the point should be "the right vs the wrong" and not "the young vs the old". Serikali iliyoko madarakani sasa iliingia kwa gia ya ujana, look at the mess we are in now.

umeweka point nzuri ila kwangu binafsi naamini hakuna rationale ya sumaye kugombea, he is just greed and tamaa ya mzee fisi

KAUMBUKA VIZURI SANA

HE IS THE LONGEST SERVING PM, WHAT A SHAME NA MBA YAKE YA HARVARD
 
Hakuna cho chote wote ni walewale. Hata akipata Dr. Nagu ung'anganizi ni uleule.
 
Hawa ndio viongozi wanaojua kupigania chama, sasa sijui kama wanaweza fanya hivyo kwa nchi nzima kwa maslahi ya waliowengi?!
 
Back
Top Bottom