Uchaguzi Mkuu wa CCM Mwaka 2007

kilitime,
hebu pitia orodha ya wajumbe wa CC-CCM hapa http://www.ccmtz.org/0kamatikuu.htm halafu uniambie kama kura ikipigwa ili kufanya maamuzi ambayo EL na JK wanataka yakubalike kwa kura ya ndiyo, unategemea watashindwa?

Demokrasia siku zote ni mchezo wa namba tu, na kura ni kiini macho cha demokrasia. Ndiyo maana JK alipopewa rungu la umwenyekiti kitu cha kwanza ilikuwa ni kuweka watu wake ili aweze kupata namba ya kutosha kwenye maamuzi na hivyo awe na uwezo wa ku-influence maamuzi hata pale wajumbe wakisema wapige kura ili kufanya maamuzi.

Kwa hiyo kinachoendelea kwenye cc-ccm na bungeni ni mchezo ule ule, maana huwezi kwenda kinyume na aliyekupatia ulaji na siku zote lazima ulinde maslahi yake vinginevyo ukienda kinyume nae una-risk kunyang'anywa ulaji. May be ndiyo maana watu wanaunganisha swala la kampeni za kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya ccm na swala la Maregsi kutupwa nje.

Mzee Mashishanga yuko wapi? He was open kwamba he was pro-Sumaye na alimuahidi Sumaye kwamba wakazi wa mkoa wa Morogoro wangempa kura zote iwapo angeteuliwa kugombea urais kupitia CCM.
 
Kula 5 Mzee ES!

Ni kweli kabisa migongano ndani ya CCM ni kwa maslahi yao binafsi na wao kwa wao wanajua namna ya kupoozana na kuadabishana pindi kukitokea misuguano. Hiyo ni janja ya nyani na ndiyo maana kila siku huwa wanasema kwamba CCM itatawala kwa miaka zaidi ya 100 ijayo! Hiyo confidence wanaipata wapi?
 
Malegesi, hakuwa mtandao lakini alisaidiwa sana na mtandao kuipata hiyo nafasi, maana the big enemy alikuwa Idd Simba, ambaye ilitakiwa atolewe by any means necessary, kwa sababu alikuwa ni mwiba kwa kambi zote zilizogombea urais uliopita, pamoja na close ties zake na Mkapa!

Kataraiya, between Bukoba na Mwanza, sasa kuna new kids on the block, (Mtandao) Diallo, Karimagi, Kamalla, Masha,(mkubwa na mtoto) ambao sasa wanashika hatamu huko kwa kuwaondoa Shija, Mugema, na Rwakatare, wao sasa ndio the new north block power, with political power ku-make na un-make anyone politically, victim wa kwanza alikuwa Shija, baadaye Mgema, na sasa Kataraiya, next atakuwa Luangisa kwenye umeya, then itakuwa mbunge Suedi! na the likes!


Sasa imefika saa ya mtandao kushika hatamu ndani ya CCM, umoja wa wazazi, kina mama, na vijana, ni vitengo muhimu sana ambavyo lazima viwe mikononi mwa mtandao, na sasa ni oficial kwamba the mighty and undisputed Nchimbi, is leading the charge, next on line ni Magufuli, Mramba, na Mwandosya!
 
Malegesi, hakuwa mtandao lakini alisaidiwa sana na mtandao kuipata hiyo nafasi, maana the big enemy alikuwa Idd Simba, ambaye ilitakiwa atolewe by any means necessary, kwa sababu alikuwa ni mwiba kwa kambi zote zilizogombea urais uliopita, pamoja na close ties zake na Mkapa!

Kataraiya, between Bukoba na Mwanza, sasa kuna new kids on the block, (Mtandao) Diallo, Karimagi, Kamalla, Masha,(mkubwa na mtoto) ambao sasa wanashika hatamu huko kwa kuwaondoa Shija, Mugema, na Rwakatare, wao sasa ndio the new north block power, with political power ku-make na un-make anyone politically, victim wa kwanza alikuwa Shija, baadaye Mgema, na sasa Kataraiya, next atakuwa Luangisa kwenye umeya, then itakuwa mbunge Suedi! na the likes!


Sasa imefika saa ya mtandao kushika hatamu ndani ya CCM, umoja wa wazazi, kina mama, na vijana, ni vitengo muhimu sana ambavyo lazima viwe mikononi mwa mtandao, na sasa ni oficial kwamba the mighty and undisputed Nchimbi, is leading the charge, next on line ni Magufuli, Mramba, na Mwandosya!

Kataraiya kaiba 37 million, it is documented. Malegesi kaiba 165 milion, it is documented. Na wote wamekiri kwenye Kamati ya Maadili na Kamati Kuu. Part of the purge? May be may be not.

Kataraiya is a political lightweight...ukishakuwa Katibu wa Mkoa, you are not spoken of as a political giant with a constituency, because you simply don't.

Nchimbi's power and influence is overrated here at JF (how can an idiot with a fake degree manage all this stuff? isn't that a contradiction?).
 
Kula 5 Mzee ES!

Ni kweli kabisa migongano ndani ya CCM ni kwa maslahi yao binafsi na wao kwa wao wanajua namna ya kupoozana na kuadabishana pindi kukitokea misuguano. Hiyo ni janja ya nyani na ndiyo maana kila siku huwa wanasema kwamba CCM itatawala kwa miaka zaidi ya 100 ijayo! Hiyo confidence wanaipata wapi?

Wanaipata kutokana na kwamba nchi nzima imesimama sasa hivi inajadili wanavyochujana kwenye vikao na wanavyoadabishana. When was the last CHADEMA mchakato wa kupata viongozi kuanzia mashina hadi taifa (if they actually have mashina)? Nobody remembers.

Wanapata hiyo confidence ya kututawala miaka mia moja because when they watch the TV they see Mbowe saying "ilikuwa kazi kubwa kweli kupata ushindi wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tarime". How can it be difficult wakati you have majority of the madiwani? That idiocy gives them confidence.
 
Wanabodi mtanisamehe,
haya manenoa nimeyakuta katikati na yawezekana huko nyuma limezungumziwa kwa kirefu.
Kama alivyosema hapo juu Mugongomugongo:- Kataraiya kaiba 37 million, it is documented. Malegesi kaiba 165 milion, it is documented. Na wote wamekiri kwenye Kamati ya Maadili na Kamati Kuu.

Sasa dahabu ya wizi wao ni kutolewa ktk kamati kuu ya CCM na mchezo umekwisha ama kuna mashtaka tayari kortini!. Na kama hakuna ina maana hizo millioni 190 ndio zimekwenda na maji ama kuna hatua gani zaidi zimechukuliwa dhidi ya wahalifu hawa.
 
Sasa dahabu ya wizi wao ni kutolewa ktk kamati kuu ya CCM na mchezo umekwisha ama kuna mashtaka tayari kortini!. Na kama hakuna ina maana hizo millioni 190 ndio zimekwenda na maji ama kuna hatua gani zaidi zimechukuliwa dhidi ya wahalifu hawa.

I guess ndo zimekwenda na maji ila nimesoma pahala kwamba Kataraiya, pamoja na kumfukuza kazi, wamemtaka alipe hizo 37 million. Na Maregesi, kasimamishwa, Tume imeundwa kuangalia kama kuna pesa zaidi katafuna na kama kuna wengine wengi zaidi kashirikiana nao.
 
Malegesi, hakuwa mtandao lakini alisaidiwa sana na mtandao kuipata hiyo nafasi, maana the big enemy alikuwa Idd Simba, ambaye ilitakiwa atolewe by any means necessary, kwa sababu alikuwa ni mwiba kwa kambi zote zilizogombea urais uliopita, pamoja na close ties zake na Mkapa!

Kataraiya, between Bukoba na Mwanza, sasa kuna new kids on the block, (Mtandao) Diallo, Karimagi, Kamalla, Masha,(mkubwa na mtoto) ambao sasa wanashika hatamu huko kwa kuwaondoa Shija, Mugema, na Rwakatare, wao sasa ndio the new north block power, with political power ku-make na un-make anyone politically, victim wa kwanza alikuwa Shija, baadaye Mgema, na sasa Kataraiya, next atakuwa Luangisa kwenye umeya, then itakuwa mbunge Suedi! na the likes!


Sasa imefika saa ya mtandao kushika hatamu ndani ya CCM, umoja wa wazazi, kina mama, na vijana, ni vitengo muhimu sana ambavyo lazima viwe mikononi mwa mtandao, na sasa ni oficial kwamba the mighty and undisputed Nchimbi, is leading the charge, next on line ni Magufuli, Mramba, na Mwandosya!

Siasa za makundi ya mtandao si mpya na kwa jumla zinasaidia sana kuleta ushindi wa kisiasa ingawa rekodi nyingi zinaonyesha kuwa siasa hizi huwa zina matokeo mabaya kwa nchi. Hebu tuangalie mfano mzuri wa hivi karibuni katika US.

Rais George Bush alijenga kundi lake la mtandao wakati wakiwa Gavana wa Texas. Kundi hilo likafanya kazi kubwa sana ya kumchafulia jina Senator John MacCain ambaye alikuwa mshindani mkuu wa kuwania tiketi ya Republican, na wakati huo huo kuchangisha fedha nyingi sana kwa ajili ya kampeini ya George Bush; pesa ambazo alizifuja sana. Ulipokuja uchaguzi wa mwaka 2000, mtandao huo ukafanya kazi kubwa sana ya kampeini kwa kuwaahidi walokole mambo ambayo hayawezekaniki. Bila kuishia kampeini, mtandao huo pia uliweka mikakati na kusimamia "wizi" wa kura na hasa katika jimbo la Florida; yule secretary of state (Kathleen Harris) aliyesimamia uchaguzi pale Florida alikuwa mwanamtandao. Wengi wa majaji walioamua kesi ya uchaguzi ule walikuwa wana-mtandao. Kutokana na juhudi za mtandao ule George Bush akabebeshwa Ikulu ya Marekani.

Leo hii waliombebesha Ikulu ile wanajuta kufanya hivyo. Jeshi la Marekani limepungukiwa nguvu kutokana na vita ya Iraki iliyoanziswa na wanamtandao walioingia serikalini na Bush kwa sababu zao binafsi. Deni la taifa limezidi kuongezeka sana, na bejeti ya serikali imekuwa na upungufu kila mwaka tangu Bush achukue madaraka, ingawa mwaka mmoja kabla hajachukua madaraka bajeti hiyo ilikuwa na ziada. Walokole hawakupata lolote waliloahidiwa kuhusu abortion, gay marriage, na misaada ya pesa za serikali licha ya kuletewa kile kinachoitwa faith-based initiative. Kwa jumla utawala wa Bush umekuwa ni wa aibu sana kwa chama cha Republican tangu enzi za Nixon: kisa ni "mtandao." Leo hii chama cha republicana hakina nguvu ile kilichokuwa nayo wakati wa utawala wa Clinton. Yote hayo ni matokeo ya mtandao.

Kwa mtazamo huo huo, ninadhani kuwa kuenea kwa mtandao ndani ya CCM kunaashiria kuisha kwa chama hicho kwa vile serikali itashindwa kutimiza ahadi zake nyingi, na wale wazee akina Malecela waliokuwa wanakifanya CCM kionekana kina uzoefu hawatakuwapo kukiokoa tena. Hapo ndpo kutakuwa na kulia na kusaga meno.
 
Kichuguu,

Analysis yako nimeipenda sana, lakini kumbuka kwamba mazingira ya US na Tanzania yako tofauti kidogo. US katiba ni nzuri na inatoa fursa sawa kwa wote (chama kilicho madarakani na chama pinzani).

Tanzania hata CCM ikiwa unpopular kiasi gani, joto hilo litaishia mijini tu na sehemu chache ambazo wananchi wake wameichoka CCM. Na ndiyo maana ikifika wakati wa uchaguzi, CCM huwa inapeleka full squad kwenye majimbo ambayo yana upinzani wa nguvu. Mikoa hiyo ni pamoja na Kilimanjaro, Kagera, Arusha mjini, Kigoma mjini na sehemu nyinginezo. Hali hiyo imewasaidia sana kupora majimbo yaliyokuwa mikononi mwa wapinzani.

CCM bado inajivunia ujinga wa wapiga kura hasa walio na njaa kali ambao wanaweza kuhongwa doti ya khanga, t-shirt au sahani ya pilau na wakampa kura mtu wa CCM. Ukienda vijijini watu hawajui vyama vya upinzani, bali ni CCM. Hii ni changamoto kwa wapinzani kujitandaza wilayani, tarafani, kwenye kata mpaka vijijini ili wajiweke kwenye nyuso za wapiga kura. Lakini hawa ndugu zetu wa upinzani utawaona wanapiga kelele wakati wa kampeni na uchaguzi ukiisha huwasikii tena mpaka uchaguzi mwingine. Mimi ninadhani wangekuwa wanatumia hii miaka kujisogeza jirani na wapiga kura ili ikifika 2010 wawe wanajulikana. Lakini hayo lazima yaende sambamba marekebisho ya katiba ikiwa ni pamoja na kudai tume huru ya uchaguzi, vyombo vya dola kama polisi kutotumika kuwanyima uhuru wapinzani.
 
Sasa sababu ya wizi wao ni kutolewa ktk kamati kuu ya CCM na mchezo umekwisha ama kuna mashtaka tayari kortini!. Na kama hakuna ina maana hizo millioni 190 ndio zimekwenda na maji ama kuna hatua gani zaidi zimechukuliwa dhidi ya wahalifu hawa.

Mkandara,

Hapo utaambiwa hizo ni hela za CCM japokuwa ruzuku za vyama vya siasa ni kodi tunayolipa. Nimeona mugongo mugongo amesema kwamba Kataraiya amekubali kulipa, lakini sina hakika kama huo ndiyo utaratibu unaotakiwa kufanyika. Nadhani kuna hiden agenda somewhere na wanaogopa wakianza kupelekana mahakamani wanaweza kuibua mengi zaidi. Ili kuyamaliza kimya kimya ndani ya CCM inabidi watoane kafara ili kusafisha madhambi ya wengine. Si unajua tena ukileta ubishi sana jamaa hawachelewi kukushughulikia na ukasahauliwa milele kwamba kuna mtu fulani aliwahi kuwa mwanasiasa maarufu ndani ya CCM.
 
Malegesi, hakuwa mtandao lakini alisaidiwa sana na mtandao kuipata hiyo nafasi, maana the big enemy alikuwa Idd Simba, ambaye ilitakiwa atolewe by any means necessary, kwa sababu alikuwa ni mwiba kwa kambi zote zilizogombea urais uliopita, pamoja na close ties zake na Mkapa!

Kataraiya, between Bukoba na Mwanza, sasa kuna new kids on the block, (Mtandao) Diallo, Karimagi, Kamalla, Masha,(mkubwa na mtoto) ambao sasa wanashika hatamu huko kwa kuwaondoa Shija, Mugema, na Rwakatare, wao sasa ndio the new north block power, with political power ku-make na un-make anyone politically, victim wa kwanza alikuwa Shija, baadaye Mgema, na sasa Kataraiya, next atakuwa Luangisa kwenye umeya, then itakuwa mbunge Suedi! na the likes!


Sasa imefika saa ya mtandao kushika hatamu ndani ya CCM, umoja wa wazazi, kina mama, na vijana, ni vitengo muhimu sana ambavyo lazima viwe mikononi mwa mtandao, na sasa ni oficial kwamba the mighty and undisputed Nchimbi, is leading the charge, next on line ni Magufuli, Mramba, na Mwandosya!

Mzee ES,

Naomba kujua kama hiyo "the new north block power" ya wanamtandao ilikuwa behind yule mlalahoi aliyetoka Mwanza kumpelekea JK shilingi milioni moja za kuchukulia fomu ya kugombea urais mwaka 2005. Maana naona usanii wa hawa watu na viini macho vyao vimekuja kuwa wazi zaidi baada ya wao kuingia madarakani. Zama hizo za kampeni wengine tulikuwa gizani na hatukujua nini kilikuwa kinaendelea behind the curtains!
 
Mzee Keil,

Kila kambi ilifanya huo mchezo wa kuigiza, the matter of fact hata waandishi wa habari wote waliohusika na wagombea wa CCM kujitangaza kwa mara ya kwanza, walikuwa wamelipwa in advance pamoja na kupewa maswali na hizo kambi,

"The North Power" under the supervision ya Nchimbi, ndio waliokuwa mstari mbele katika mikakati michafu ya mtandao, pamoja na juhudi zote za awali, at one time Nchimbi ali-create a havoc kwa usalama alipoamua kuanzisha maandamano ya vijana toka Dar mpaka Chamwino, kwa ajili ya Muungwana, lakini akapigwa chini na hao wazee wa kazi,

BM, alifanya kosa kubwa moja, alifikiri kwa kumhamishia Nchimbi Bunda, alikuwa anamkomoa asipate tena uenyekiti wa UV-CCM, kumbe alimpa tu nafasi ya kwenda na kuunda hiyo North Power Block, mara kwa mara Muungwana alikuwa akifanya ziara za mkoa wa Manyara, ilikuwa ni girini tu bro, alikuwa aki-slip na kwenda Mwanza kukutana na hiyo Power, na kurudi Manyara bila ya mtu wala waandishi ku-detect, hii Block ilikuwa ni ya pili katika kuchangia kampeni nzima ya mtandao, second only after ra, ndio maana kwao vyeo vilikuwa guaranteed hata kabla ya uchaguzi, na pia in the process walim-recruit Chenge, na Wassira, kwa hiyo sasa wako kwenye kujitanua zaidi, bado more political victims wako njiani kutupwa,

Yes, Mzee Keil, huyo aliyepeleka hela za fomu, alikuwa ametumwa na hao the new north power!

Mzee Kichuguu, strong points na heshima mbele!
 
Mugongo mugongo,
Unachemsha mshikaji, Watanzania huchagua sura za watu sio swala la kuwa na madiwani wengi!. Ndio maana CCM ktk uchaguzi wa mgombea Urais somo lilikuwa kuchagua kiongozi anayeweza kuuzika!..na kama unakumbuka JK baada ya kupitishwa yeye ndipo Wabunge walianza kuchaguliwa!.. Yaani mnachofanya ni usanii mtupu. Mbunge wa CCM ni mwakilishi wa Rais na sio chama CCM... haikuwa kazi kubwa kugundua mtandao unavyofanya kazi zake.

Na huyo JK ndiye aliyepandisha kura za Wabunge. Baada ya ushindi shukran nyingi zilitoka kwa Wabunge badala ya rais kuwashukuru wabunge!.. Popular vote hiyo mjomba ndio inavyofanya kazi.
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa na Rais ambaye hana wabunge ama Wabunge waliokosa kiti cha Urais. Hii itawezekana sio leo wakati CCM wamefunga hatamu kiunoni lakini kama ukitazama uwezekano huo kwa chama kingine utagundua kuwa INAWEZEKANA kabisa!

Hili swala la wazee kung'atuka limechukua sura nyingine maanake halikuanza leo ndani ya CCM. Na kweli kabisa imekuwa ndoto kubwa sana ya JK kuweka kizazi kipya ktk uongozi wa nchi hii lakini wazee wanamwona kijiana anataka kukosa adabu.
Upo uzuri wake kama hawa vijana wangeweza kutuonyesha moyo wa kuipenda nchi yao lakini kusema kweli hadi sasa hivi hawa vijana ni majeuri kuliko hawa wazee wetu. Wameifilisi nchi yetu vibaya na kusema kweli wengi wao hawana hekima na Busara, elimu dunia ya darasani imewapa jeuri hasa wanapokuwa mbele ya wananchi.
Viongozi vijana wamekosa lugha nzuri na elimu yao imekuwa nguzo ya utukutu wao wa kuona kwamba kila Mdanganyika hajui kitu ila wao.

Wazee wetu kwa upande mwingine nao pia hawana faida kwetu kwani wameshindwa kabisa kusimamia maslahi ya taifa hili hasa wakati huu. Na sababu kubwa hili neno macroeconomic limekuwa kama vile ni matumizi ya PC kwao! hawana elimu hiyo na kila siku wanaposikia Uchumi na maneno haya mapya basi hujiona wako dunia nyingine kabisa. Uchumi kuwa mbele ya Siasa inawapa shida kubwa, haikuwa malezi yao wala elimu yao kwani utaalam huo ni somo walilokimbia wakati wa Ujamaa.
Kwa hiyo, mtu kama mimi hainisumbui kabisa zaidi ya Kuona kama ni Simba wakigombania Nyama, haimsaidii mwindaji hata kidogo. Wapinzani wataendelea na mbinu zao kama kawaida na ugonvi huu hauwezi kumsaidia mmoja wao!
 
Kwa kifupi tukubali tu kuwa wanamtandao tunao kwa miaka mingine 30 zaidi?
 
What?..
Mimi nilisubiri Ridhwani nikamlilie njaa yangu kumbe wajuzi wameisha mkata!..
Haya baba karibu Chadema, mkoseshe baba usingizi!
 
Kichuguu,

Analysis yako nimeipenda sana, lakini kumbuka kwamba mazingira ya US na Tanzania yako tofauti kidogo. US katiba ni nzuri na inatoa fursa sawa kwa wote (chama kilicho madarakani na chama pinzani).

Tanzania hata CCM ikiwa unpopular kiasi gani, joto hilo litaishia mijini tu na sehemu chache ambazo wananchi wake wameichoka CCM. Na ndiyo maana ikifika wakati wa uchaguzi, CCM huwa inapeleka full squad kwenye majimbo ambayo yana upinzani wa nguvu. Mikoa hiyo ni pamoja na Kilimanjaro, Kagera, Arusha mjini, Kigoma mjini na sehemu nyinginezo. Hali hiyo imewasaidia sana kupora majimbo yaliyokuwa mikononi mwa wapinzani.

CCM bado inajivunia ujinga wa wapiga kura hasa walio na njaa kali ambao wanaweza kuhongwa doti ya khanga, t-shirt au sahani ya pilau na wakampa kura mtu wa CCM. Ukienda vijijini watu hawajui vyama vya upinzani, bali ni CCM. Hii ni changamoto kwa wapinzani kujitandaza wilayani, tarafani, kwenye kata mpaka vijijini ili wajiweke kwenye nyuso za wapiga kura. Lakini hawa ndugu zetu wa upinzani utawaona wanapiga kelele wakati wa kampeni na uchaguzi ukiisha huwasikii tena mpaka uchaguzi mwingine. Mimi ninadhani wangekuwa wanatumia hii miaka kujisogeza jirani na wapiga kura ili ikifika 2010 wawe wanajulikana. Lakini hayo lazima yaende sambamba marekebisho ya katiba ikiwa ni pamoja na kudai tume huru ya uchaguzi, vyombo vya dola kama polisi kutotumika kuwanyima uhuru wapinzani.

Na ya kwake pia imetulia isipokuwa sehemu mbili,

Moja: wapiga kura wa Tanzania sio wajinga bali hawana uthubutu wa kuchagua mabadiliko zaid ya kile walichokizoea, yaani wanakosa uthubutu. Sababu ni nyingi ikiwemo kile ninachoita MREMA factor lakini zaidi ndugu zetu wa vyama pinzani hawajaweza kuonyesha kuwa ni best alternative ya CCM.....Hii ndio challenge kubwa anayokumbana mpiga kura wa Tanzania.

Vilevile kuhusu wapiga kura wa mijini kutoa changamoto kwa CCM ni angalizo tete.

Kama tunavyojua wapiga kura wa tabaka la kati ndio mara nyingi wanakuwa na uwezo wa kuchochea mabadiliko katika siasa za ushindani (so called mutliparty democracy). Hata hivyo inaelekea kwa Tanzania tabaka la kati bado linaamini katika kuwa na uhusiano maalum na watawala na wengi wamekuwa watawala wenyewe. Katika hali kama hii ni vigumu kutegemea mijini kama chanzo cha mabadiliko ya kweli mpaka kutakapotokea hali ya kuwaonyesha wapiga kura wa mijini haswa wale walio katika tabaka la kati kuwa watafaidika zaidi na chaguo jipya na level ya risk inakuwa ndogo.

Kama unavyojua watanzania sio risk takers kwa hiyo the only means kufanikisha mabadiliko ni kwa wachache waliopo katika vyama vya upinzani kuonyesha kuwa ni tofauti muafaka ya CCM kimatendo. Hata hivyo hili litakuwa gumu kama vichwa vyote vinavyotoka katika tabaka la kati vinakimbilia katika timu ya ushindi (CCM) na kuacha upinzani ukiwa na aina ya majority ya wanasiasa walionao sasa.

Na mabadiliko ya kweli yataanza pale mimi na wewe tutakapokuwa na uthubutu wa kujitoa mhanga "kujiunga upinzani" na kukosa neema za timu ya ushindi.....

Tanzanianjema
 
Back
Top Bottom