President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Kwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Ni kweli kabisa kwa mtazamo wako lakini utashi unasema mbona huyo lowasa ana ksshifa nyingi anasafishika? au ninyi ndo mlimtuma? huwagawia hato mapesa? maana sioni sababu ya maana sana kwa yeye kupigiwa upatu kwa kila kitu mradi tu aukwae urais 2015. Kuna nini hapo? Mbona hamsemi Salim Ahmed salim, au Mkapa au Sumaye au Warioba, au hata mzee Malecela/ Kwanini kila kitu Lowasa tu. Mh! There must something wrong somewhere.
No one will dare to stop the gentleman.
Toa TAKATAKA zako hapa,waambie MAGAMBA wenzioKwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Kama ana kiu kali ya urais si lazima apitie CCM kama wao hawamtaki vipo vyama vingi tu......CDM, CUF,UDP..........au aanzishe chake(nasikia ana pesa nyingi).......Kugombea nafasi ya uongozi ni haki ya kila raia.........muacheni atumie haki yake labda atabadilika na kuwa kama SokoineKwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Hilo gazeti halina dira ila lina diri................acheni kutengeneza madiri kwa njia ya majina kmn dira.................siamini km watz bado wataendelea kudabganywa kitoto kiasi hiki na ccm...................kiongozi thabiti hatakuja kutokea ndani ya ccm hata siku moja................mabadiliko ya kweli yataletwa na viongozi wa maana na wenye uchungu km dr.slaa tu...............
Tetesi: Sasa ni zamu ya wanawake.......hahahaNo one will dare to stop the gentleman.
Akishindwa CCM atakuja Chadema ok..na hakuna wa kumzuia huko..
Cdm sio chama cha majaribio! Wewe mwenyewe kimekushinda. Umeutangazia umma kuhamia cdm kwa ID ya Mwita 25 nyingine zimekushinda. Unabahati hawakuijua na hii maana ungekuwa unaitwa Mbwa Topical Mwita 25!
tutajie unayemwona anafaa zaidi ya lowassa kwa ccm.Kila kukicha Lowasa lowasa. Hakuna mtu mwingine ndani ya ccm?