Akishindwa CCM atakuja Chadema ok..na hakuna wa kumzuia huko..
Sijuwi cdm ni dampo/kutupia vitu vilivyo oza
Kama ana kiu kali ya urais si lazima apitie CCM kama wao hawamtaki vipo vyama vingi tu......CDM, CUF,UDP..........au aanzishe chake(nasikia ana pesa nyingi).......Kugombea nafasi ya uongozi ni haki ya kila raia.........muacheni atumie haki yake labda atabadilika na kuwa kama Sokoine
Historia ndio jibu..Marando, Slaa, Safari, Lwakatare..list goes on..
Lazima kuwepo na dampo la kutupa ili ionekanae kuna domo-ghasia
tutajie unayemwona anafaa zaidi ya lowassa kwa ccm.
unataka kuniambia ni sawa na lowasa wanatuhuma au wameshiliki ufisadi wowote
Historia ndio jibu..Marando, Slaa, Safari, Lwakatare..list goes on..
Lazima kuwepo na dampo la kutupa ili ionekanae kuna domo-ghasia
Sasa si usubiri atakwenda chadema akipigwa chini ccm..
Wakati huo cahdema watabadilisha wimbo kabisa ..utaumia lakini ndio siasa hiyo..
Sasa si usubiri atakwenda chadema akipigwa chini ccm..
Wakati huo cahdema watabadilisha wimbo kabisa ..utaumia lakini ndio siasa hiyo..
Huijui cdm wewe! Magamba yamekupa uzito wa akili sasa unafikiri kwa kutumia masaburi!
Ni kweli kabisa kwa mtazamo wako lakini utashi unasema mbona huyo lowasa ana ksshifa nyingi anasafishika? au ninyi ndo mlimtuma? huwagawia hato mapesa? maana sioni sababu ya maana sana kwa yeye kupigiwa upatu kwa kila kitu mradi tu aukwae urais 2015. Kuna nini hapo? Mbona hamsemi Salim Ahmed salim, au Mkapa au Sumaye au Warioba, au hata mzee Malecela/ Kwanini kila kitu Lowasa tu. Mh! There must something wrong somewhere.
Dampo ni lipi hasa. Maana huko kwenu kuna Wassira, Kaburu, Lamwai, Ngawaiya, Tambwe Hiza and the list goes on! Achilia mbali akina Nape, Sita na wengine wa ccj. Bado mafisadi wote wa nchi!!?
Fungua Macho Mwita25. Hivyo vihela vya Nape vinavyokupofusha kwa kukuweka jf kutwa nzima havina future! Cdm ikishachukua nchi utatupwa kama akina Tambwe hiza na kuishia kuongea upuuzi kama Lusinde wa Mtera!?
Huijui cdm wewe! Magamba yamekupa uzito wa akili sasa unafikiri kwa kutumia masaburi!
Mtanzania a2660783 said:Kama ana kiu kali ya urais si lazima apitie CCM kama wao hawamtaki vipo vyama vingi tu......CDM, CUF,UDP..........au aanzishe chake(nasikia ana pesa nyingi).......Kugombea nafasi ya uongozi ni haki ya kila raia.........muacheni atumie haki yake labda atabadilika na kuwa kama Sokoine