mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
vita vya panzi
Furaha ya kukunguruvita vya panzi
Kwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Kwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Akishindwa CCM atakuja Chadema ok..na hakuna wa kumzuia huko..
Atapewa Mama Kiroboto hahahahaha!!!!Tetesi: Sasa ni zamu ya wanawake.......hahaha
For sure we need a person mwenda wazimu kama Lowassa lakini siyo Lowassa jamaa yake amemchafua sana
Kila kukicha Lowasa lowasa. Hakuna mtu mwingine ndani ya ccm?
Natoa mwito kwa wote wenye kumjua Mungu, tuiombee nchi yetu Tz. kwa bidii.
Kwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Kwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Kwa mujibu wa gazeti la Dira, toleo la leo kama kweli tunaitakia mema nchi yetu basi tumuunge mkono Lowassa, achukue uenyekiti wa chama taifa na JK abaki na urais wake.
Nani atamzuia chadema Lowassa anachukua tu (anaweka dau kubwa kupita la sobodo)
Besides, keep on guessing