Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mpanda kati lazima Pinda atachakachua matokeo kama alivyofanya sumbawanga mjini. period!!!! asipofanya hivyo u-PM asahau
Haki ya nani CHADEMA lazima tuwatume maintelijensia wote kwenye hizo chaguzi, hasa maeneo ya Nkenge, Mpanda Mjini na Mpanda vijijini. Kuhusu Majimbo ya Zanzibar CUF kama kawa!!!!!!