Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
habari za hivi punde ni kuwa mkutano wa CCM ambao ulikuwa wa uzinduzi wa kampeni huko Busanda umeanza kwa kudorola kutokana na kuhudhuriwa na watu wachache sana kiasi cha kulazimika kuwaomba wanafunzi kuhudhuria katika mkutano huo wa kampeni.
hali hii ni tofauti na mikutano ya Chadema na Cuf ambayo ilizinduliwa Rasmi siku ya JUmamosi na kupata watu wengi.
inasemekana tayari viongozi wa CCM wameanza kulaumiana huku baadhi wakidai kuwa walipanga eneo hilo kutokana na kukwepa kumpeleka Msekwa Nyarugusu kwa kuhofia kuwa huenda angezomewa kutokan ana kutokuwa na ushawishi wa kutosha kubadili upepo kama Malecela.
Hata hivyo haijaeleweka Malecela ambaye alikuwa akitarajiwa kuhudhuria ameshidwa kufika kutokana na nini na badala yake chama kimempangia kuendela kesho na kampeni za Chama hicho enao la Nyarugusu. naendela kufuatilia ili kupata habari kamili.
hali hii ni tofauti na mikutano ya Chadema na Cuf ambayo ilizinduliwa Rasmi siku ya JUmamosi na kupata watu wengi.
inasemekana tayari viongozi wa CCM wameanza kulaumiana huku baadhi wakidai kuwa walipanga eneo hilo kutokana na kukwepa kumpeleka Msekwa Nyarugusu kwa kuhofia kuwa huenda angezomewa kutokan ana kutokuwa na ushawishi wa kutosha kubadili upepo kama Malecela.
Hata hivyo haijaeleweka Malecela ambaye alikuwa akitarajiwa kuhudhuria ameshidwa kufika kutokana na nini na badala yake chama kimempangia kuendela kesho na kampeni za Chama hicho enao la Nyarugusu. naendela kufuatilia ili kupata habari kamili.