Nimepata habari sasa ivi katibu wa chadema wilaya ya geita amekamatwa na polisi baada ya kuzuka vurugu kati yake na muuza magazeti.
Muuzaji alikua ananyofoa karatasi za ndani kwenye magazeti yote ya tanzania daima ili wananchi wasisome wasifu wa mgombea wa chadema.
Duu? Ufisadi hadi muuza gazeti? ama kweli mafisadi wana mizizi mirefu, sasa hiyo ni sehemu ya gazeti ama wasifu ulikuwa umechomekwa tu? kama ni sehemu ya gazeti ni rahisi kumshughulikia! kwanza hata kwa wateja wenyewe manake kurasa zitakuwa hazijatimia!