sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Mtake msitake iko siku isiyo na jina ubalozi wa watu niliowataja hapo juu utafutwa tu. Dr. slaa alipewa kama zawadi ya kumfunga mdomo na kumtoa machoni mwa Watanzania, moja ya dhambi anayotakiwa kuitubu ni ile ya kuupokea ubalozi huo.
Polpole nae ni the same! Ila nataka nikwambie iko siku nae cheo cha ubalozi kitafutwa, popote pale alipo anaumwa ugonjwa wa moyo, maana yanayoendelea anatamani ayapinge lakini na ubaloZi anautaka (kimya kimya ila anaumwa).
Dr. nchimbi kuna mtu amenipenyeshea ya kuwa bado ananguvu ila nasikia anarudishwa Rumumba kupanga safu mpya. Je, bado anamvuto?
Ubalozi ni vyeo vya kuwanyima nguvu wale wanaoonekana wana nguvu!
Polpole nae ni the same! Ila nataka nikwambie iko siku nae cheo cha ubalozi kitafutwa, popote pale alipo anaumwa ugonjwa wa moyo, maana yanayoendelea anatamani ayapinge lakini na ubaloZi anautaka (kimya kimya ila anaumwa).
Dr. nchimbi kuna mtu amenipenyeshea ya kuwa bado ananguvu ila nasikia anarudishwa Rumumba kupanga safu mpya. Je, bado anamvuto?
Ubalozi ni vyeo vya kuwanyima nguvu wale wanaoonekana wana nguvu!