Naona ubalozi wetu huko London unawakilisha CCM zaidi ya serikali ya Tanzania.Tangu balozi wa sasa ateuliwe balozi nyingi zimefunguliwa karibu nchi nzima.Juzi alihudhuria mnuso wa CCM huko mjiniu Reading na Mdugu Msekwa,ambapo Ndg Msekwa alitoa kadi za CCM kwa waTz kama 70 hivi.
Hii trend ya Politisation ya balozi zetu na kuwa part ya CCM propaganda inakwenda kubaya.Kuna thread ya watu wa NewYork wanataka kuanzisha Chama chao cha wa Tz ,surely wawe makini maana UK hakuna tofauti ya Serikali/CCM/Bunge.
Hii trend ya Politisation ya balozi zetu na kuwa part ya CCM propaganda inakwenda kubaya.Kuna thread ya watu wa NewYork wanataka kuanzisha Chama chao cha wa Tz ,surely wawe makini maana UK hakuna tofauti ya Serikali/CCM/Bunge.