Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

Soma vizuri mkuu, madiwani na meya wanapaswa kuelewa uozo kwenye maeneo yao, ukimya wao ndo unafanya wahusishwe, kama hawahusiki wangepaza sauti zao, silence means yes.
 
Mkuu Ritz,

Hii taarifa sijaielewa kwa sababu,

1. It's tooooooooo general, and again may i say and will keep saying this "to generalize is to be an idiot"..no offence...Mwanza wapi? Mkuu Mwanza ni mkoa..Mh. Waziri mkuu alitembelea sehemu mbalimbali(wilaya), ni sehemu gani unayoiongelea kati ya hizo???!

2. Sorry, ina maana watu wa Ardhi wafanya kazi gani?!.. kazi ya diwani ni ipi?..

3. Uliposema "wanalalamika kwa kuwa wamekwisha vilipia"..wamelipia wapi? Na je kila tapeli aliyeko huko Mwanza ni diwani wa CHADEMA? Kwa kuwa siyo wote wanaojua sehemu SAHIHI ya kulipia!!

Unapokuwa ukinijibu au ukiandika tena TAFADHALI weka mifano hai(HALISI) tufuatilie wenyewe, but till then this? inaonekana kama cheap idea mkuu.
 
FJM, jaribu kuongea na Wenje kuhusu suala hili na muulize kwa nini hawapatani na aliyekuwa Diwani wa Kitangiri Matata, ambae kafukuzwa na Chadema.
 
Mkuu Ritz,

Hii taarifa sijaielewa kwa sababu,

1. It's tooooooooo general, and again may i say and will keep saying this "to generalize is to be an idiot"..no offence...Mwanza wapi? Mkuu Mwanza ni mkoa..Mh. Waziri mkuu alitembelea sehemu mbalimbali(wilaya), ni sehemu gani unayoiongelea kati ya hizo???!

2. Sorry, ina maana watu wa Ardhi wafanya kazi gani?!.. kazi ya diwani ni ipi?..

3. Uliposema "wanalalamika kwa kuwa wamekwisha vilipia"..wamelipia wapi? Na je kila tapeli aliyeko huko Mwanza ni diwani wa CHADEMA? Kwa kuwa siyo wote wanaojua sehemu SAHIHI ya kulipia!!

Unapokuwa ukinijibu au ukiandika tena TAFADHALI weka mifano hai(HALISI) tufuatilie wenyewe, but till then this? inaonekana kama cheap idea mkuu.

Mkuu HIPPOcratessorates,

Halmashauri ya Jiji la Mwanza inaendeshwa na Chadema kuanzia nafasi ya Meya hadi Madiwani wengi ni kutoka Chadema na ndio wenye maamuzi katika Halmashauri ya Jiji na wabunge wawili wa majimbo ya Ilemala na Nyamagana pia wa Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz,

Hii taarifa sijaielewa kwa sababu,

1. It's tooooooooo general, and again may i say and will keep saying this "to generalize is to be an idiot"..no offence...Mwanza wapi? Mkuu Mwanza ni mkoa..Mh. Waziri mkuu alitembelea sehemu mbalimbali(wilaya), ni sehemu gani unayoiongelea kati ya hizo???!

2. Sorry, ina maana watu wa Ardhi wafanya kazi gani?!.. kazi ya diwani ni ipi?..

3. Uliposema "wanalalamika kwa kuwa wamekwisha vilipia"..wamelipia wapi? Na je kila tapeli aliyeko huko Mwanza ni diwani wa CHADEMA? Kwa kuwa siyo wote wanaojua sehemu SAHIHI ya kulipia!!

Unapokuwa ukinijibu au ukiandika tena TAFADHALI weka mifano hai(HALISI) tufuatilie wenyewe, but till then this? inaonekana kama cheap idea mkuu.

Mkuu HIPPOcratessorates,

Halmashauri ya Jiji la Mwanza inaendeshwa na Chadema kuanzia nafasi ya Meya hadi Madiwani wengi ni kutoka Chadema na ndio wenye maamuzi katika Halmashauri ya Jiji na wabunge wawili wa majimbo ya Ilemala na Nyamagana pia wa Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Wakazi wa Jiji la Mwanza wanalalamika ugawaji wa ardhi unaofanywa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza watendaji wa Halamashauri wakishirikiana na madiwani wa Chadema ambao ndio wengi kwenye baraza la madiwani.

Wananchi wa Mwanza wanalalamikia ubadhilifu wanaofanywa na madiwani wa Chadema kujigawia viwanja maeneo ya Kiseke, Nyegezi, Bugarika, na sehemu tofauti tofauti katika Jiji la Mwanza.

Wananchi wa Mwanza walipeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofanya ziara katika Jiji la Mwanza, Waziri Mkuu aliwambia wakazi wa Mwanza malalamiko yao wanatakiwa wayapeleke kwa chama cha Chadema, ambacho kina dhamana ya kuendesha Halmashauri hiyo, ambao Chadema wana nafasi ya Meya hadi madiwani

Wananchi wa Mwanza wanalalamika unafanyiwa utapeli na Halamashauri ya Jiji la Mwanza viwanja hawapewi pamoja na kuwa wameishavilipia pesa lakini viwanja hivyo vipo mikononi mwa madiwani wa Chadema.

Ni kweli mkuu wangu ndiyo maana juzi pale uwanjani waziri mkuu Pinda alishangiliwa sana na wana Mwanza mpaka kusukuma gari lake.
 
Mkuu Ritz, heshima kayika kujibu swali kwa sababu Mh. M. P.K. Pinda alikwenda hadi Ukerewe(ambako ni Mwz) pia and that's why kuuliza. Mkuu, Ingawa umeyaacha mengine(bado nitaendelea kuyauliza)

You have been repeating abt the composition of Mwanza City Council, lakini maswali yangu ni kwamba

-Upimwaji wa viwanja unafanywa na MADIWANI na WABUNGE?

-Walalamikaji walilipia sehemu SAHIHI? ..

If yes, Ni suala la documents and evidence TU then wote walio"tapeli" REGARDLESS ni kina nani hata hao uliowashtumu wamehusika yaani (Madiwani, Wabunge wa CHADEMA) kuwajibishwa...ILA

KAMA hawakulipia sehemu sahihi, waelekezwa isitokee next time, na pia utakuwa umewakosea hao CHADEMA kwa thread(it wont be bad if you will take back your words).

So i guess the bottom line is the validity of evidence, which matters here..mkuu.
 
Hakika CDM inawapa homa sana. Viwanja hivyo unavyosema e.g. Bugarika vimegawiwa hata kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010. Mimi nilikuwa mmoja wa walioomba kwa kulipia shilingi 5,000/= na nikaomba viwili. Majina yalipotoka sikuwa miongoni mwa waliopata. Sasa nyinyiem mnatokwa na mapovu kupotosha umma kuwa ni CDM ndio wanafanya ubadhirifu. Muulize "DHAIFU" ana eneo kubwa sana Malimbe, muulize mkurugenzi wa jiji. Kimsingi wananchi wa Mwanza wanaelewa nani adui yao.
 
Kama hujui vitu huwe unasoma tu post za wenzako kuliko kujizalilisha kwa kuandika vitu ambavyo havipo kabisa. Aliekwambia wizara ya ardhi inagawa viwanja nani? Aliekwambia surveyors wanagawa viwanja nani?

Huwa unauliza hata kwa wenzako wenye viwanja mchakato wa kuvipata walifanyaje mkuu hiyo itakusaidia kuelewa mambo.

Halmashauri ndio wenye ardhi, wao ndio wanajukumu la kukaa katika kamati ya ugawaji wa ardhi ambayo Mwenyekiti wake ni mkurugenzi wa halmashauri na vilevile inakuwa na wajumbe kama afisa ardhi wa halmashauri, mthamini wa halmashauri na wengineo ambao wanakamilisha timu yenye watu nane.

Hao wote hapo ni watendaji ila watawala ndio hao madiwani wakiongozwa na huyo meya. Sasa lolote la kutokea wakuhojiwa ni hao watawala kama sisi tunavyohoji serikali kuu unapofanyika uzembe katika wizara au mashirika yetu ya umma.
 
Mkuu Molemo, something must be wrong on the way you link events/issues... yaani "kushangiliwa kwa Mh. Pinda" ni kutokana na "utapeli" uliofanywa huko jijini..ambao hata bado wanajamvi HATUNA UHAKIKA nao??!
 
Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.

Mkuu, hebu pitia na ile orodha ya vigogo waliopewa viwanja Temeke miezi michache iliyopita halafu urudi tena hapa utuambie juu ya ushiriki wa madiwani wa Chadema.
 
Mkuu, hebu pitia na ile orodha ya vigogo waliopewa viwanja Temeke miezi michache iliyopita halafu urudi tena hapa utuambie juu ya ushiriki wa madiwani wa Chadema.

Sasa ulitaka wasipate viwanja wakakae bahari? Hapa tunaongelea malalamiko ya wakazi wa mwanza, huko temeke viongozi walivipata kiuhalali sasa tatizo liko wapi?
 
Kwenye sheria ya ardhi hakuna sheria inayompatia diwani wala meya kugawa ardhi,ardhi imekasimiwa kwa kamishana wa ardhi,swala la madiwani wa chadema kujigawia ni uzushi.labda ulete ushahidi ila kumbuka diwani naye ni mwananchi na ana haki ya kupata ardhi kama wananchi wengine
 
Sasa ulitaka wasipate viwanja wakakae bahari? Hapa tunaongelea malalamiko ya wakazi wa mwanza, huko temeke viongozi walivipata kiuhalali sasa tatizo liko wapi?

Labda kama hukusikia kwamba hata kule Temeke wakazi wa huko walilalamika sana kuhusu hili. Kosa ni kosa tu na kwa hiyo hakuna lililo halali.
 
Mkuu hippocratessocrates,

Ubadhilifu unaofanywa na madiwani wa Chadema ni kuhodhi viwanja vinavyotolewa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza, viwanja vingi wamejigawia wao, diwani mmoja ana viwanja zaidi ya 20 ukiitaji kiwanja unanunua kwa diwani.

Mkuu kuna viwanja vimepimwa maeneo ya Kiseke, Nyegezi, Bugarika, ukienda Halmashauri ya Jiji la Mwanza wanakuambia vimeisha lakini ukionana na madiwani wa Chadema wanavyo wanawauzia wananchi.

Mkuu Halmashauri ya Jiji la Mwanza ambayo ipo chini ya Chadema imechafuka kwa rushwa.
 
hata kama ni kweli, inamaana serikali ya CCM haiwez kuwasaidia wananchi wa Mwanza kwasababu wapo chini ya CHADEMA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom