Uandikishaji vitambulisho vya uraia unakwenda mrama

tatizo la hizi taasisi kama NIDA ni wavivu wa kufikiri...idea yako ni nzuri..wangeweza kutumia info zilizoko kwenye TIN, TZ Passport, Driver License bila kusumbua watu na mifoleni yao!!



hapo kwenye red: kama issue ya hizi ID si kuweka mambo mengine sawa nitakubaliana na wewe? ila naamini hata wewe utakubaliana na mimi kuwa hizo supporting documents ambazo umezitaja upatikanaji wake ulikuwa wa ki-deal deal, na kuna watu wana passport za TZ ambao si watz..ushauri wangu hii kitu/zoezi la ID naliona kama ni la kukurupuka tu linakuwa kama la zoezi la kuwaandikisha wapiga kura, na kama vile ni zoezi ambalo si lakudumu, i thought hawa jamaa wangeungana na msajili wa vizazi na vifo na kila mwananchi angeenda kwa wakati wake ni kuweka details zake sawa bila presha, si kama ilivyo sasa
 
nakuunga mkono asilimia 100..lkn huko RITA nako kukoje?! Nikitaka hata kesho naweza kwenda na kupata cheti cha kuzaliwa na nikaitwa Andrem Jamiiforu... Lkn kama NIDA wangalikuwa makini, waka-sync info za TIN, DL, na passport basi at least tungekuwa na sehemu ya kuanzia (of course kwa wenye hizo docs). Lkn cha msingi walichopaswa kufanya ni kuangalia jinsi gani wangeweza kutumia existing id mechanisms na hata ikibidi kuziboresha, say DL kwa kuziongezea extra necessary feautures...Tatizo la nchi hii loopholes nje nje! Usije shangaa mwisho wa cku tukaja ckia NIDA ilikuwa mpango wa wajanja wachache kujichotea pesa.
 
Mie naamini Maimu na Team yake walipewa muda mrefu wa kujiandaa na mategemeo yangu ni kuwa bado wako kwenye majaribio (Pilot) na huenda ndo maana zoezi hili haliko nchi nzima kwa sasa. Na kwa kuwa baadhi yao wanapita humu watachukua baadhi ya points na huenda ukawepo uboreshaji kadri watakavyohamia kwenye mikoa mingine.

Swali langu kwa wale ambao wameshafikiwa kwa Dar, kiwango cha chini cha documents zinazotakiwa ni ngapi kwani nilisikia kama orodha ni ndefu sana au nikitoa document za muhimu kama birth certificate, cheti cha kura, cheti cha darasa la saba. Hizi tatu hazitoshi ni lazima wanidai na zingine? Na kama mtu hana cheti cha darasa la saba inakuwaje?

Swali la pili, mke wangu birth cerificate yake na kitambulisho cha kura ni tofauti kwani alijiandikisha kupiga kura baada ya kuolewa na hivyo anatumia surname yangu kwenye kitambulisho cha kura wakati cheti cha kuzaliwa kina majina ya wazazi wake. Je kwenye fomu wametoa provision ya jina la zamani na jina ambalo mtu anatumia kwa sasa?
 

Vitambulisho vya taifa vyaongezewa muda


na Mwandishi wetu
Tanzania Daima


MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeongeza wiki moja zaidi kwa wakazi wa jijini la Dar es Salaam wanaojaza fomu za kuomba vitambulisho vya taifa.

Taarifa iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam kwa vyombo vya habari na Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dickson Maimu, alisema zoezi hilo sasa litakamilika Agosti 6.

Maimu alibainisha kuwa baada ya muda ulioongezwa mamlaka hiyo haitoongeza tena muda hivyo ni vema wakazi wote wa jiji la Dar es Saalam wakajitokeza kwa wingi kujaza fomu hizo.

Alibainisha kuwa kwa wageni wote walioko hapa nchini wanapaswa kujaza taarifa zao kwenye fomu 2A wakionyesha uraia wa nchi zao na hadhi ya ukaazi wao.

Maimu alisema kwa mujibu wa sheria ya usajili na utambuzi wa watu kifungu cha 9, kifungu kidogo cha pili (2), waombaji wasiojua kusoma na kuandika watasaidiwa kujaza fomu.

Aliongeza kuwa watu wanaojua kusoma na kuandika watapewa fomu ili wajaze wenyewe katika vituo vya usajili chini ya usimamizi wa wasajili waliopo katika kila kituo.

Alibainisha kuwa kwa mujibu wa kifungu cha 20 kifungu kidogo cha kwanza (C) cha sheria tajwa, ni kosa la jinai kutoa taarifa ambazo si sahihi zikiwamo za uraia.

Alisema watakaobainika watatozwa faini au kuhukumiwa kifungo kisichozidi miaka mitatu jela ama vyote kwa pamoja.

"Tunawaomba watu wote wanaojaza fomu za maombi kutoa taarifa husasan za uraia" alisema.

Maimu alibainisha kuwa watu walio kwenye makundi maalumu (wagonjwa, wazee, walemavu na wengineo) wapeleke mahitaji yao kwenye vituo vya usajili kupitia kwa wajumbe wa mtaa ama kitongoji ili waweze kupata huduma stahiki kwa utaratibu uliowekwa.



 
Wakuu,
to me toka mwanzo nilipinga uanzishwaji wa NIDA, it is a total waste of tax payer's money. Hii kazi ingepaswa kufanywa na RITA, maana RITA tayari ipo na inayo data base ya watu wote! NIDA naona its a more of fadhila paying organization.

Pili, watu wote wangepewa TIN, maana hii ndo naiona kama document muhimu kuhakikisha kila mtu analipa kodi kwa kiwango chake. Halafu, tungetumia data base ya RITA na TIN ku-identify kila mtu aliyeandikishwa kutengenezea kitambuslisho cha taifa, maana inaleta maanza zaidi kuwa na kitambulisho kinachowakamata watu kulipa kodi zao. So ingekuwa raisi tu, kwamaba mtu angekuja na TIN certificate, pamoja na educational, passport, kuhakiki infomationa zake kwa ajili ya kitambulisho cha taifa!

Tutegemee worse situation wakati wa kutoa hicho kitambulisho maana hata hao maafisa waandikishaji hawaelewi maana ya zoezi zima!!!
 
tatizo la hizi taasisi kama NIDA ni wavivu wa kufikiri...idea yako ni nzuri..wangeweza kutumia info zilizoko kwenye TIN, TZ Passport, Driver License bila kusumbua watu na mifoleni yao!!
Duh nyie kweli akili zenu fupi. hadi sasa hamjausoma mchezo! Wenzenu wanajua njia bora zaidi za kufanya hili zoezi, tena bora kuliko hizo zenu! Lakini wao wanachokifokasi ni jinsi ya kuongeza posho zao. kwa kifupi wanalichelewesha makusudi ili likiisha watoke naposho ya maana kidogo. Nyie mnaishi wapi? Bongo hii hii? Mbona haya mambo yapo sana kwenye kamati za bunge,semina elekezi nk. nchi imeuzwa hii kila mtu akishika kisu anajikata pande lake anasepa. Ha ha ha ha ha ha
 
Ooh...inamaana alawansi nayo itaongezeka.....hongera watendaji wa NIDA kwa kuchelewesha mchakato makusudi mpate zaidi.....Hili zoezi nashauri liwe endelevu kuliko kuli
wekea tarehe mwisho kwani kila siku watu wanapata sifa za kusajiliwa
 
Wamekurupuka na hivyo hili la kutumia data ambazo zimeshakusanywa na taasisi nyingine nchini halikuwamo katika mipango yao.

Acheni roho ya kwanini......mlitaka zoezi liishe mapema watendaji wapate alawansi kiduchu???
Hii ndiyo bongo kila mtu na akili yake......
 
Jamani, kuna uandikishaji wa vitambulisho vya utaifa, mimi ni mkazi wa Dsm lakini niko kikazi mkoani arusha kwa miezi si chini ya mitatu, niko taiti sana kiasi kwamba siwezi kuziacha kazi hizi za serikali niende dsm kujiandikisha kwenye daftari hilo sijui ili niipata kitambulisho, nasikia tu kwenye tv kuwa wameenza na dsm na nilivyopiga simu nasikia wameweka deadline ya kujiandikisha...SWALI: NIFANYEJE, NIACHE KAZI ZANGU ZA SERIKALI ILI NIENDE DSM KUJIANDIKISHA, au, NAWEZA KUJIANDIKISHA POPOTE PALE TZ, au, hata nikirudi SUALA LITAKUWA ENDELEVU kwamba nikirudi wakati wowote ule dsm hata mwezi ujao nitapata nafasi ya kujiandikisha, au inakuwaje, kazi ikiisha huku mkoani nitatakiwa kubaki hukku mkoani ili kusubiri nafasi ya mkoa nilipo ifike niandikishwe....kama kuna afisa yeyote wa vitambulisho hapa naomba anielekeze hapa, najua itakuwa faida hata kwa wengine.
 
Lowassa caution government on national ID registration

By Emmanuel Onyango

4th August 2012

Former Prime Minister Edward Lowassa this week stressed the need to defend national integrity in the registration process for national identification cards by ensuring non-citizens get no chance to register themselves as Tanzanians.

He cautioned leaders, starting from the village level, to work with care to ensure the process of registration, being undertaken by the National Identification Authority (NIDA, is conducted properly.

Lowassa sounded the warning in an interview by the Milimani TV owned by the University of Dar es Salaam (UDSM) in a special programme prepared by TV presenter Rose Mdhami.

Lowasa recalled how some former liberation war fighters based in the country and given Tanzanian passports during the Southern African frontline states era misused the documents when they visited member states. The frontline states comprised Angola, Botswana, Mozambique, Namibia, Tanzania, Zambia and Zimbabwe.

He said patriotism should be given first priority and reinforced because it is a sensitive matter that is crucial for defending national integrity.

This he said was a fight of every Tanzanian regardless of their party affiliations. "In this exercise patriotism must be observed to defend citizens' rights to get rid of perpetrators who would snatch Tanzanian citizenship without legal procedures."

A member of parliament for Monduli constituency, Lowasa cautioned village leaders, especially those on the borders, because they were likely to tamper with the registration process as their presence would deny the rights of Tanzanians with the registration process.

The TV programme had also previously interviewed other former Tanzanian prime ministers over the newly introduced task of citizens' registration with Dar es Salaam region as a pilot project.

NIDA started the registration of people for national identity cards in Dar es Salaam a month ago, now extended to end on Monday. It has laid down procedures for registration and identification of persons Act of 1986 article 9 (2) state that "where the applicant is illiterate or otherwise unable to write, he/she shall dictate the relevant particulars to a registration officer or any other person authorised by the registrar for the purpose.

Upon completion the applicant shall acknowledge the correctness of the particulars by affixing signature or mark in the presence of registration officer or the other finger print or mark.

The government established the National Identification Authority (NIDA) on 1st July, 2008 to let Tanzanians be known among the five East African countries and even overseas.

NIDA's core functions include issuance of identification and registration and management of identification cards, management and maintenance of permanent registration book.

NIDA's Executive Director Dickson Maimu was quoted in Dar es Salaam as saying the process of engaging the company that would produce the IDs was in the final stages. The $176 million (about Sh200 billion) project has been delayed for decades now with documents, meetings and tendering moving from one office to the other.


SOURCE: THE GUARDIAN
 
ID registration for Dar residents ends

By Devota Mwachang`a

6th August 2012

Registration for national identity cards comes to a close in Dar es Salaam today with the National Identification Authority (NIDA) announcing that it was taking a pause to assess the results of the exercise which slightly over a month.

NIDA Director Geneal Dickson Maimu said their plans had been to move to Lindi and Mtwara, but that the plans have been put on hold.

He said currently they are assessing the Dar registration forms to see if the information revealed was correct or not before giving a report.
"There are people who might be foreigners, but have filled forms indicating that they are Tanzanians, etc," he said.

"After this we shall inform the public on a new decision to be taken. That is when we shall say exactly where we will go next," said Maimu, who confirmed that initially plans were to move to Lindi and Mtwara.

He also confirmed that plans will be made for those who failed to register during the one month to do so in future.

The NIDA boss would not comment on plans for Tanzanians in the Diaspora, saying the issue had financial implications and needed consultations with ministries.

Regarding those reaching 18 tomorrow, Maimu said they will establish special procedures for them to register.
He said the same will be applied for special groups including the sick, prisoners, remandees and people with disability.

It was not immediately clear whether all eligible Dar es Salaam residents managed to register even after a week-long extension was granted.
Registration centres remained open yesterday, with people still trickling in to register.

NIDA Information Officer, Thomas William told The Guardian yesterday that after expiry of the extended time, his office will deliberate the needs of the people first before continuing with the exercise.

"We are aware that there are people who have not registered. But it has to be known that what we have done is a mass registration. The authority will set another registration procedure for those who didn't register," he responded when asked about the fate of those reaching 18 years on August 07, people who have travelled outside Dar es Salaam, the diaspora, the sick and those who had gone on vacation.

"We shall inform the public on the process to follow, so that every qualified person is registered. But this time the NIDA Assistant Registrar Officers (AROs) will not conduct the house to house registration for the permanent settlement registration book," he noted.

Responding to the claims that the authority had favoured public servants by sending them forms in their offices, the officer said it was part of a pilot study.

"But I can assure you not all public servants received the forms. There are many who didn't and they have followed the same channel that others used," said William.

Regarding registration for the elderly and children on streets, the officer said every Tanzanian must register and must be recognized by the local government leaders.

Government leaders have urged people to ensure that foreigners are not registered as Tanzanians, telling them to report any such illegal moves to the authorities.

NIDA started the registration of people for national identity cards in Dar es Salaam a month ago, and extended it for one more week, which ends today.

Registration of foreigners and refugees is also being undertaken.
The procedure is laid out in the Registration and Identification of Persons Act of 1986 article 9 (2) which states: "Where the applicant is illiterate or otherwise unable to write, he/she shall dictate the relevant particulars to a registration officer or any other person authorised by the registrar for the purpose.

NIDA's Executive Director Dickson Maimu was quoted in Dar es Salaam as saying the process of engaging the company that would produce the IDs was in the final stages. The project is expected to cost USD176 million (about Sh200 billion).

SOURCE: THE GUARDIAN
 
Sikiliza kituo cha redio Arusha Mambo FM wapo hewani wakirusha maswali na majibu kwa Mtendaji mkuu wa Vitambulisho Tanzania Bw. Dickson Mwaimu 'live sasa saa 18:16 hrs (saa 12 na dakika 16 jioni) leo 06/08/2012 live gonga hapa: TuneIn Web Tuner&
 
Back
Top Bottom