zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Ndahani unanikumbusha kisa cha Mzee muuza nyanya sokoni;Zomba, mimi nashangaa sana tunachotaka ni nini? Au ndio mambo yale yale...ukiweza kumsumbua sana mtu ndio unakuwa mfanyakazi bora! Muda wa kufuatilia hayo yote uko wapi?
Kapanga fungu zake 30 za nyanya kaja mteja kauliza "fungu shillingi ngapi?" akajibiwa ""elfu moja" akamwambia "haya nitilie kwenye kikapu zote hizo", Mzee muuza nyanya akamjibu "siuzi zote, ukitaka chukuwa fungu tano tu", mnunuzi akauliza "kwa nini?" akamjibu, "mimi nimeaga nyumbani nakwenda kazini, wewe ukichukuwa zote hizi, muda wote uliobaki ntakaa nifanye nini?".
Hiyo ndio typical Tanzania, kama hujatoka jasho hujafanya kazi.