Nakuunga mkono.Kwa mfano wengine wanakuwa na emotional pale mtu anapowakasirisha au kudhulumiwa. Unaweza kufikiria kuua, sasa kwa maelezo ya mtoa mada sijui nayo ina uhusiano na mtu kuwa shoga.
Too emotional si nzuri kwa sababu inaweza pia kuwa tatizo la kisaikolojia ambalo si lazima limpelekee mtu kuwa shoga.
Nafikiri shida ni kutojua maana ya 'emotion'. From Online free Dictionary
e·mo·tion (-mshn)n.1. A mental state that arises spontaneously rather than through conscious effort and is often
accompanied by physiological changes; a feeling: the emotions of joy, sorrow, reverence, hate, and
love.
2. A state of mental agitation or disturbance: spoke unsteadily in a voice that betrayed his emotion. See
Synonyms at feeling.
3. The part of the consciousness that involves feeling; sensibility: "The very essence of literature is the war
between emotion and intellect" (Isaac Bashevis Singer).
From this definition every one on earth is emotional. He/she can be overly emotional at any time
depending on the factors acting for the time being. Hamna swala la udume wala uke hapo. Kama
alikuwa anamaanisha kitu kingine (Related to hormonial balance may be) then he can find correct
words
mkuu just out of curiousity,kwa nini uliamua kujiita 'NZI'?
.........maana tabia za nzi....mmmmmhhhhh!!just curious!
Sio kila mtu ni'mam'. . .mwombe radhi kaka yako huyo.Yes mam.
Hivyo inakua kinyume na mother nature.
Na sio nataka kukuambia. Hivyo ndio hali ilivyo.
Kuna kitu kati ya emotions na being emotional.... Women are more emotional than men that is common knowledge thus a man anapokua so emotional as opposed to the way yajulikana hua inaleta walakini.
Thou sio kweli kua kila mara mwanaume akiwa hivo ni gay.
MUNGU alisema na tufanye mtu na mtu wa kwanza ni mwanaume anayefuata ni mwanadamuhata mwanamme ni mtu jamani.
Ha ha ha! Lizzy bado msimamo wangu ni ule ule aisee...hao unaowasema siyo ma-hardcore wa ukweli, wanajifanyisha...Nzi bado tu umekomalia msimamo wako ule ule au ushabadili?!
Maana ukweli ni kwamba wako wanaume wanaojifanya wanaume haswa..hardcore..macho..wagumu sana mwenye maswala ya mahusiano na mapenzi lakini ndo wenye hisia 'ZILEEEE' kisiri siri.