Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wana JF!
Kuna hili suala la 'uanaume' na 'emotions'. Yaani kuna shule ya hisia ambayo inaamini kwamba mwanaume hapaswi kua "too emotional" katika suala la mahusiano,urafiki na mapenzi. Kwamba mwanaume alie "too emotional" ana kosa 'uanaume'.
Sasa kwa wanaume walio "too emotional" shule hiyo inawafafanua kua na chembechembe 'hormones' za uanauke. Hapo suala la ushoga ndipo linaingia. Kwamba wanaume walio "too emotional" katika MMU uwa ni mashoga.
Ndio maana hata katika tasnia ya muziki,wanamuziki kama John Legend,Neyo n.k. wamekua wakihusishwa na ushoga kutokana kuimba kwa "emotions" za kupitiliza juu ya MMU, kinyume na 'uanaume'.
Mimi naamini kwamba binadamu (wanaume kwa wanawake) tuna 'emotions' katika masuala ya MMU. Lakini mwanaume ukiwa "too emotional" katika masuala ya MMU,wasiwasi unaanza kujitokeza.
Ni hayo tu.
Kuna hili suala la 'uanaume' na 'emotions'. Yaani kuna shule ya hisia ambayo inaamini kwamba mwanaume hapaswi kua "too emotional" katika suala la mahusiano,urafiki na mapenzi. Kwamba mwanaume alie "too emotional" ana kosa 'uanaume'.
Sasa kwa wanaume walio "too emotional" shule hiyo inawafafanua kua na chembechembe 'hormones' za uanauke. Hapo suala la ushoga ndipo linaingia. Kwamba wanaume walio "too emotional" katika MMU uwa ni mashoga.
Ndio maana hata katika tasnia ya muziki,wanamuziki kama John Legend,Neyo n.k. wamekua wakihusishwa na ushoga kutokana kuimba kwa "emotions" za kupitiliza juu ya MMU, kinyume na 'uanaume'.
Mimi naamini kwamba binadamu (wanaume kwa wanawake) tuna 'emotions' katika masuala ya MMU. Lakini mwanaume ukiwa "too emotional" katika masuala ya MMU,wasiwasi unaanza kujitokeza.
Ni hayo tu.