Ingawa mnamwita kilaza kwa Jibu hili la kitaalamu la Prof. Maghembe ile hoja iliyotolewa Kwa mbwembwe nyingi, upambe mwingi kwisha Habari yake. Hongera Prof. Science will remain science.
Kuna watu wanapiga Kelele tumbu tumbu kuna watu wanaonewa. Pembe iliyouzwa Kwa millioni 200 zikatangulia 100 ni ipi hiyo? Inabidi mtuombe radhi Watanzania!
‘Kati ya faru 37 waliokuwepo ndani ya kreta, watoto wake walikuwa 26 sawa na asilimia 70.2. Uamuzi wa kumuondoa John ulikuwa ni muhimu ili kuwezesha kuongezeka kwa faru weusi na kupunguza tatizo la ‘inbreeding’ ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro,”;–Waziri Maghembe.
Kuna watu wanapiga Kelele tumbu tumbu kuna watu wanaonewa. Pembe iliyouzwa Kwa millioni 200 zikatangulia 100 ni ipi hiyo? Inabidi mtuombe radhi Watanzania!
‘Kati ya faru 37 waliokuwepo ndani ya kreta, watoto wake walikuwa 26 sawa na asilimia 70.2. Uamuzi wa kumuondoa John ulikuwa ni muhimu ili kuwezesha kuongezeka kwa faru weusi na kupunguza tatizo la ‘inbreeding’ ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro,”;–Waziri Maghembe.