'Uamuzi wa kumuondoa Faru John ulikuwa ni muhimu' This science: Hoja Kwisha

Hao uliowataja population na range yao ya ku migrate ni kubwa kulinganisha na hao faru ambao hawafiki ata 40. Faru muda mwingi wanakuwa creta tu lakini kuna Nyumbu na swala wanaotoka serengeti kwenda masai mara then Ngorongoro badae wanarudi Serengeti tena so wanakuwa na chance kubwa ya ku mate na wanyama kutoka koo tofauti tofauti ambayo huwasaidia kuwa na genetic diversity lakini hao faru wa creta ni koo moja iyo iyo kutokana na ubabe wa John sa tukiwa na jamii moja tu ya faru unaweza kuta wasiwe strong kwenye ku adapt mabadiriko yoyote yale so watakufa tu.
Bado aijakaa sawa kwanini wasingemtafutia faru jike kwa gharama yeyote kutoka south Africa au taifa lolote na wakatenga na huyo joke mpya ili kuavoid inbreading faru john kifo chake naisi nicha kisaikolojia na kimazingira zaidi.
 
Hawa wanyama walikuwa wanaishi na kujitawala wenyewe hivi hayo mambo ya inbreeding yanaanzia wapi. Nani anayesimamia inbreeding ya simba, nyumbu, tembo, swala na wanyama wengine mbugani. Hawa wanyama mbugani hawajaanza leo kuishi. Huko mbugani wanazaliana wanavyojua wao. Sikubaliani na hoja.

Waziri atuhakikishie kuwa tatizo la in breeding linatatuliwa kwa wanayama wengine wote na sio kwa faru peke yake. Hapa maelezo hayajitoshelezi. Kwanini Hifadhi ya Ngorongoro iwe concerned na in breeding ya faru pekeyake. Mimi kwangu hoja hii ya waziri haina mashiko
 
Ingawa mnamwita kilaza kwa Jibu hili la kitaalamu la Prof. Maghembe ile hoja iliyotolewa Kwa mbwembwe nyingi, upambe mwingi kwisha Habari yake. Hongera Prof. Science will remain science.

Kuna watu wanapiga Kelele tumbu tumbu kuna watu wanaonewa. Pembe iliyouzwa Kwa millioni 200 zikatangulia 100 ni ipi hiyo? Inabidi mtuombe radhi Watanzania!

‘Kati ya faru 37 waliokuwepo ndani ya kreta, watoto wake walikuwa 26 sawa na asilimia 70.2. Uamuzi wa kumuondoa John ulikuwa ni muhimu ili kuwezesha kuongezeka kwa faru weusi na kupunguza tatizo la ‘inbreeding’ ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro,”;–Waziri Maghembe.
Mzee nimefuga mifugo mbali mbali ila hoja uliotoa inaonekana hata paka ujafuga ivi unajua ukubwa wa eneo ulipo mbugani mpk yeye awe msumbufu mbuga nzima dah kwel bongo nyoso umeongea total uongo wa kitoto kwel faru mmoja awe msumbufu kwa wengine tena faru mwenyewe analindwa day to day na zaid ya askari 6 dah acha utani bana we sema hela imeenda kwenye service ya mv dar es salaam basi
 
kaka utakuwa ujasoma biology ukaielewa, ungekuwa umeielewa bios, ungeelewa pia kilicho andikwa.

ndio maana kuna wataalamu na wahifadhi, tena wanalipwa na serikali na kuna wakati pia wataalamu wanaagizwa kutoka nje kwa pesa nyingi...

Shotly ni kuwa, faru John was project, but tha project was failed, ndio maana wataalamu wakachukua hatua
 
Wakuu mnanena vema ila bado Kuna wachache wanafikiri kwamba kama sisi mahuman tunavyoparamiana gesti na kwa faru yaweza kuwa hivyo hivyo. Na ukizingatia faru mwenyewe ni project maalum tena John
 
PM hakupaswa kuanika yale majungu aliyokuwa amelishwa pale mbele ya hadhara. Bahati nzuri hakuwatia ndani wale jamaa. Labda kwa kuwa kuna mmoja alipata ujasiri wa kumwambia palepale "unaongea uongo mtupu kabisa..."
 
R.I.P John hii nchi iko hvi si kwenu tu hata sisi vifo vyetu ni kama vyenu ,pumzika kwa amani john.
 
John ilikuwa lazima aondoke pale NCAA,angeachwa pale angepanda watoto wake na kuhatarisha kizazi cha Faru wote.Kumbe kati ya Faru 37 Faru 26 ni watoto wake,pili alikuwa mbabe majike yote aliyamiliki yeye.

Tatizo ni sehemu aliyopelekwa,badala ya kupelekwa Mkomazi kapelekwa Grumeti Reserves mradi wa mtu binafsi.
 
Watu kujustify dhambi ati inbreeding.
Sasa mtuambie na uko Grumet alipelekwa kwa outbreeding?
Mnakela.
 
I
Hawa wanyama walikuwa wanaishi na kujitawala wenyewe hivi hayo mambo ya inbreeding yanaanzia wapi. Nani anayesimamia inbreeding ya simba, nyumbu, tembo, swala na wanyama wengine mbugani. Hawa wanyama mbugani hawajaanza leo kuishi. Huko mbugani wanazaliana wanavyojua wao. Sikubaliani na hoja.

Kuna tofauti, hawa wapo eneo dogo sana na ni wachache tofauti na hao wengine uliowataja. Inbreeding ni hatari..
 
Ingawa mnamwita kilaza kwa Jibu hili la kitaalamu la Prof. Maghembe ile hoja iliyotolewa Kwa mbwembwe nyingi, upambe mwingi kwisha Habari yake. Hongera Prof. Science will remain science.

Kuna watu wanapiga Kelele tumbu tumbu kuna watu wanaonewa. Pembe iliyouzwa Kwa millioni 200 zikatangulia 100 ni ipi hiyo? Inabidi mtuombe radhi Watanzania!

‘Kati ya faru 37 waliokuwepo ndani ya kreta, watoto wake walikuwa 26 sawa na asilimia 70.2. Uamuzi wa kumuondoa John ulikuwa ni muhimu ili kuwezesha kuongezeka kwa faru weusi na kupunguza tatizo la ‘inbreeding’ ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro,”;–Waziri Maghembe.
Dume la kuku linaitwa Jogoo na dume la Faru linaitwaje?
 
Back
Top Bottom