Uamuzi wa kuhamishia makao makuu ya polisi Dodoma ni wa kitaalamu au kisiasa?

Ni vema kama kitu hujui uanze kuuliza na siyo judgemental statement
Kwa taarifa yako...IGP LAZIMA KILA SIKU ASUBUHI AHUDHURIE MORNING CALL YA KIKAO CHA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA KINACHOONGOZWA NA RAIS..AKIWEMO MKUU WA MAJESHI...MKURUGENZI USALAMA WA TAIFA..NA WENGINE AMBAO SINA HAJA KUKUTAJIA
Kwa maana hiyo by any means usitegemee kama Rais wa nchi akihamia Dodoma wakuu wa majeshi na wakurugenzi wakuu wa ulinzi na usalama wabaki Dar....LAZIMA NA WAO WAWE PALE
Isitoshe....Kanda Maalumu Dar HAIJUMUISHI Headquarter ya Jeshi..Hizo hazihami na Ma RPC wa hizo Kanda wapo na Kamishna wa Kanda Maalumu wa Polisi ataendelea kuwepo

My take:pICHA AMBAYO NAIPATA HAPA TANZANIA KWA SASA NI KUWA UKIKOSOA NA KUPINGA KILA KITU KINACHOFANYWA NCHINI NDIPO UNAONEKANA UNA AKILI..LKN UKIUNGA MKONO KITU CHEMA UNAONEKANA HUNA MAANA!!!!!...Mhhh the attitude wa are now engaged in damage our destination. ..I stand to be corrected
Umemjibu vizuri sana, Kuna watu kazi yao kuruka ruka tu hawajui wapo kujaza server tu JF
 
Ni vema kama kitu hujui uanze kuuliza na siyo judgemental statement
Kwa taarifa yako...IGP LAZIMA KILA SIKU ASUBUHI AHUDHURIE MORNING CALL YA KIKAO CHA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA KINACHOONGOZWA NA RAIS..AKIWEMO MKUU WA MAJESHI...MKURUGENZI USALAMA WA TAIFA..NA WENGINE AMBAO SINA HAJA KUKUTAJIA
Kwa maana hiyo by any means usitegemee kama Rais wa nchi akihamia Dodoma wakuu wa majeshi na wakurugenzi wakuu wa ulinzi na usalama wabaki Dar....LAZIMA NA WAO WAWE PALE
Isitoshe....Kanda Maalumu Dar HAIJUMUISHI Headquarter ya Jeshi..Hizo hazihami na Ma RPC wa hizo Kanda wapo na Kamishna wa Kanda Maalumu wa Polisi ataendelea kuwepo

My take:pICHA AMBAYO NAIPATA HAPA TANZANIA KWA SASA NI KUWA UKIKOSOA NA KUPINGA KILA KITU KINACHOFANYWA NCHINI NDIPO UNAONEKANA UNA AKILI..LKN UKIUNGA MKONO KITU CHEMA UNAONEKANA HUNA MAANA!!!!!...Mhhh the attitude wa are now engaged in damage our destination. ..I stand to be corrected
Kiongozi umemaliza. Mwenye akili amekuelewa
 
Jeshi la polisi limetangaza kuhamisha makao yake makuu Dodoma mwezi ujao kwa mujibu wa magazeti ya leo. Binafsi nachukulia uamzi huu kama wa kukurupuka. Kwanza Jeshi hilo si taasisi au idara ya kisiasa hivyo uwepo wao sehemu si kwa kigezo cha siasa bali usalama.

Wangejiuliza mfano kwa nini Dar es Salaam kuna mikoa maalum ya kipolisi na Dodoma hakuna. Dar kuna uhalifu mkubwa kulinganisha na Dodoma. Polisi wapo kwa ajili ya kulinda viongozi tu? Au yale yanayosemwa kwamba liko kisiasa ni kweli? Tujiulize unapotokea uvunjifu wa amani sehemu kwa nini wataalamu wa jeshi la polisi hutoka makao makuu kwenda mikoani?

Mfano mauji ya Amboni, milipuko ya Arusha na Zanzibar, au mauji ya msikitini Mwanza polisi walilazimika kutuma wataalamu toka makao makuu. Hii inaonyesha polisi wanahitajika sehemu tokana na unyeti wa kiusalama na si viongozi wa kisiasa watakapokuwa. Lazima tuhoji uamzi wa kuhamia Dodoma ni wa kisiasa au unatokana na tathmini ya kitaalamu ya mahitaji kiusalama?
***
UMETAFSIRI SIVYO/ UWEPO WA MAKAO MAKUU PAHALA HAIMAANISHI KUNA WINGI WA MATUKIO/ SOMA KWA UMAKINI NA UELEWE KABLA YA KUANDIKA
 
Ni vema kama kitu hujui uanze kuuliza na siyo judgemental statement
Kwa taarifa yako...IGP LAZIMA KILA SIKU ASUBUHI AHUDHURIE MORNING CALL YA KIKAO CHA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA KINACHOONGOZWA NA RAIS..AKIWEMO MKUU WA MAJESHI...MKURUGENZI USALAMA WA TAIFA..NA WENGINE AMBAO SINA HAJA KUKUTAJIA
Kwa maana hiyo by any means usitegemee kama Rais wa nchi akihamia Dodoma wakuu wa majeshi na wakurugenzi wakuu wa ulinzi na usalama wabaki Dar....LAZIMA NA WAO WAWE PALE
Isitoshe....Kanda Maalumu Dar HAIJUMUISHI Headquarter ya Jeshi..Hizo hazihami na Ma RPC wa hizo Kanda wapo na Kamishna wa Kanda Maalumu wa Polisi ataendelea kuwepo

My take:pICHA AMBAYO NAIPATA HAPA TANZANIA KWA SASA NI KUWA UKIKOSOA NA KUPINGA KILA KITU KINACHOFANYWA NCHINI NDIPO UNAONEKANA UNA AKILI..LKN UKIUNGA MKONO KITU CHEMA UNAONEKANA HUNA MAANA!!!!!...Mhhh the attitude wa are now engaged in damage our destination. ..I stand to be corrected
Umeandika mambo yanayoonyesha kuwa unakitumia vyema kichwa chako na kilichomo ndani ya kichwa chako.....hongera kwa hilo maana umejikomboa....

Kiukweli fikra kinzani zinawafanya watu waonekane hata hata hawana akili....kwani mtu anapinga hata jambo ambalo hana weledi lakini kwa kuwa yeye ni mpinzani na ana fikra hasi dhidi ya serikali basi yeye anakosoa tu bila ya kujua kuwa kukosoa uko....kunamfanya aonekane yupo uchi kichwani......
Haikatazwi kukosoa....lakini inatakiwa ukosoe kwa hoja zenye mashiko na sio unakosoa kitu ambacho huna uelewa nacho kwani huko ni sawa na kujitoa ufahamu.....
 
Asante kwa mada nzuri mtoa mada. Kabla ya kujibu swali lako tunatakiwa kujiuliza maswali machache ya msingi;
(i) Nini hasa umuhimu wa kuhamia DODOMA
(ii) Kwanini hili wazo lilikuwepo tokea siku za nyuma
(iii) Kwanini liendelee kuwapo mpaka leo hii
(iv) Je ni jambo la muhimu saana kwa wakati huu?
(V) Faida na hasara za kuahamia Dodoma.

(ii) Kwa taarifa nilizonazo eti ni kwa sababu ipo katikati ya nchi.Hii kama ni kweli ndio sababu ya msingi haileti maaana yoyote na kama ndio sababu zoezi lisitishwe mara moja. (Kwa common sense)
(iii) Inawezekana kipindi kile serikali ilikuwa haijajipanga kimkakati katika sekta mbali mbali za uchumi mfano michache (miundombinu)n.k kwa hiyo kwa kipindi kile wangeweza kuweka makao makuu Dodoma ' it was a good idea'. Ila kwa sasa unaposema uhamishie Serikali yoote Dodoma unatakiwa kujiuliza mara mbili hasa katika swala zima la matumizi sahihi ya rasilimali ya Taifa kuanzia kuwahamisha Viongozi woote wa serikali na wafanyakazi wao wanaotakiwa kuwa Dodoma pamoja na familia zao, miundombinu, wadau mbali mbali (i.e Mabalozi wa Nje) n.k
(iV) Sio jambo la muhimu hata kidogo kwa wakati huu. Tanzania ni kati ya nchi masikini kupita kiasi duniani kwa wakati huu. kuna mambo mengi saana na ya msingi ya kuyafanyia kazi kabla ya kufikilia hili jambo la kuhamia Dodoma. Tujiulize Shule zetu zina madawati ya kutosha?vipi vitanda hospitalini wakina mama bado wanajifungulia chini? maji vipi. n.k.
(v) Faida ni moja tu ambayo kwa sasa sio ya msingi..nayo ni kwamba mji wa Dodoma kwa kiasi fulani utakuwa kiuchumi at the expense ya mikoa mingine na kwa kupunguza huduma za jamii kwa Taifa loote.

(i) Hakuna umuhimu wa kuhamia Dodoma kwa wakati huu....
 
Ni vema kama kitu hujui uanze kuuliza na siyo judgemental statement
Kwa taarifa yako...IGP LAZIMA KILA SIKU ASUBUHI AHUDHURIE MORNING CALL YA KIKAO CHA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA KINACHOONGOZWA NA RAIS..AKIWEMO MKUU WA MAJESHI...MKURUGENZI USALAMA WA TAIFA..NA WENGINE AMBAO SINA HAJA KUKUTAJIA
Kwa maana hiyo by any means usitegemee kama Rais wa nchi akihamia Dodoma wakuu wa majeshi na wakurugenzi wakuu wa ulinzi na usalama wabaki Dar....LAZIMA NA WAO WAWE PALE
Isitoshe....Kanda Maalumu Dar HAIJUMUISHI Headquarter ya Jeshi..Hizo hazihami na Ma RPC wa hizo Kanda wapo na Kamishna wa Kanda Maalumu wa Polisi ataendelea kuwepo

My take:pICHA AMBAYO NAIPATA HAPA TANZANIA KWA SASA NI KUWA UKIKOSOA NA KUPINGA KILA KITU KINACHOFANYWA NCHINI NDIPO UNAONEKANA UNA AKILI..LKN UKIUNGA MKONO KITU CHEMA UNAONEKANA HUNA MAANA!!!!!...Mhhh the attitude wa are now engaged in damage our destination. ..I stand to be corrected
Kuna maana kubwa sana kutumia geographia. System zote zinajengeka kiulaini sana kuliko kufuata hitaji.
 
Asante kwa mada nzuri mtoa mada. Kabla ya kujibu swali lako tunatakiwa kujiuliza maswali machache ya msingi;
(i) Nini hasa umuhimu wa kuhamia DODOMA
(ii) Kwanini hili wazo lilikuwepo tokea siku za nyuma
(iii) Kwanini liendelee kuwapo mpaka leo hii
(iv) Je ni jambo la muhimu saana kwa wakati huu?
(V) Faida na hasara za kuahamia Dodoma.

(ii) Kwa taarifa nilizonazo eti ni kwa sababu ipo katikati ya nchi.Hii kama ni kweli ndio sababu ya msingi haileti maaana yoyote na kama ndio sababu zoezi lisitishwe mara moja. (Kwa common sense)
(iii) Inawezekana kipindi kile serikali ilikuwa haijajipanga kimkakati katika sekta mbali mbali za uchumi mfano michache (miundombinu)n.k kwa hiyo kwa kipindi kile wangeweza kuweka makao makuu Dodoma ' it was a good idea'. Ila kwa sasa unaposema uhamishie Serikali yoote Dodoma unatakiwa kujiuliza mara mbili hasa katika swala zima la matumizi sahihi ya rasilimali ya Taifa kuanzia kuwahamisha Viongozi woote wa serikali na wafanyakazi wao wanaotakiwa kuwa Dodoma pamoja na familia zao, miundombinu, wadau mbali mbali (i.e Mabalozi wa Nje) n.k
(iV) Sio jambo la muhimu hata kidogo kwa wakati huu. Tanzania ni kati ya nchi masikini kupita kiasi duniani kwa wakati huu. kuna mambo mengi saana na ya msingi ya kuyafanyia kazi kabla ya kufikilia hili jambo la kuhamia Dodoma. Tujiulize Shule zetu zina madawati ya kutosha?vipi vitanda hospitalini wakina mama bado wanajifungulia chini? maji vipi. n.k.
(v) Faida ni moja tu ambayo kwa sasa sio ya msingi..nayo ni kwamba mji wa Dodoma kwa kiasi fulani utakuwa kiuchumi at the expense ya mikoa mingine na kwa kupunguza huduma za jamii kwa Taifa loote.

(i) Hakuna umuhimu wa kuhamia Dodoma kwa wakati huu....
Na Dar itakuwa kama Tanga baada ya miaka kadhaa...deserted...(WIN LOSE)
 
Sioni hoja yeyote ya msingi ya kupinga makao makuu ya Jeshi la polisi kwenda Dodoma bali kwa hoja yako ni wazi makao makuu ya jeshi la polisi yanaweza kukaa popote pale.

Kwa hoja zako hakuna tatizo lolote makao makuu kwenda Dodoma maana hujaonesha hoja za msingi au athari na ikumbukwe wanao kwenda Dodoma ni baadhi ya maafisa na makao makuu ni lazima yaende dodoma na kuna sababu nyingi za msingi kwa makao makuu ya jeshi la polisi kuwa ilipo ikulu.
Mkuu huyo aliyeandika hapo ni matokeo ya kuwa na fikra kinzani kwa kila jambo....fikra hizo zimewafanya waonekane kama wehu mbele ya watu wanaozishughulisha bongo zao.......
Kusema ukweli hilo bandiko la huyo limetosha kumjua kiwango chake cha ufahamu.........
Kibaya zaidi ni kuwa wao wanadhani kuwa mpinzani ni kupinga kila kitu na kuwa mwana CCM ni kukubali kila kitu.........
 
RPC na RC wa Dar wote watahamia Dodoma, hii nchi bhana hivi nani katuroga???
 
Asante kwa mada nzuri mtoa mada. Kabla ya kujibu swali lako tunatakiwa kujiuliza maswali machache ya msingi;
(i) Nini hasa umuhimu wa kuhamia DODOMA
(ii) Kwanini hili wazo lilikuwepo tokea siku za nyuma
(iii) Kwanini liendelee kuwapo mpaka leo hii
(iv) Je ni jambo la muhimu saana kwa wakati huu?
(V) Faida na hasara za kuahamia Dodoma.

(ii) Kwa taarifa nilizonazo eti ni kwa sababu ipo katikati ya nchi.Hii kama ni kweli ndio sababu ya msingi haileti maaana yoyote na kama ndio sababu zoezi lisitishwe mara moja. (Kwa common sense)
(iii) Inawezekana kipindi kile serikali ilikuwa haijajipanga kimkakati katika sekta mbali mbali za uchumi mfano michache (miundombinu)n.k kwa hiyo kwa kipindi kile wangeweza kuweka makao makuu Dodoma ' it was a good idea'. Ila kwa sasa unaposema uhamishie Serikali yoote Dodoma unatakiwa kujiuliza mara mbili hasa katika swala zima la matumizi sahihi ya rasilimali ya Taifa kuanzia kuwahamisha Viongozi woote wa serikali na wafanyakazi wao wanaotakiwa kuwa Dodoma pamoja na familia zao, miundombinu, wadau mbali mbali (i.e Mabalozi wa Nje) n.k
(iV) Sio jambo la muhimu hata kidogo kwa wakati huu. Tanzania ni kati ya nchi masikini kupita kiasi duniani kwa wakati huu. kuna mambo mengi saana na ya msingi ya kuyafanyia kazi kabla ya kufikilia hili jambo la kuhamia Dodoma. Tujiulize Shule zetu zina madawati ya kutosha?vipi vitanda hospitalini wakina mama bado wanajifungulia chini? maji vipi. n.k.
(v) Faida ni moja tu ambayo kwa sasa sio ya msingi..nayo ni kwamba mji wa Dodoma kwa kiasi fulani utakuwa kiuchumi at the expense ya mikoa mingine na kwa kupunguza huduma za jamii kwa Taifa loote.

(i) Hakuna umuhimu wa kuhamia Dodoma kwa wakati huu....
Kiukweli mdau....naungana na wewe katika hili....sioni kama kuna ulazima wa serikali kuhamia dodoma hasa katika wakati kama huu ambapo taifa letu linapitia katika wakati mgumu sana...Bado wahitimu wetu vyuo vikuu hawana uhakika wa ajira kutokana na kufa sekta mbali mbali.......bado tunahitaji kuimarisha huduma za afya mijini na vijijini kwani bado tuna idadi kubwa ya vifo vya mama na watoto......
Bado tunahitaji kuboresha miundombinu yetu ili kuzidi kuchochea shughuli za kichumi pengine pia kuhamasisha vijana wengi kujiajiri baada kuajiriwa na kuchochea maendeleo....,,,
Bado tunahitaji kuboresha mifumo yetu ya elimu ili iendane na mahitaji ya dunia ya sasa....
Kuiukweli kuna mengi ya kufanya kama taifa kwa kipindi hiki ambayo ni muhimu zaidi kuliko hata hilo la kuhamia Dodoma......

Kwa mfano hiyo hela waliyoitenga kwa ajili ya kuwahamisha hao mabwana....kwanini wasiboreshe huduma za afya.........??!!!!

Bila shaka maamuzi haya yamefanywa kisiasa zaidi na sio kuzingatia hali halisi....
 
Asante kwa mada nzuri mtoa mada. Kabla ya kujibu swali lako tunatakiwa kujiuliza maswali machache ya msingi;
(i) Nini hasa umuhimu wa kuhamia DODOMA
(ii) Kwanini hili wazo lilikuwepo tokea siku za nyuma
(iii) Kwanini liendelee kuwapo mpaka leo hii
(iv) Je ni jambo la muhimu saana kwa wakati huu?
(V) Faida na hasara za kuahamia Dodoma.

(ii) Kwa taarifa nilizonazo eti ni kwa sababu ipo katikati ya nchi.Hii kama ni kweli ndio sababu ya msingi haileti maaana yoyote na kama ndio sababu zoezi lisitishwe mara moja. (Kwa common sense)
(iii) Inawezekana kipindi kile serikali ilikuwa haijajipanga kimkakati katika sekta mbali mbali za uchumi mfano michache (miundombinu)n.k kwa hiyo kwa kipindi kile wangeweza kuweka makao makuu Dodoma ' it was a good idea'. Ila kwa sasa unaposema uhamishie Serikali yoote Dodoma unatakiwa kujiuliza mara mbili hasa katika swala zima la matumizi sahihi ya rasilimali ya Taifa kuanzia kuwahamisha Viongozi woote wa serikali na wafanyakazi wao wanaotakiwa kuwa Dodoma pamoja na familia zao, miundombinu, wadau mbali mbali (i.e Mabalozi wa Nje) n.k
(iV) Sio jambo la muhimu hata kidogo kwa wakati huu. Tanzania ni kati ya nchi masikini kupita kiasi duniani kwa wakati huu. kuna mambo mengi saana na ya msingi ya kuyafanyia kazi kabla ya kufikilia hili jambo la kuhamia Dodoma. Tujiulize Shule zetu zina madawati ya kutosha?vipi vitanda hospitalini wakina mama bado wanajifungulia chini? maji vipi. n.k.
(v) Faida ni moja tu ambayo kwa sasa sio ya msingi..nayo ni kwamba mji wa Dodoma kwa kiasi fulani utakuwa kiuchumi at the expense ya mikoa mingine na kwa kupunguza huduma za jamii kwa Taifa loote.

(i) Hakuna umuhimu wa kuhamia Dodoma kwa wakati huu....
labda nikupe engo nyingine,kwanini wakoloni waliweka nairobi kama mji mkuu wa kenya na si mombasa?
 
Jeshi la polisi limetangaza kuhamisha makao yake makuu Dodoma mwezi ujao kwa mujibu wa magazeti ya leo. Binafsi nachukulia uamzi huu kama wa kukurupuka. Kwanza Jeshi hilo si taasisi au idara ya kisiasa hivyo uwepo wao sehemu si kwa kigezo cha siasa bali usalama.

Wangejiuliza mfano kwa nini Dar es Salaam kuna mikoa maalum ya kipolisi na Dodoma hakuna. Dar kuna uhalifu mkubwa kulinganisha na Dodoma. Polisi wapo kwa ajili ya kulinda viongozi tu? Au yale yanayosemwa kwamba liko kisiasa ni kweli? Tujiulize unapotokea uvunjifu wa amani sehemu kwa nini wataalamu wa jeshi la polisi hutoka makao makuu kwenda mikoani?

Mfano mauji ya Amboni, milipuko ya Arusha na Zanzibar, au mauji ya msikitini Mwanza polisi walilazimika kutuma wataalamu toka makao makuu. Hii inaonyesha polisi wanahitajika sehemu tokana na unyeti wa kiusalama na si viongozi wa kisiasa watakapokuwa. Lazima tuhoji uamzi wa kuhamia Dodoma ni wa kisiasa au unatokana na tathmini ya kitaalamu ya mahitaji kiusalama?
Hii hoja nimemshirikisha mjukuu wangu...yupo darasa la tatu...Jibu lake ...namnukuu..''Babu Dodoma si ipo katikati?,.......kwa jibu hilo nikapata majibu mengi....Lakini hiyo ni perspective ya mtoto wa darasa la tatu.
 
Back
Top Bottom