- Thread starter
- #21
Sasa itakuwaje wanamuacha Dar mwezi ujao?yeah,hiyo sababu ina logic,wakuu wa usalama lazima wambrief rais kuhusu mambo ya usalama daily na personaly
Sasa itakuwaje wanamuacha Dar mwezi ujao?yeah,hiyo sababu ina logic,wakuu wa usalama lazima wambrief rais kuhusu mambo ya usalama daily na personaly
Kwa miundombinu ipi? Ndipo mjue ni uhamaji wa kisiasa na wala siyo wa kitaalamu. Tusubiri tuone mwisho wa hii tamthiliya. Kama nakumbuka vizuri kwenye bajeti ya mwaka huu wa fedha Ikulu ilitengewa a good amount of money. Ina maana hii ndoto ya kwenda Dodoma ilikuwa bado haijaotwa au?Jeshi la polisi limetangaza kuhamisha makao yake makuu Dodoma mwezi ujao kwa mujibu wa magazeti ya leo. Binafsi nachukulia uamzi huu kama wa kukurupuka. Kwanza Jeshi hilo si taasisi au idara ya kisiasa hivyo uwepo wao sehemu si kwa kigezo cha siasa bali usalama.
Wangejiuliza mfano kwa nini Dar es Salaam kuna mikoa maalum ya kipolisi na Dodoma hakuna. Dar kuna uhalifu mkubwa kulinganisha na Dodoma. Polisi wapo kwa ajili ya kulinda viongozi tu? Au yale yanayosemwa kwamba liko kisiasa ni kweli? Tujiulize unapotokea uvunjifu wa amani sehemu kwa nini wataalamu wa jeshi la polisi hutoka makao makuu kwenda mikoani?
Mfano mauji ya Amboni, milipuko ya Arusha na Zanzibar, au mauji ya msikitini Mwanza polisi walilazimika kutuma wataalamu toka makao makuu. Hii inaonyesha polisi wanahitajika sehemu tokana na unyeti wa kiusalama na si viongozi wa kisiasa watakapokuwa. Lazima tuhoji uamzi wa kuhamia Dodoma ni wa kisiasa au unatokana na tathmini ya kitaalamu ya mahitaji kiusalama?
ULINZIPolisi wanaleta maendeleo? Watanzania bwana!
Tarime nako kuna kanda maalumu ya kipolisi mbona sio makao makuu ya polisi?Jeshi la polisi limetangaza kuhamisha makao yake makuu Dodoma mwezi ujao kwa mujibu wa magazeti ya leo. Binafsi nachukulia uamzi huu kama wa kukurupuka. Kwanza Jeshi hilo si taasisi au idara ya kisiasa hivyo uwepo wao sehemu si kwa kigezo cha siasa bali usalama.
Wangejiuliza mfano kwa nini Dar es Salaam kuna mikoa maalum ya kipolisi na Dodoma hakuna. Dar kuna uhalifu mkubwa kulinganisha na Dodoma. Polisi wapo kwa ajili ya kulinda viongozi tu? Au yale yanayosemwa kwamba liko kisiasa ni kweli? Tujiulize unapotokea uvunjifu wa amani sehemu kwa nini wataalamu wa jeshi la polisi hutoka makao makuu kwenda mikoani?
Mfano mauji ya Amboni, milipuko ya Arusha na Zanzibar, au mauji ya msikitini Mwanza polisi walilazimika kutuma wataalamu toka makao makuu. Hii inaonyesha polisi wanahitajika sehemu tokana na unyeti wa kiusalama na si viongozi wa kisiasa watakapokuwa. Lazima tuhoji uamzi wa kuhamia Dodoma ni wa kisiasa au unatokana na tathmini ya kitaalamu ya mahitaji kiusalama?
mkuu nawe usikurupuke..Ni vema kama kitu hujui uanze kuuliza na siyo judgemental statement
Kwa taarifa yako...IGP LAZIMA KILA SIKU ASUBUHI AHUDHURIE MORNING CALL YA KIKAO CHA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA KINACHOONGOZWA NA RAIS..AKIWEMO MKUU WA MAJESHI...MKURUGENZI USALAMA WA TAIFA..NA WENGINE AMBAO SINA HAJA KUKUTAJIA
Kwa maana hiyo by any means usitegemee kama Rais wa nchi akihamia Dodoma wakuu wa majeshi na wakurugenzi wakuu wa ulinzi na usalama wabaki Dar....LAZIMA NA WAO WAWE PALE
Isitoshe....Kanda Maalumu Dar HAIJUMUISHI Headquarter ya Jeshi..Hizo hazihami na Ma RPC wa hizo Kanda wapo na Kamishna wa Kanda Maalumu wa Polisi ataendelea kuwepo
My takeICHA AMBAYO NAIPATA HAPA TANZANIA KWA SASA NI KUWA UKIKOSOA NA KUPINGA KILA KITU KINACHOFANYWA NCHINI NDIPO UNAONEKANA UNA AKILI..LKN UKIUNGA MKONO KITU CHEMA UNAONEKANA HUNA MAANA!!!!!...Mhhh the attitude wa are now engaged in damage our destination. ..I stand to be corrected
Logic iko wapi? Kwan nani kasema rais anahamia mwezi ujao ? kama sababu ulizosema ni kweli basi wangesubiri mh.rais ahamie au wao wahame mwezi mmoja kabla ya rais kwendayeah,hiyo sababu ina logic,wakuu wa usalama lazima wambrief rais kuhusu mambo ya usalama daily na personaly
Kweli maendeleo yanaletwa na askari.Inabidi kanda ya kati wajue kujituma ndio kunaleta maendeleo.Bora wahamie maana italeta uwiano wa maendeleo kidogo....mikoa jirani na Dodoma nayo itaendelea
mkoa gani unaiingizia Tz pesa ndefu ya utalii kama Arusha? OK wacha twende Dodoma tukakuze utalii. Kivutio namba MOJA ni wale watu wavivu, wachafu na ombaombaKwa hiyo Tanzania nzima mali za asili na mambo ya Utalii yako Arusha tu? Mikoa mingine hakuna?
Mi nilikuwa naonyesha umuhimu wa kiusalama kati ya Dar na Dodoma kwa maana ya changamotoTarime nako kuna kanda maalumu ya kipolisi mbona sio makao makuu ya polisi?
Na hii nadhani inatokana na kauli zake kwamba mtu akienda tofauti na anavyotaka yeye basi atalala naye mbele, hiki kitu kinatisha sana sidhani kama kuna mtu yupo tayari kulala na RaisMagufuli akisema wote lala chini,
Hakuna anayehoji wala kushauri wote wanakurupuka na kutii.
Bujibuji umenifurahisha!Kichekesho, wizara ya maliasili na utalii imehamia Dodoma badala ya kuhamia Arusha.
Hakika aliyetuloga Saa hizi katutupia jini LA gono akilini mwetu
Nani anataka kuharibu ugali wake kazi yetu ni kutii amri halali ndiyo mkuuNa hii nadhani inatokana na kauli zake kwamba mtu akienda tofauti na anavyotaka yeye basi atalala naye mbele, hiki kitu kinatisha sana sidhani kama kuna mtu yupo tayari kulala na Rais
Kwa hiyo raisi na mkuu Wa majeshi na hao wengine wote ukiowataja na ambao hujawataja wote wameshaenda Dodoma?au IGP atakuwa anakuja kila asubuhi Ku attend hiyo meeting?Ni vema kama kitu hujui uanze kuuliza na siyo judgemental statement
Kwa taarifa yako...IGP LAZIMA KILA SIKU ASUBUHI AHUDHURIE MORNING CALL YA KIKAO CHA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA KINACHOONGOZWA NA RAIS..AKIWEMO MKUU WA MAJESHI...MKURUGENZI USALAMA WA TAIFA..NA WENGINE AMBAO SINA HAJA KUKUTAJIA
Kwa maana hiyo by any means usitegemee kama Rais wa nchi akihamia Dodoma wakuu wa majeshi na wakurugenzi wakuu wa ulinzi na usalama wabaki Dar....LAZIMA NA WAO WAWE PALE
Isitoshe....Kanda Maalumu Dar HAIJUMUISHI Headquarter ya Jeshi..Hizo hazihami na Ma RPC wa hizo Kanda wapo na Kamishna wa Kanda Maalumu wa Polisi ataendelea kuwepo
My takeICHA AMBAYO NAIPATA HAPA TANZANIA KWA SASA NI KUWA UKIKOSOA NA KUPINGA KILA KITU KINACHOFANYWA NCHINI NDIPO UNAONEKANA UNA AKILI..LKN UKIUNGA MKONO KITU CHEMA UNAONEKANA HUNA MAANA!!!!!...Mhhh the attitude wa are now engaged in damage our destination. ..I stand to be corrected
Wizara ya dhahabu nayo Dodoma, akili za wapi hizi?Kichekesho, wizara ya maliasili na utalii imehamia Dodoma badala ya kuhamia Arusha.
Hakika aliyetuloga Saa hizi katutupia jini LA gono akilini mwetu
Tusaidiane. Kwani Rais anahamia lini Dodoma?yeah,hiyo sababu ina logic,wakuu wa usalama lazima wambrief rais kuhusu mambo ya usalama daily na personaly