Uamuzi wa CHADEMA dhidi ya madiwani: "A Big Mistake!"

Wanabodi,

Kitendo cha Kamati Kuu ya Chadema kuwavua uanachama madiwani wake wa Arusha, is "A Big Mistake"!, and there is a price to pay, so Chadema must pay very dearly and the price which is very high!.

unatetea huu uvunjifu wa sheria, halafu ajabu unawalaumu Chadema kila siku hawatendi haki, wakati walifuata sheria na taratibu zao kuwaadhibu wale wanawake, hueleweki bro.
Hapa Mkuu denooJ nakuomba sana be honest kwasababu hapa ndipo karma inapolalia, Chadema walifuata sheria na taratibu zao kuwaadhibu, naomba unielimishe walifuata vipi?

Ikikupendeza anzisha uzi wa jinsi Chadema inavyofuata katiba yake, sheria, taratibu na kanuni katika kuwaadhibu watovu mbalimbali wa nidhamu ndani ya chama.

Vinginevyo ukipata muda, pitia nyuzi hizi, humu ujibu Chadema ilifanyagaje
Anza na
Hapa Uamuzi wa CHADEMA dhidi ya madiwani: "A Big Mistake!"
Kisha hapa Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!
Kisha Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"
Na sasa Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja. Hongera sana Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

P
 
Kama Chadema walikuwa wanaheshimu mawazo ya wanachama wao basi wangefata taratibu za vikao na kumteua mgombea urais badala ya watu wachache kukaa na kuja na jina lao hii ilionyesha wazi Chadema sio chama cha kidemokrasia kama kinavyojiita ila ni kikundi cha watu wachache wenye malengo maalumu.
Mkuu rodrick alexander, kwanza asante sana kwa kuwa very objective, na kama wewe ni member, mshabiki, mfuasi au mpenzi wa Chadema, watu objective kama nyinyi ndio mnaweza kuisaidia Chadema ikae kwenye mstari!. Wengi wa members, wafuasi na washabiki ni ma nyumba!.

Naomba kukuuliza, jee unaijua katiba ya Chadema?, uliwahi kuisoma?, unazijua taratibu za kufukuza wanachama na mamlaka ya nidhamu kwa mujibu wa katiba ya Chadema?. Katika timua timua zote, ni lini Chadema waliwahi kuheshimu mawazo ya wanachama wao na kufuata taratibu za vikao vya mamlaka ya nidhamu kwenye timua timua zote?.
Mimi nilifuatilia timua timua hizi

Hakuna hata mara moja Chadema wamefuata katiba yao!.

Nashukuru baadhi ya watu ndio mnaanza kutambua kuwa Chadema sio chama cha kidemokrasia kama kinavyojiita ila ni kikundi cha watu wachache wenye malengo maalumu!.
Angalia tarehe ya bandiko hili Kufuatia Madudu na Maroroso ya CHADEMA, Je, bado kuna imani na matumaini na CHADEMA kwa 2015?

P.
 
Back
Top Bottom