Kwa wale wanaohitaji kufahamu kwanini? TV hitachi mjapani huwa inawaka hata kama umeme mdogo chini ya Volt,120 inawaka bila tatzo na kuna wakati inazima mara tu umeme unapo pungua zaidi,Wakati tv za kichina zinagoma kuwaka na kama ikiwaka kunauwezekano wa kuungua.