Salaams WanaJF wote na wageni pia.
Ninapata kigugumizi kuhusu 'Review' za hizi TV kuhusu ubora wake na matatizo.
Kuna Hawa Sony ambao wametamba kwenye soko Muda Mrefu, Kuna Samsung ambao wanakuja juu katika soko sasa na kuna hawa STARTIMES Wamekuja na HISENSE TV.
Sasa Nauliza Kati ya Sony na Samsung ni ipi ina picha nzuri na sauti murua?
Technology ya kuunganisha. Je inawezekana kuunganisha TV ya Samsung na Radio ya Sony (DVD)? How?
tafadhali naomba mawazo yenu.
Ninapata kigugumizi kuhusu 'Review' za hizi TV kuhusu ubora wake na matatizo.
Kuna Hawa Sony ambao wametamba kwenye soko Muda Mrefu, Kuna Samsung ambao wanakuja juu katika soko sasa na kuna hawa STARTIMES Wamekuja na HISENSE TV.
Sasa Nauliza Kati ya Sony na Samsung ni ipi ina picha nzuri na sauti murua?
Technology ya kuunganisha. Je inawezekana kuunganisha TV ya Samsung na Radio ya Sony (DVD)? How?
tafadhali naomba mawazo yenu.