Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Mwanakijiji uangalie kwa makini maana kuna Mafisadi kama Kikwete wasije kuchakachua kura yako. Uilinde mpaka kieleweke MWANAKIJIJI:laugh:
Credit when Credits Due...., Truly Mkuu you Deserve it..., Please naomba usife moyo uendelee kutujuza..... no time to sleep..., We will Sleep when we are Dead......, Unanimous Decision..., You have done a lot, truly patrioticMMMH... haya mtakapoanza mambo ya RIP.. na rambi rambi! ... "ooh jamaa alikuwa..."!
MMMH... haya mtakapoanza mambo ya RIP.. na rambi rambi! ... "ooh jamaa alikuwa..."!
MoDs pleaseee.. this is making me extremely uncomfortable.
MMMH... haya mtakapoanza mambo ya RIP.. na rambi rambi! ... "ooh jamaa alikuwa..."!
MoDs pleaseee.. this is making me extremely uncomfortable.
Lakini jamani nimeamini watu wabaguzi na vithanks vyao! Hata moja?
Binafsi sistahili kuhesabiwa miongoni mwao kwani ninachofanya chaweza kabisa kufanywa na mtu yeyote akiamua tu kuvuka mstari wa woga na kutokujiamini. Nashukuru wale ambao wamenitaja lakini naomba tuwashukuru na kuwatuza hawa mashujaa wetu wasiotuzwa bado.
Lakini jamani nimeamini watu wabaguzi na vithanks vyao! Hata moja?
Nilitahadharisha kwa mwelekeo huo huo wa Mzee Mwanakijiji kwamba zoezi la KUMTAWAZA MPAMBANAJI MASHUHURU dhidi ya Ufisadi na Mafisadi kwa hapa JF bora tukausitishe kwanza.Yamekuwa hayo tena! Mdomo unaumba....mauti na uzima yako mdomoni mwa mtu. Hata hivyo je kuishi kwako si ni Kristo na kufa ni faida?