Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
We need to reflect and recognize special talents, undetered committments, courage, and determination of a few of us in the fight against corruption in our country, by way of blogging. To start, and because of my recent addiction to JF, we may nominate and award one or two amongst JF members.
Kuna watu wachache wanapata kujulikana kama wapambanaji kwa sababu wanapata media coverage kutokana na nafasi zao za kisiasa. Lakini kuna wato wanablogu humu na vyombo vya habari havichukui habari zao na kuweka ukurasa wa kwanza na kusema fulani kasema kadha. Wenye nafasi wanatambuliwa na wananchi wa kawaida ambao hawana access na internet, na bloggers wanatambuliwa tu humu kwenye blogu.
Nina imani kwamba wengi wetu tutakubali kwamba kuna baadhi yetu humu JF wamefanya kazi kubwa sana, usiku na mchana kufichua na kuchokoza mijadala ya kadhia mbalimbali za ufisadi hapa nchini. Tutakubali pia kwamba hata taarifa nyingi zilizochapishwa kwenye vyombo vingine vya habari ama zimeanzia hapa JF au zilishika kasi zaidi hapa JF.
Pengine swali la kwanza litakuwa ni vigezo gani vitumike kumpata mshindi/washindi? Napendekeza kila mtu atoe maoni yake.
Swali la pili pengine litakuwa, pesa za kulipa tuzo zitatoka wapi? Hapa kuna option kadhaa. Ya kwanza ni kufikiri kitu chenye thamani ya pesa. Ya pili ni kufikiri kitu chenye kuonesha heshima tu kama cheti au hata press conference tu kumtangaza. Kila mtu awe huru kutoa maoni hapa.
Hii inaweza pia kupandisha heshima ya JF zaidi, pengine
Kuna watu wachache wanapata kujulikana kama wapambanaji kwa sababu wanapata media coverage kutokana na nafasi zao za kisiasa. Lakini kuna wato wanablogu humu na vyombo vya habari havichukui habari zao na kuweka ukurasa wa kwanza na kusema fulani kasema kadha. Wenye nafasi wanatambuliwa na wananchi wa kawaida ambao hawana access na internet, na bloggers wanatambuliwa tu humu kwenye blogu.
Nina imani kwamba wengi wetu tutakubali kwamba kuna baadhi yetu humu JF wamefanya kazi kubwa sana, usiku na mchana kufichua na kuchokoza mijadala ya kadhia mbalimbali za ufisadi hapa nchini. Tutakubali pia kwamba hata taarifa nyingi zilizochapishwa kwenye vyombo vingine vya habari ama zimeanzia hapa JF au zilishika kasi zaidi hapa JF.
Pengine swali la kwanza litakuwa ni vigezo gani vitumike kumpata mshindi/washindi? Napendekeza kila mtu atoe maoni yake.
Swali la pili pengine litakuwa, pesa za kulipa tuzo zitatoka wapi? Hapa kuna option kadhaa. Ya kwanza ni kufikiri kitu chenye thamani ya pesa. Ya pili ni kufikiri kitu chenye kuonesha heshima tu kama cheti au hata press conference tu kumtangaza. Kila mtu awe huru kutoa maoni hapa.
Hii inaweza pia kupandisha heshima ya JF zaidi, pengine