WEWE NDIYE MPUUZI tatzo lako akili yako imeshikiliwa na hoa wapuuzi WENZIO hata wakikuambia kula kinyesi wewe utakula
Bado hujaeleweka.Lakin nimeeleweka
Halafu ingia hapa upige kura.Ingia hapa Forbes Africa Magazines kama utakuta huo ujinga wakupiga kura. Yani Ccm akili zenu zimejaa matope
Unatia huruma na huo wivu wako. Yaani jasho la pua linakutoka halafu umekuwa mweusiii.By the way mbali na kuwa shindano halipo nini faida ya tuzo hii kwa Watanzania?
Sawa.Bado hujaeleweka.
Ha ha ha, Mbowe?Ndio Mwenyekiti wenu alivyowatuma?
So what is the movie behind the scene series?
After all kama ni mimi ningekataa kushirikishwa.. .. Acheni kufanya mzaha na issue ya urais nyie.. It is the top job in the world, ...yeye Maguful calibre yake sio hao wasiofahamika, eti people of Rwanda...
BTW, hiyo tuzo ina faida gani hasa kipindi hiki? Et Forbes Africa... Tusiendeshwe hivyo jamani... Dah..si bora haya mambo tuwaachie tu TWAWEZA?
Acha ujinga wewe Malcolm X feki. Rais wa Mauritius Ameenah Gurib ni muuza karanga? Aliko Dangote aliyewahi kushinda hiyo tuzo ni muuza karanga? Wewe kaa hapo hapo ufipa na roho yako ya korosho. Ulie tu.
Ha ha ha acha kulia lia.Hao Forbes kwa kweli wamemdhalilisha sana rais Wetu kipenzi Dr JPJM.
Naongea kwa uwalisia, nimempoteza uncle wangu kisa uduma mbovu hosipital za wilaya na kukosekana kwa dawa...sasa tupo Msavu kuelekea turian tunasafirisha. Mm sipigi siasa hapa mkuu.
Ha ha ha acha kulia lia.
Yericko hajawahi kuandika uongoSiyo vizuri katika jamii inayoelekea kustaarabika. Watu wa nchi zingine wanatuona wapuuzi kama yeye. Anatakiwa abadilike aache kwenda kwa mihemuko.
Kuna watu wangapi sasa amewapotosha?
Siyo vizuri kuandika uongo.
Kama wafuasi wa Juma Ponda Mali mna akili mbovu namna hii, huyo bosi wenu si ndo atakuwa zaidi? Na unamsema tukamwombe Lowassa kwa nini husemi tukamwombe mama yako? Unampenda Lowassa?Hizo dawa nenda kamuombe Lowasa.
Liwepo lisiwepo linamsaidia nini Mtanzania wa Liwale anayekunywa maji kwenye bwawa moja na Ng'ombe?Sasa ndio umekanusha kitu gani, nani kasema tuzo za Forbes siyo za kweli? uongo unaosemwa ni shindano hilo kwa sasa halipo.
Kufa basi.Siwez kupoteza muda wangu na Mambo ya kijinga...mnapoteza mda na mambo ya kipuuzi wakati Dawa hospitalin hakuna
nani mjinga kati yake na wewe sasa.Jericko Nyerere hawezi kuacha utoto wake. Ni wa kumvumilia tu; basi.