johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Tuwe tu Wakweli ile Tume ya Wariioba ya Katiba Mpya mwaka ule 2014 ilifanya kazi yake kizalendo na kwa nia ya dhati ya kutengeneza Katiba Mpya.
Itachukua miaka 50 kuwapata Watu Wenye "Moyo" ule tena maana kwa sasa hawapo kabisa.
Tuendeleze Viraka tu kwenye hii ya 1977 sawa na ya CCM.
RIP Dr Sengodo Mvungi.
Itachukua miaka 50 kuwapata Watu Wenye "Moyo" ule tena maana kwa sasa hawapo kabisa.
Tuendeleze Viraka tu kwenye hii ya 1977 sawa na ya CCM.
RIP Dr Sengodo Mvungi.