Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,331
8,254
Taifa letu lina maeneo mengi wazi ya kuwekeza katika sekta ya mafuta na gesi. Maeneo muhimu sana nayoyaona mimi ni yafuatayo:

1. Vituo vya kujaza mafuta mijini na vijijini (Fuel and service stations in cities and rural areas).

# 2. Vituo vya kujaza gesi iliyoshindiliwa (CNG) mijini (CNG filling stations in the cities).

# 3. Vituo vya kubadilisha injini za magari yanayotumia Petrol au dizeli yatumie gesi iliyoshindiliwa (CNG) (Stations for Conversion of gasoline and diesel engines to run on compressed natural gas (CNG).

Haya mambo yote yanawezekana tukiunganisha nguvu ya kuwatafuta wawekezaji ndani na nje ya nchi. Sisi wenyewe tunaweza kuwekeza.

Wapo watu wenye mitaji ila pengine hawana taarifa juu ya haya na hawana elimu ya kutosha.

Mimi najua mtu mwenye kituo cha kujaza mafuta hawezi shindwa kuanzisha kituo cha kujaza gesi iliyoshindiliwa kwenye magari (CNG).

Watanzania tuungane katika hili tusiisubiri serikali pekee na sisi tushiriki.

Mimi nilikua natamani niwe hata na mobile fuel stations wala hazina gharama kuwa kuna hadi za milioni 30-50.

Pia tuishauri serikali kuhusu CNG stations. Waruhusu watu kuwekeza kwenye mobile CNG stations.
mobile-CNG-filling-station-1024x593.jpg
cng-filling-station-right-1024x683.jpg
NGV-2-filling-nozzle-1-1024x683.jpg
 
Taifa letu lina maeneo mengi wazi ya kuwekeza katika sekta ya mafuta na gesi. Maeneo muhimu sana nayoyaona mimi ni yafuatayo:

1. Vituo vya kujaza mafuta mijini na vijijini (Fuel and service stations in cities and rural areas).

# 2. Vituo vya kujaza gesi iliyoshindiliwa (CNG) mijini (CNG filling stations in the cities).

# 3. Vituo vya kubadilisha injini za magari yanayotumia Petrol au dizeli yatumie gesi iliyoshindiliwa (CNG) (Stations for Conversion of gasoline and diesel engines to run on compressed natural gas (CNG).

Haya mambo yote yanawezekana tukiunganisha nguvu ya kuwatafuta wawekezaji ndani na nje ya nchi. Sisi wenyewe tunaweza kuwekeza.

Wapo watu wenye mitaji ila pengine hawana taarifa juu ya haya na hawana elimu ya kutosha.

Mimi najua mtu mwenye kituo cha kujaza mafuta hawezi shindwa kuanzisha kituo cha kujaza gesi iliyoshindiliwa kwenye magari (CNG).

Watanzania tuungane katika hili tusiisubiri serikali pekee na sisi tushiriki.

Mimi nilikua natamani niwe hata na mobile fuel stations wala hazina gharama kuwa kuna hadi za milioni 30-50.

Pia tuishauri serikali kuhusu CNG stations. Waruhusu watu kuwekeza kwenye mobile CNG stations.
View attachment 2376433View attachment 2376434View attachment 2376435
Wazo zuri..
#1 tayari vipo vingi tu..

#2 na #3 ni sekta changa na uwekezaji ni wa kusuasua..
Mwenye ufahamu mzuri wa eneo hili atuwekee hapa mchanganuo wa gharama za uwekezaji + TOZO na wastani wa faida tarajiwa
 
Wazo zuri..
#1 tayari vipo vingi tu..

#2 na #3 ni sekta changa na uwekezaji ni wa kusuasua..
Mwenye ufahamu mzuri wa eneo hili atuwekee hapa mchanganuo wa gharama za uwekezaji + TOZO na wastani wa faida tarajiwa
Hiyo namba #1, upande wa vijijini bado.
 
Mwananchi hana jukumu la kuweka mazingira bora ya uwekezaji bali serikali iliyo madarakani ndio ina hilo jukumu kupitia sera bora za uwekezaji, kwa hiyo lawama moja kwa moja lazima ziende kwa serikali iliyo madarakani kwa kushindwa kufanya kilicho bora kwenye sekta ya uwekezaji.

Singapore, South Korea, China, India, Japan, Vietnam haziku waachia wananchi watafute wawekezaji bali serikali zao ndizo zilizo tafuta wawekezaji kupitia sera bora za uwekezaji.

: Swali la kujiuliza kwa nini sisi hatujifunzi kwa walio fanikiwa ?
 
Mwananchi hana jukumu la kuweka mazingira bora ya uwekezaji bali serikali iliyo madarakani ndio ina hilo jukumu kupitia sera bora za uwekezaji, kwa hiyo lawama moja kwa moja lazima ziende kwa serikali iliyo madarakani kwa kushindwa kufanya kilicho bora kwenye sekta ya uwekezaji.

Singapore, South Korea, China, India, Japan, Vietnam haziku waachia wananchi watafute wawekezaji bali serikali zao ndizo zilizo tafuta wawekezaji kupitia sera bora za uwekezaji.

: Swali la kujiuliza kwa nini sisi hatujifunzi kwa walio fanikiwa ?
Ni kweli boss lakini serikali ilisha Tangaza watanzania kuchangamkia fursa za kuwekeza kwenye gesi na mafuta. Je wewe binafsi ulishawahi kufikiria kuwekeza kwenye sekta ya mafuta na gesi ukakutana na vikwazo?
 
Ni kweli boss lakini serikali ilisha Tangaza watanzania kuchangamkia fursa za kuwekeza kwenye gesi na mafuta. Je wewe binafsi ulishawahi kufikiria kuwekeza kwenye sekta ya mafuta na gesi ukakutana na vikwazo?
Kabla hata sijapata wazo la kuwekeza kwenye mafuta na gas mimi kama mwananchi napaswa kuwekwa wazi juu ya mikataba yote serikali iliyo saini ya mafuta na gas na makampuni ya nje ina semaje?

: Maana uwazi wa mikataba ya wawekezaji ndio siri namba moja China kufanikiwa kupitia wawekezaji kutoka nga'mbo.
 
Haya mambo makubwa yanawezekana Kama tukiwa na viongozi wenye shingo za Twiga(kuona ambayo wengine hawaoni),lakini kwa Aina ya viongozi tulionao,wanwaza tu tozo na si kupanua Uchumi wa nchi!tutasubiri sana Meneja!
 
# 2. Vituo vya kujaza gesi iliyoshindiliwa (CNG) mijini (CNG filling stations in the cities).
Taifa letu lina maeneo mengi wazi ya kuwekeza katika sekta ya mafuta na gesi. Maeneo muhimu sana nayoyaona mimi ni yafuatayo:

1. Vituo vya kujaza mafuta mijini na vijijini (Fuel and service stations in cities and rural areas).

# 2. Vituo vya kujaza gesi iliyoshindiliwa (CNG) mijini (CNG filling stations in the cities).

# 3. Vituo vya kubadilisha injini za magari yanayotumia Petrol au dizeli yatumie gesi iliyoshindiliwa (CNG) (Stations for Conversion of gasoline and diesel engines to run on compressed natural gas (CNG).

Haya mambo yote yanawezekana tukiunganisha nguvu ya kuwatafuta wawekezaji ndani na nje ya nchi. Sisi wenyewe tunaweza kuwekeza.

Wapo watu wenye mitaji ila pengine hawana taarifa juu ya haya na hawana elimu ya kutosha.

Mimi najua mtu mwenye kituo cha kujaza mafuta hawezi shindwa kuanzisha kituo cha kujaza gesi iliyoshindiliwa kwenye magari (CNG).

Watanzania tuungane katika hili tusiisubiri serikali pekee na sisi tushiriki.

Mimi nilikua natamani niwe hata na mobile fuel stations wala hazina gharama kuwa kuna hadi za milioni 30-50.

Pia tuishauri serikali kuhusu CNG stations. Waruhusu watu kuwekeza kwenye mobile CNG stations.
View attachment 2376433View attachment 2376434View attachment 2376435
Hizi hazina faida sana km mafuta na ndio maan huwaoni wahindi na waarabu huko..
CNG ni very complicated
 
Kabla hata sijapata wazo la kuwekeza kwenye mafuta na gas mimi kama mwananchi napaswa kuwekwa wazi juu ya mikataba yote serikali iliyo saini ya mafuta na gas na makampuni ya nje ina semaje?

: Maana uwazi wa mikataba ya wawekezaji ndio siri namba moja China kufanikiwa kupitia wawekezaji kutoka nga'mbo.
Sasa boss kuwekeza kampuni yako ya CNG inahusiana vipi na mikataba ambayo serikali iliingia. Mimi naona kwasababu wewe unakwenda kununua gesi kwaajili ya kampuni yako sidhani kama kuna haja ya kuchungulia mikataba ambayo serikali iliingia na makampuni mengine.
 
Haya mambo makubwa yanawezekana Kama tukiwa na viongozi wenye shingo za Twiga(kuona ambayo wengine hawaoni),lakini kwa Aina ya viongozi tulionao,wanwaza tu tozo na si kupanua Uchumi wa nchi!tutasubiri sana Meneja!
Unachozungumza ni kweli boss. Lakini mambo kama ya haya yakuwekeza Sisi kama wananchi tumeshiriki vipi? Mfano hapa kwenye CNG watanzania wamekaa kimya sana.
 
Sasa boss kuwekeza kampuni yako ya CNG inahusiana vipi na mikataba ambayo serikali iliingia. Mimi naona kwasababu wewe unakwenda kununua gesi kwaajili ya kampuni yako sidhani kama kuna haja ya kuchungulia mikataba ambayo serikali iliingia na makampuni mengine.
Uwazi wa mikataba ndio unao vutia wingi wawekezaji na pia unatengeneza wawekezaji wengine wengi zaidi wa ndani pia una rahisha zaidi kumjulisha mwananchi ana nufahika vipi na huo uwekezaji hapo nchini n.k
 
Kwanini boss, complications yake iko wapi? Umewahi sikia mobile CNG stations??
Nimesikia hiyo na mwekezaji alikuwa teyar kuwekeza huko issue ikaja kwanza cng haitakiwi kusafirishwa zaidi ya km 200 kwa hapa kwetu maana yake ukizidisha hizo km unaanza kuhesabu hasara.

Pili even hupatikanaji wa cng ni wa foleni hatuna vifaa vinavyoweza kujaza tank hizo kwa haraka.

Tatu gharama still ni kubwa mfano kuwega mtungi mkubwa wa gas kwenye garu ni kuanzia 2 million imagine..
 
Sasa boss kuwekeza kampuni yako ya CNG inahusiana vipi na mikataba ambayo serikali iliingia. Mimi naona kwasababu wewe unakwenda kununua gesi kwaajili ya kampuni yako sidhani kama kuna haja ya kuchungulia mikataba ambayo serikali iliingia na makampuni mengine.
Sasa kama kuna Business Potential zote hizo,kwanini Waziri na wataalaamu wake hawawaelimishi Watanzania?Yeye Makamba aliona kufanya Marketing ya mitungi ya Gesi ya Taifa gas ndiyo Jambo la maana.
 
Sasa kama kuna Business Potential zote hizo,kwanini Waziri na wataalaamu wake hawawaelimishi Watanzania?Yeye Makamba aliona kufanya Marketing ya mitungi ya Gesi ya Taifa gas ndiyo Jambo la maana.
Haya mambo huwezi ambiwa wanaona sio level zetu..ila hawajui kuna watu tz huwadangaji na kuwachota kizembe...
 
Nimesikia hiyo na mwekezaji alikuwa teyar kuwekeza huko issue ikaja kwanza cng haitakiwi kusafirishwa zaidi ya km 200 kwa hapa kwetu maana yake ukizidisha hizo km unaanza kuhesabu hasara.

Pili even hupatikanaji wa cng ni wa foleni hatuna vifaa vinavyoweza kujaza tank hizo kwa haraka.

Tatu gharama still ni kubwa mfano kuwega mtungi mkubwa wa gas kwenye garu ni kuanzia 2 million imagine..
Hapa umenifumbua macho ya ndani. hatuwezi kujua haya kama hatujadili mada kama hizi hapa jukwaani
 
Back
Top Bottom