Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,184
- 26,712
jk yupo huko nje anakula bata
Kuanzia leo onward nakuwa makini kuchangia hoja za Mzee Mwanakijiji...nimegundua ni shushushu. Ukicheza nae utanyea debe. I salute you sir!!
Tusipoangalia vizuri tutashuhudia jambo ambalo halijawahi kutokea nchini tangu maasi ya jeshi 1964 na pengine pia tangu vita ya Kagera; kutangazwa kwa hali ya hatari (state of emergency) ili hatimaye kurudisha hali ya usalama nchini. Kutangazwa kwa hali ya hatari na rais kunatoa nafasi kwa vyombo mbalimbali kufanya kazi katika ulinzi wa sheria za juu zaidi na ambapo sheria nyingine zinaweza kuwa suspended na hata haki ya habeas corpus kusitishwa.
I hope hatutafika huko maana tukifika itakuwa ni doa kubwa zaidi la utawala wa Kikwete... maana tayari madoa yapo..
Ni kweli usemayo Mzee Mwanakijiji. Ila kwa kuongeza tu ni kuwa tunaweza kushuhudia jeshi (JWTZ) likipindua nchi baada ya jeshi la polisi kushindwa kudhibiti uhalifu na kubaki kuwa ccm wing. Ni mtazamo wangu tu.
Kwa sababu ya wahuni wachache???!!!. BTW hata vijana wa cozi pale CCP moshi wanatosha kuwa-silence hawa vibaka wa Manzese...
The best thing hii vita isianze, wakrito si tu kwamba wana vingi vya kupoteza bali pia ni wakakamavu na watu waliozoea shida na zaidi ya yote wanafedha ya kuwawezesha kuendesha mapambano yao kwa urahisi. maana hawa wasio na pesa watakula nini? Humo mitaani mwetu hawaishi kutuomba hela ya kula kila kuchapo. Wakiamua kuingia vitani, kama kwa hakika italazimika kufanyika hivyo, basi for sure, tutaandika historia ya kwamba waislamu waliwahi kuwepo bara.Mkuu hapa umenena ila naomba nikukumbushe kitu, vita na waislamu haitakaa iishe hata kama jeshi lina 100% wakiristo. Waislamu wako brainwashed kiasi cha kuamini kwamba ukiua mkiristo mmoja hata kwa kujilipua na wewe ukafa unaenda mbinguni.
Hivyo watafanya kila hila hata kwa mabomu ya kuvaa.
Take note, they are so poor in terms of skills, knowledge and materials such that they dont have anything to loose if they die. They are ready for anything.
The best thing hii vita isianze, wakrito si tu kwamba wana vingi vya kupoteza bali pia ni wakakamavu na watu waliozoea shida na zaidi ya yote wanafedha ya kuwawezesha kuendesha mapambano yao kwa urahisi. maana hawa wasio na pesa watakula nini? Humo mitaani mwetu hawaishi kutuomba hela ya kula kila kuchapo. Wakiamua kuingia vitani, kama kwa hakika italazimika kufanyika hivyo, basi for sure, tutaandika historia ya kwamba waislamu waliwahi kuwepo bara.
Hata kule Tunisia serikali ilisema ni wahuni wachache. Kule Misri serikali nayo ilisema ni wahuni wachache. Kule Libya pia Gaddari alisema ni "rats" wamejificha kwenye mashimo. Lakini serikali zao zipo wapi sasa?
Tuache tabia ya kusema ni wahuni wachache. Kunapokuwa na tatizo deal with it badala ya kulidharau na kusema eti ni linasababishwa na wahuni wachache.
Tuache mtindo wa kudharau matatizo on the basis that yanaletwa na wahuni wachache. Labda ndiyo maana viongozi wote wa ngazi za juu wapo nje ya nchi. Wanasubiri kwanza wahuni wawe wengi ndiyo warudi.
tusipoangalia anaweza asiongee chochote.Mambo yanabadilika kwa haraka sana. Busara ingetumika ili viongozi wote wakuu walio nje ya nchi warudi nyumbani haraka. Najua State visit inaandaliwa kwa muda mrefu lakini rais anatakiwa akatishe hiyo visit arudi, haraka na ahutubie taifa.
Tusipoangalia vizuri tutashuhudia jambo ambalo halijawahi kutokea nchini tangu maasi ya jeshi 1964 na pengine pia tangu vita ya Kagera; kutangazwa kwa hali ya hatari (state of emergency) ili hatimaye kurudisha hali ya usalama nchini. Kutangazwa kwa hali ya hatari na rais kunatoa nafasi kwa vyombo mbalimbali kufanya kazi katika ulinzi wa sheria za juu zaidi na ambapo sheria nyingine zinaweza kuwa suspended na hata haki ya habeas corpus kusitishwa.
I hope hatutafika huko maana tukifika itakuwa ni doa kubwa zaidi la utawala wa Kikwete... maana tayari madoa yapo..
kaka kwa mfumo ambao kikwete anatumia madarakani na kwa mwenendo na dunia ya leo iilvyo halafu tungekuwa na mkuu wa majeshi kama sayore,au musuguri na angalau sarakikya naamini hii nchi ingeshapinduliwa siku nyingi sanaMimi huwa najiuliza na sipati jibu, hivi kwa nini mara zote ambapo hutokea dhahma kubwa zinazolenga wananchi na maslahi ya nchi...mara zote mkuu wa nchi huwa nje ya nchi.
Je,
Ni coincidence tu?
Kuna watu serikalini ambao hutumia mwanya huo kumchafua Kikwete?
Mambo yanabadilika kwa haraka sana. Busara ingetumika ili viongozi wote wakuu walio nje ya nchi warudi nyumbani haraka. Najua State visit inaandaliwa kwa muda mrefu lakini rais anatakiwa akatishe hiyo visit arudi, haraka na ahutubie taifa.