Mnyagundu
Senior Member
- Oct 3, 2008
- 117
- 0
CCM wakianza kutumia nguvu ya umma wanaweza wakajikuta wamebakia watu kumi tu; mazoea ya nguvu ya dola ni mazoea mabaya sana, hayaachiki kirahisi. Si umeona Ben Ali kule Tunisia, aliweza kuitumia dola for so loong lakini wananchi wana nguvu zaidi. Ila kwa mtindo wa kumwaga risasi hovyo hovyo kama Arusha nina uhakika hadi CCM walielewe hili somo la nguvu ya wananchi itamwagika damu nyingi sana na nahofia kuwa nyingine itakuwa ni ya watoto wa shule zetu ambao watawaiga wenzao wa Soweto!
CCM haiwezi kutumia nguvu ya umma. Not in a million years. Nguvu ya dola? hakuna shaka.
Hebu anzeni bifu muone kama hatujaua chadema wote!