Weera weraaaa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 740
- 657
Mzee Mwanakijiji,tusitake kubadilisha mada hapa!
Elimu iliyo tolewa kwa miaka 4 ni elimu ya darasani,na vigezo vya kufaulu au kufeli vinapangwa kwa kuzingatia elimu hiyo iliyo tolewa darasani.
Hivyo aliye pata Div 1 ana uwezo mkubwa katika elimu ya darasani;na aliye pata FLD(Sijui ndio div 0) haina maana ni dumb,bali katika elimu iliyo tolewa darasani ndio hana uwezo.
Alternative sio kubadili jina la FLD,bali kutafuta options nyingine kama elimu ya ufundi,elimu ya kilimo,vyuo vya sanaa nk ili watoto walio pata FLD darasani waende kulingana na uwezo wao.
Elimu iliyo tolewa kwa miaka 4 ni elimu ya darasani,na vigezo vya kufaulu au kufeli vinapangwa kwa kuzingatia elimu hiyo iliyo tolewa darasani.
Hivyo aliye pata Div 1 ana uwezo mkubwa katika elimu ya darasani;na aliye pata FLD(Sijui ndio div 0) haina maana ni dumb,bali katika elimu iliyo tolewa darasani ndio hana uwezo.
Alternative sio kubadili jina la FLD,bali kutafuta options nyingine kama elimu ya ufundi,elimu ya kilimo,vyuo vya sanaa nk ili watoto walio pata FLD darasani waende kulingana na uwezo wao.
Last edited by a moderator: