witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,104
Nimetoka kuwasema sasa hivi...mi nilipigwa 200,000/=TANZANIA POSTAL BANK (TPB) YA HAPA MILLENIUM TOWER, MAKUMNUSHO WASHANIPIGA 80,000/= SIKU ZA NYUMA KIDOGO
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mchezo ndio niliochezewa na mimi wa kuzirusha chini kwa gumba!Pale dirishani wameandika ndugu mteja hakikisha umehakiki pesa zako kabla ya kuondoka...huwa siwaamini wale jamaa hasa wanaume..
Wanawake kidogo huwa wanakuwa na aibu..
Kuna jamaa alinipiga 60000 pale NBC nilienda kuchukua million3
Wakati anazipanga vizuri aweke kwenye rubber band anasukuma na kidore gumba zinaanguka chini baadae ukiondoka anazichukua anaweka mfukoñi..
Sasa huo mchezo mimi naufahamu kwaiyo nikamuona,
alivyonipa nikaka pembeni ya dirisha lake palepale nikaanza kuhakiki
Nikamwambia hazijatimia akasema hesabu tena uku anaendelea kuhudumia wateja wengine
Nikamwambia nimehesabu vzuri aisee nilikaa pale dirishani tunabishana hadi manager akaja
Alivyoingia tu kwenye kile chumba cha yule teller aliona pesa zipo pale chini kwemye miguu yake muda huo mimi namuangalia manager usoni nikagundua kitu
Manager akanisikiliza pale wakachukua zile zangu wakazipitisha kwemye machine tena ikaonekana pungufu60 na manager anaziona pale chini hivyo hawezi kuziokota mana ni aibu kwa kampuni..
Manager akaniomba nikakae kwenye banch baada ya dakika kumi niende dirishani wakanipa mzigo wangu nikahakikisha tena pale pale nikakuta zipo sawa nikaondoka..
Pesa zenyewe niliingiziwa nikanunue mzigo na boss nawenyewe wananipiga tena aisee nilikomaa
Hahaah mkuu ushawahi lizwa huko nn
Na hapa ndo wanapotuibia mkuuMuda wa kuhesabu milioni tano sina. Wacha waniibie tu
Hii ishu Kama ningeigutukia kule ndani pangechimbika.., sema nilikuwa nshaondoka
Hapo ulipo hata Jero hunaa...!! Kalisha kende hizoo ule na kulala fwakeni kabisaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mara moja...wale ni balaa, nilikuwa nawekaga zile fixed deposit...siku ya mavuno tunavuna wote!Hahaah mkuu ushawahi lizwa huko nn
Tuliza kinembee hichoo... Eti laki na nusu sio helaa.. Akati hata bwana zako wanakuhonga mia tano za vocha tu...Mchepuko umekuja juu.... Why umeumia hivi kwa sababu bwana ako amesemwa? Acheni kujirahisisha.mnachezewa kila siku.
Uliwagunduaje...maana kwenye fixed ni ngumu kweli kugundua kama unaibiwaSio mara moja...wale ni balaa, nilikuwa nawekaga zile fixed deposit...siku ya mavuno tunavuna wote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi kizazi Cha Aina yako mnawaza papuchi tu MDA wote, umeona wapi palipoandikwa kutfata demu.Mchepuko umekuja juu.... Why umeumia hivi kwa sababu bwana ako amesemwa? Acheni kujirahisisha.mnachezewa kila siku.
Du jamaa mbona umemganda sana mwenzio jaman kisa nini?kama kafata mademu na ww si upost uzi wako ukijionyesha una range na nyumba kali na kesho unaenda ulaya utarudi wiki ijayo ili na ww mademu wakushobokee.Nimewaza sana juu ya huu Uzi wako nimekuja kuelewa kuwa hujapigwa 150k wala nini sema unataka ionekane babu kubwa una pesa hasa kipindi hiki cha vyuma kubana na mwisho wa siku mademu wakufuate PM ule papuchi kiulainj kabisa.
Any way tumia kinga achana na nyama kwa nyama!!
Hata mimi nimependa,yaan baadhi ya wanaume wa jf wana wivu matata,wanadhan watu wote vyuma vimekaza kumbe wengine vimelegea tu