makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,365
- 81,648
Lakini nyinyi wenyewe ndio mnaotoa bikra na kisha hamuoi watoto wa watu,
Kwa dunia ya sasa bikra sio kigezo uadilifu,
Kwa dunia ya sasa bikra sio kigezo uadilifu,
Wapi naweza pata mkuuBlender za mtumba ziko vzr sana
Hawa ni walio pigwa chini na pisi Kali ujanani kwaiyo wanamasiriko yao na stressHivi kwanini mnahangaika sana? Kila siku mnafungua nyuzi mia kuhusu ma single mama, hivi kuna mtu amewalazimisha kuwaoa?
Wewe kama hutaki si ukae kimya uoe hao wapya wako
Duuuuh....Punguzeni ubakaji ili mpate mali mpya. Vitoto vya primary mnaviharibu sana
Kama MTU huna uwez wa ku afford kipya chukua midrangeNingependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Au unamaanisha ukanda ule...🤣🤣🤣Hujanielewa kabisa.
SOMA TENA
Labda nina kichwa kizito kuelewa?Hivi kwanini mnahangaika sana? Kila siku mnafungua nyuzi mia kuhusu ma single mama, hivi kuna mtu amewalazimisha kuwaoa?
Wewe kama hutaki si ukae kimya uoe hao wapya wako
Shida zinakula umeme sanaBlender za mtumba ziko vzr sana
Sina uhitaji. Nilishalipia miaka hiyo. Naangalia wazee wenzangu tu wanavyobadili vitu vipya kuwa used na kuviingiza sokoni huku wakitegemea vijana wapate mpya.Vitu vipya vipo, ila hujaamua tu kuvitafuta.
KATAA VITU USED
Yaan nimeandika kbs "uweke order kwenye placenta" afu unasema sijaelewa Itakua hata ww huelewi umeandika nnHujanielewa kabisa.
SOMA TENA