Tusinunue vitu Used jamani

Leo nimeona mwingine amekula nduki baada ya kutaka kuuziwa kitu used fb, watu walishajitayarisha kugonga menu kwa raha zao jamaa katuma sms kuwa mali aliyokuwa amelipia ni used, hivyo hawezi kuendelea na mchakato wa kupeleka kwake mali aliyoaminishwa kuwa ni brand new! Haya maisha changamoto sana.
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Kuna tofauti kati ya kitu ambacho ni "Used" na kitu ambacho ni "Preowned"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom